Diddy nafikiri alishtukia mchezo kwa Jenifer Lopez maana aliachwa hivi hivi anaona maana alioza pale na nadhani ilibaki kidogo tu atangaze ndoa
Jenifer akampiga hela na umaarufu akaachwa solemba .
Kim porter kamvumila sana jamaa akiamini atazawadiwa ndoa jamaa kaweka kavu Hana hio habari
Cassie nae vile vile diddy angezubaa kidogo naamini Cassie angemliza [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana dada wawatu kategaaa wee ndoa jamaa kakaza ikabidi sister wa watu aachie manyanga mwenyewe [emoji3][emoji3]
Ndio hapo Diddy kutambua kuwa angezubaa angekuwa lofa mazjma
Siiku hizi kawakusanya wanae wote wanakaa jumba moja anawasapoti Yuko bize na wanae na self love Hadi kujiita Sean love Combs
Ila Kama hajawa mpiga puli Basi atakuwa anawala Instagram model kimyakimya[emoji3][emoji123]
Sent using
Jamii Forums mobile app