Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu mtu mwenyewe mleta umbea ni ME!
kumbe hizi tuhuma zina lengo mahsusi?Heee....wenzetu mnajua mpaka chumbani kwa Gwajima?
Mimi nimemshauri?Unaemshauri Grace aondoke, unajuaje kuwa ndoa yake ndiyo inayotunza familia yake huko kwao?
Kwanza kabisa namshukuru Mungu Leo nimezidi kuamini kwamba kutakuwepo na manabii wa uongo.
Pili Mungu anatufungua macho wanadamu tuone Na tutambue kweli ipo wapi.
Naerejea kwako Mrs. Grace Gwajima. Kwa wasiomfahamu Grace Gwajima ndiye mke halali wa Josephat Gwajima. Ni mama wa msomi aliezaa na Gwajima watoto 3.
Kwa mliowahi kusali au kukutana na Gwajima mtaungana na mimi kwamba Gwajima ni mzee wa totoz na mama Grace amevumilia kwa muda sana.
Nilishawahi kumkuta live Gwajima akiwa na mmoja wa waimba kwaya wake enzi hizo (Linah Sanga) pale Ubungo Maji wakiwa katika pozi tata sana tena saa 6 usiku baada ya mkesha; sikujua nini kiliendelea baada ya hapo.
Kuna wakati tena muda wa usiku Bi Grace kushuka kwa kushtukiza kwenye ofisi za Gwajima na kumkuta na moja wa waimba kwaya wake. For the first time nilimuona Gwajima akiwa anatetemeka na kumuomba msamaha mke wake.
Kwanini nasema Bi Grace it's time for you to go?
Umevumilia mengi na scandal nyingi kwa mume wako achilia mbali ya kutoka na Frola Mbasha. (which is true 99%).
Kwa hili Gwajima kuchepuka tena kajirekodi Halafu pale ni nyumbani kwako GRACE amevuka mipaka.
Nenda zako kaendelee kufundisha London ulikokuwa.
You are better than that.
Kwa hili Gwajima kuchepuka tena kajirekodi Halafu pale ni nyumbani kwako GRACE amevuka mipaka.
Kuwepo kwa watoto kamwe isiwe kigezo cha kutoachana ili hali ndoa ina matatizo makubwaMi i hate wanao-come up na conclusion ya wenzao kuachana wakisahau madhara ya conclusion hiyo, remember kuna watoto, wategemezi na 3rd parties wengine watakaopata madhara ya hilo unaloona kwako ni bora.
If your doing for good faith ni tuombee wapate suruhu isiyo ya kuachana!!
Kuwepo kwa watoto kamwe isiwe kigezo cha kutoachana ili hali ndoa ina matatizo makubwa
Heee....wenzetu mnajua mpaka chumbani kwa Gwajima?
Labda ni beki tatu wa gwajimaSijaelewa. Wewe ndiyo huyo Grace wa Gwajima? Halafu umepajuaje kama pale ni nyumbani kwa Gwajima?
Eee mzuri ukimlinganisha na huyo kiumbe aliyekuwa analiwa na Gwajima ama unajilinganisha naye ?Mbona mke wake mzuri tu natural
Wanaume wanahangaika mnoo
Sijui kwa kweli ila nimejikuta nipo kwa walio susiwa zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani anawachaguliaga nani
Pole sanaSijui kwa kweli ila nimejikuta nipo kwa walio susiwa zao
Tushakubali matokeo zamaniPole sana
Sikatai ila kuachana iwe option ya mwisho, uvumilivu ni jambo jema kwa kila mwana mahusiano!!
usimuache isipokuwa kwa uasherati tuAlichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe. Keyboard mkubwa wewe!