TUKUPE MATOKEO?Basi mechi ya leo ya namungo na Simba ni sare au Simba kupigwa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TUKUPE MATOKEO?Basi mechi ya leo ya namungo na Simba ni sare au Simba kupigwa kabisa
TUKUPE MATOKEO?
Acha viroba mkuu!Basi mechi ya leo ya namungo na Simba ni sare au Simba kupigwa kabisa
Ulitaka akuoe wwLichama silipendi
R. I. P mwanamke mzuri uliyekubali kuolewa na jitu baya
Huna utu wewe. Msiba sio jambo lakufanyia mzaha. Hata kama ni adui yako muombee tu Mungu ndio mwenye kuhukumu.Lichama silipendi
R. I. P mwanamke mzuri uliyekubali kuolewa na jitu baya
Kwani kafa chama mkuu si kafa mkewe na nimetoa RIP?Huna utu wewe. Msiba sio jambo lakufanyia mzaha. Hata kama ni adui yako muombee tu Mungu ndio mwenye kuhukumu.
Teeh teeh teeh, unapenda kuolewa mkuu maana mawazo yako kuolewa tu.Ulitaka akuoe ww
Mkuu uchawi Kama umekuzidi ,mrudie Mungu option bdo ipo.kutapika uhalo kwa kiumbe mwenzio ni kufuru .Kwani kafa chama mkuu si kafa mkewe na nimetoa RIP?
Ni kweli lichama silipendi itoshe kusema hivyo
Kuwa mpole, usimind kila kitu utakonda wengine tunaondoa stress tu humuMkuu uchawi Kama umekuzidi ,mrudie Mungu option bdo ipo.kutapika uhalo kwa kiumbe mwenzio ni kufuru .
Izo nyasi unazokula badala ya kuvuta zinakupa ujasiri uliopitiliza
Naona una wivu mkali...Teeh teeh teeh, unapenda kuolewa mkuu maana mawazo yako kuolewa tu.
Poleni mbumbumbu kwa msiba
Hata timu zao pia zinaweza husika pengine hata wao wenyewe.Ndo hapo sasa isije ikawa kuna makafala yanayotolewa bila wao kujua. Michezoni siku hizi kuna ushetani mwingi sana. Makampuni ya kamari,pombe na sigara ndio wadhamini wakuu wa michezo. Vipi km wao ndo wanahusika kwenye haya??