Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
Nakutakia kila la heri Mazunguse...Bwana akupe haya ya moyo wako. Cha muhimu maombi zaidi...maana kwenye mtandao wanaweza kujitokeza wengi na wamevaa ngozi ya kondoo!
Barikiwa.
tuko pamoja piga injili ya leo!Kila kitu kinawezekana. Kuna njia nyingi tu za wapendanao kukutana. Ujio wa internet umewezesha wale wanaojificha nyuma ya PC, na laptops wapate wapendwa wao. Ni mapenzi ya Mungu kabisa, ikiwezekana na kwa wakati sahihi mtu apate asali wake wa moyo. Haijalishi watakutana darasani, kwenye daladala au sokoni au facebook
Nakutakia kila la heri Mazunguse...Bwana akupe haya ya moyo wako. Cha muhimu maombi zaidi...maana kwenye mtandao wanaweza kujitokeza wengi na wamevaa ngozi ya kondoo!
Barikiwa.
tuko pamoja piga injili ya leo!
Jamani wanaJF,
a) Wanaopenda kukandia karibuni
b) wenye nia njema karibuni saaaana!
Lengo
Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa:
i. Mlokole wa kweli
ii. Kati ya 21 hadi 24
iii. Akiwa mweupe ni extra sifa
iv. Awe na shule kuanzia FM4 na kuendelea
v. Awe na kazi/uchumi asiwe golikipa.
vi. Siyo siri napenda awe mrembo tena haswaaaaaaa!
vii. Awe tayari kufahamiana namimi kwa kina NGONO KABLA YA NDOA HAIPO!
Sifa za Zinazopewa kipaumbele.
i. Ulokole wa kweli
ii. Maono ya kumtumikia Mungu
iii. Idea ya kuwa Mama Mchungaji
Nb: Napatikana central Tanganyika! Nami pia najishughulisha na uchumi. Sifa zingine zote nitakupa baada ya kuwasiliana at the first time! Niandikie email: dmadulu@yahoo.com SHETANI HANA NAFASI HATA KAMA NI KWA LIPI, MUNGU MAPENZI YAKO NA YATIMIZWE!
hiyo avatar ya Cece Winans ni nzuri, Unampenda?
thenkiyu
Sasa mpendwa na wewe unauliza majibu??? Sidhani kama nitatumia avatar ya mtu ambaye simpendi...nimetafuta picha ambayo inaniwakilisha kwa namna fulani hivi!
Barikiwa.
Sio lazima niwe mwimbaji...kuna vingi zaidi ya uimbaji!
Jaman mambo mengine ni ya mtu na Mungu unafikiri nikufafanuliaje ndugu yangu juu ya swali hili? kama mpaka tunaulizana na njia ambazo ni mtu na Mungu! unanifurahisha!
Uko sahihi.
Labda nikuulize, kwanini uko sensitive na ubaya? I mean, wengi wetu tuna-focus on the negative side more than on the +ve side. Mungu hajaumba mwanadamu awe mtumishi wa shetani originally.. (hapo kwenye RED, huwezi kuwa two-sides at the same time, labda uwe unapretend).. Kila mtu anapitia mapito, lakini haimaanishi wewe ni mtumishi wa shetani. Tena Mungu anawependa ili warudi kwenye mstari wa kumtumikia yeye..
All the best my dear