Mke wa AY ni mzuri kuliko wanawake wote Tanzania; yule ni Cleopatra

Mke wa AY ni mzuri kuliko wanawake wote Tanzania; yule ni Cleopatra

WEWE HUJAWAHI KUONA NDIO MAANA UNAONA HUYO NDIYE MZURI KULIKO WOTE
 
Wewe usitudharau nenda kamwoe mara ya pili mwone wewe ndio unasura mbaya wewe mwenyewe hivi nikuulize unagegedaga nani kama sio sisi nyambafu ningekuwa karibu yako ningekupaka mpaka mnafiki wewe
 
Ana CHURA??
0c2bed6fe5f466093e6c6fde29124314.jpg


Flat
 
Mke wa AY ndio msichana mrembo zaidi kuliko wasichana wote Tanzania. Hakuna cha Jokate, Wema, Lulu, Tunda, Mimi Mars, Klynn, Faraja Kota wala Nancy Sumari.

Nahisi yeye ndio Cleopatra aliesemwa kwenye historia, yaani mwanamke mzuri kuliko wote.

View attachment 695751

View attachment 695755
wacha kokoro zako........ usihangaike na rangi tamu ya chai ni sukari atii
mzuri ni ngombe kila kitu cha mwili wake ni mali mpaka mavi ni mbolea
 
Halafu pia kwa watoto wa kinyarwanda walivyo wakali huyo wa AY mbona ni hata hatishi.. kawaida tu. Rwanda kuna visu wewe si mchezo huyo ukienda kule hata humuangalii mara mbili. Kule kuna watoto utasema hawanyi au hawaendi chooni eboo.
 
Guess hujawahi ona au kukutana na wanawake wazuri ndio shida ya wanaume wa mikoani muda wote mnashindana na Nyani shamban utajua wanawake wazuri wewe..

Kwenye list ya warembo kwangu mqy be anaweza kuwa kwenye top 15...

Fanya research iliyoshiba before hujatoa conclusion zako..
Sasa ww unafaidika vipi na wanawake wazuri wakati hata kusugua huwezi ubaishia kuhangakika kutafuta wanaume wenzanko wakusugue
 
Labda wewe mgeni,kuna Jackline Mengi,Nancy Sumari,Miriamu Odemba,Happyness Magesa and many more.
 
Back
Top Bottom