dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... "ndoa" za under 18 zinapatikana zaidi katika maeneo ya vijijini tena vijiji ambavyo uelewa hususan wa mambo ni mdogo hivyo ni nadra kuripotiwa katika vyombo husika ili hatua ziweze kuchukuliwa.Sina ufahamu wa sheria kama wewe. Swali langu ni kwanini wahanga wengi ni wale walio tembea na wanafunzi chini ya miaka 18 na si waliooa chini ya miaka 18?
Wewe binafsi nna uhakika umeona ndoa hizo nyingi tu na zipo wazi. Inamaana jamaa alitongoza na akakubaliwa na akaamua kufunga nae ndoa. Pia kwa wanafunzi ni hivyo hivyo, alitongoza akakubaliwa wa kafanya yao.
JE unamaamisha kama mwanafunzi alimkubali "kwa ridhaa yake" jamaa amtafune, jela haita muhusu??
Huwenda nikapata kufahamu mengi kupitia wewe
Kwa upande wa wanafunzi ni rahisi kujulikana (japo sio wote) kwa sababu katika mazingira ya shule (wasomi) tabia na mwenendo wa mhusika vikibadilika ni rahisi kufuatiliwa na hata wenyewe hutajana. Pia, ikumbukwe wanafunzi wa kike hufanyiwa vipimo kuona hali zao; wajawazito hujulikana kirahisi katika mazingira ya aina hii.
Neno "ridhaa" kwa mwanafunzi (na under 18) ondoa; halipo litakuponza bure! Hayo makundi mbele ya sheria hayana ridhaa.