Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Vipi kuhusu Floyd mayweather naona mjanja japo hajaenda shule
 
I second you on that, I know alot of niccas ambao previously they had wealth and fame and decided to marry white women. Kilichokuja kuwatokea mbeleni aisee wanatia huruma. Mzungu ain't got no tendency yakuishi na a broke-ass nicca
I second you....
Story ya Emmanuel Ebue mchezaji wa zamani wa arsenal aliangukia pua mbaya kabisa baada ya kuachana na mkewe mzungu.....
Infact alinyang'anywa karibu kila kitu
 
Ulitaka wagawane kwa ratio ipi mkuu


Wangari mimi naongelea hii issue in general,sio kuhusu Dr. Dre tu. Hizi sheria mara nyingi zinatukandamiza wanaume, na ndio maana nawaambia wenzangu tuwe makini. From the scratch mnawekana wazi, what we can do is to help each other, lakini chako chako na changu ni changu.
 


Kugawana Mali mkuu ni haki ya kila mtu!..sema mna kaubinafsi
 
Kugawana Mali mkuu ni haki ya kila mtu!..sema mna kaubinafsi


Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake dada. Ubinafsi uko pande zote mbili. Anasubiri mpaka nimewin Jackpot ndio anataka devorce halafu twende pasu kwa pasu. Hiyo kwangu mimi ni big No. Kwenye 10 natoa 1.5 fair enough. Tusitaniane kwenye mkwanja.
 
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake dada. Ubinafsi uko pande zote mbili. Anasubiri mpaka nimewin Jackpot ndio anataka devorce halafu twende pasu kwa pasu. Hiyo kwangu mimi ni big No. Kwenye 10 natoa 1.5 fair enough. Tusitaniane kwenye mkwanja.


Baba ukipata 10 jua ni 5@!..weee acha kbs..ntakata rufaa had kieleweke🤭
 
Inasemekana dre ni punga, kama ni kweli hana cha kupoteza, mama ameplay cover for so long, now it’s payback.
 
Didy ana mademu kibao, puli ya nin?

Yule mhuni sana sana, ndoa yenyewe haiwezi hata kiduchu
 
Hizi sheria ni za kijinga sana. Sometimes kuna haja ya kuwekeana makubaliano mwanzoni, kwamba mm na ww ni forever, ikitokea tumeachana basi kila mmoja anabaki na vilivyo vyake.
Indeed
 
kwa U.S ukishakuwa multi millionaire ni risk sana kuoa.unaikumbuka ile case ya Simpson
Nikiwa mult millionaire nitaishi kama didy tu .. Naona ili iweje sasa

Na pesa ninazo ..ninauwezo wa kupata papuchi yoyote niitakayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…