Mke mwenye miaka 15 aumizwa vibaya na mume kisa kumwaga dawa ya mbuzi

... "ndoa" za under 18 zinapatikana zaidi katika maeneo ya vijijini tena vijiji ambavyo uelewa hususan wa mambo ni mdogo hivyo ni nadra kuripotiwa katika vyombo husika ili hatua ziweze kuchukuliwa.

Kwa upande wa wanafunzi ni rahisi kujulikana (japo sio wote) kwa sababu katika mazingira ya shule (wasomi) tabia na mwenendo wa mhusika vikibadilika ni rahisi kufuatiliwa na hata wenyewe hutajana. Pia, ikumbukwe wanafunzi wa kike hufanyiwa vipimo kuona hali zao; wajawazito hujulikana kirahisi katika mazingira ya aina hii.

Neno "ridhaa" kwa mwanafunzi (na under 18) ondoa; halipo litakuponza bure! Hayo makundi mbele ya sheria hayana ridhaa.
 
Sheria za Tanzania, ukioa mwenye miaka 15 na hasomi, hapo sawa. Ila ukifanya mapenzi na mwanafunzi wa kike mwenye miaka 15 unafungwa miaka 30 kwa ubakaji mtoto [emoji23]
Contradiction inaanzia kwenye sheria za ndoa za serikali, mila na kidini
 
Inasikitisha mnoo

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Violence Genes flow
Arusha jinsia zote wakatiri tu.
#Nasubiri kutukanwa🤣
 
Sheria ya ndoa ni miaka mingapi?
 
Kwani sheria ya MWAKA 1971 ya kwamba msichana anaweza kuolewa akiwa na miaka 15 kwa ruhusa ya wazazi ilifutwa?????.
 
Hao jamaa huko mbele wanaangalia nini? Au ameumizwa pia kwa upande wa mbele??
 
Miaka 15 si yuko form two?.mbona mdogo sana hata akili haijakua jamani. Ndo aje avumilie mateso yote mpk afikie umri wetu si mwili umekua na ramani wote au kufa kabisa
 
Yote hii ni tatizo la vijiji serikali kuwaachia watu wa huko waishi kama wanyama, semina, Sheria na kuwabadilishia mazingira kwa lazima Ili waondoke katika unyama na kuishi kama watu hata haya matukio yangejulikana kwa haraka, kingine huko vijijini imeonekana wanazaliana kama wanyama na watoto hawahesabiki watoto wa binadamu wanaopaswa kulelewa na kupewa elimu na malezi ni mwendo wa kuishi kama wanyama na kuonekana hawana umuhimu wowote wa kuandaliwa kuwa taifa la kesho lenye kujitambua hii nayo iangaliwe kama hawawezi uzazi wa mpango basi wafungwe vizazi baada ya watoto wanne kutumia Ili kuondoa haya maisha yao ya kinyama na hata hao watoto wakija mjini huwa wanatabia za kinyama kama wazazi wao kitu ambacho kitaharibu taifa la kesho, hapo tunaona ni mtoto wa kike na ndoa za utotoni na Hana uchumi wowote Wala elimu lakini hata mtoto wa kiume wa huko vijijini hapewi elimu zaidi nikufundishwa awe na nguvu kama mnyama kitu ambacho akija mjini anatumia hizo nguvu kuwa jambazi na huko kijijini nikuchapana kama wanyama na wakikuwa wanakuwa wanyama wazee.
 
Ashtakiwe kwa kosa la unyanyasaji na kosa la kuoa katoto tena na wazazi wa bint washtakiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…