Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,403
kama kawa man..nipo aisee asante sanaJose Niaje Kamanda,Mzee Baba unapotea unaibuka Unapotea Unaibuka Karibu.
Hahah!! Hakika mkuuHaha wanakosa tu lotion sahihi za kupaka
wacha kokoro zako........ usihangaike na rangi tamu ya chai ni sukari atiiMke wa AY ndio msichana mrembo zaidi kuliko wasichana wote Tanzania. Hakuna cha Jokate, Wema, Lulu, Tunda, Mimi Mars, Klynn, Faraja Kota wala Nancy Sumari.
Nahisi yeye ndio Cleopatra aliesemwa kwenye historia, yaani mwanamke mzuri kuliko wote.
View attachment 695751
View attachment 695755
Mkeo namjua tatizo gogo kitandani hajui kukatikaMleta mada, mkeo anatambua ulicho post!? Mke wangu umemuona ukathibitisha kua huyu ndio kafunika!?
Sasa ww unafaidika vipi na wanawake wazuri wakati hata kusugua huwezi ubaishia kuhangakika kutafuta wanaume wenzanko wakusugueGuess hujawahi ona au kukutana na wanawake wazuri ndio shida ya wanaume wa mikoani muda wote mnashindana na Nyani shamban utajua wanawake wazuri wewe..
Kwenye list ya warembo kwangu mqy be anaweza kuwa kwenye top 15...
Fanya research iliyoshiba before hujatoa conclusion zako..