Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwema Wakuu!
Tunakumbushana tuu!
MWANAMKE pekee mwenye mamlaka na uhalali WA kuitaka pesa ya Mwanaume ni Mama yake mzazi na Mke wake tuu, wengine ifanyike biashara.
Kama ni kuuziana muuziane,
Kama ni kununua mnunue iwe Kwa masaa Kwa siku au wiki.
Wanawake msikubali kukaa kwenye mahusiano yasiyo na uelekeo, wekeni vikwazo, Kama mtu Hana Nia ya kukuoa atajionyesha mapema.
Wanawake ndio mnatuendekeza wanaume mpaka sasa hivi hamna la maana, laiti mngekuwa na umoja ni wazi kila mmoja wenu angeolewa na kuheshimika, lakini hamna umoja kwani Wale wenye maadili wakikaza wanawake wahuni wanatoa uroda bure😀😀 Hali inayofanya jitihada za wenye maadili kuonekana ni sifuri.
Muhimu, mwanamke usikubali kuwa kwenye uhusiano usio na uelekeo.
Wanaume nasi tusikubali kutoa pesa bila kupewa Huduma.
Nipe nikupe, Masuala ya kuhudumia mtu Kama Mke au Mama mzazi ni ushamba
Jioni njema
Tunakumbushana tuu!
MWANAMKE pekee mwenye mamlaka na uhalali WA kuitaka pesa ya Mwanaume ni Mama yake mzazi na Mke wake tuu, wengine ifanyike biashara.
Kama ni kuuziana muuziane,
Kama ni kununua mnunue iwe Kwa masaa Kwa siku au wiki.
Wanawake msikubali kukaa kwenye mahusiano yasiyo na uelekeo, wekeni vikwazo, Kama mtu Hana Nia ya kukuoa atajionyesha mapema.
Wanawake ndio mnatuendekeza wanaume mpaka sasa hivi hamna la maana, laiti mngekuwa na umoja ni wazi kila mmoja wenu angeolewa na kuheshimika, lakini hamna umoja kwani Wale wenye maadili wakikaza wanawake wahuni wanatoa uroda bure😀😀 Hali inayofanya jitihada za wenye maadili kuonekana ni sifuri.
Muhimu, mwanamke usikubali kuwa kwenye uhusiano usio na uelekeo.
Wanaume nasi tusikubali kutoa pesa bila kupewa Huduma.
Nipe nikupe, Masuala ya kuhudumia mtu Kama Mke au Mama mzazi ni ushamba
Jioni njema