Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Miaka 24 wanaachana!!.. upuuzi was ndoa huu.
Ila sishangai mtaani kwetu Kuna wana ndoa wameachana wakiwa na vitukuu Ila tofauti Ni hapo kwenye mijihela
Nimeshuhudia Wana ndoa wazee wanaacha nilishangaa sana
 
Jeff Bezos mwaka Jana alipeana taraka na Mke wake Mackenzie na Mke wake akapewa Dola Bilion 38 za utajiri wa Bezos lakini mwamba bado Yuko namba Moja ya wanadamu matajiri dunian.


Hivi tunavyoongea Mackenzie Yuko top 5 ya wanamke matajiri duniani ...

Dre akomae tu. Maisha Ni kuchagua na kupanga. View attachment 1493381
Makenzie saivi hizo 38bn$ zinepanda baada stock za amazon ku rise up ana around 50b$

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakat kanye anamchumbia kim .kim alikua na mkwanja kuliko kanye...labda useme lingne
Na Kim ame support Sana Kanye kipindi Hali si nzuri baada ya Kim Kardashian kuanzisha kimoji chake na hela iliyo patikana akamu boost Kanye USD 51 kwenye hyo Yeezy yake
 
Hahaha dah wewe mrembo hata usipokua na hela mzungu unamdaka tu ,kuwadi mange.

Kuishi sana majuu wanajikuta na kaugonjwa ka kupenda watoto shombe shombe. Mtu kama sadio mane ili kuikimbia rangi yake isienee kwa wanae anaoa kazungu kanamletea vitoto vizungu.

Kanye nae kadaka ka kim kake,jay z kadaka kachotara bey,kobe alidaka mzungu wake,pogba ana kazungu list ndefuuu
Hahahahah hata Mimi Nina dreams za kuipooza hii rangi yangu nyeusi ""tiii" niliyonayo kwa mzungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa sometimes namuelewa sana diddy ana point fulani ya msingi kwenye hizi ishu japo anaonekana mzinzi

No way out Sheria za Us zinawakata maini sana wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaah Kuna life kidume ukiwa nalo hupaswi kuoa wewe n kuzaa na kula Bata Kama Didy, 50 cent au Floyd Maywether

Si unakumbuka eboue alichofanywa na Mke wake mpaka kuanza kulala mitaani.
 
Mimi mwenyewe nilishangaa eti..alafu Bora kuachana kimyakimya..wengine wanadundana kabisa..khaa!!
Hao wameachana kabisa na talaka Hadi vikao vya usuluishi ilishindikana na yote ni baada ya mzee kustaafu na kumalizwa hela na kimada, hizi ndoa hizi loh
 
Dre punguani sana aiseee

Linaenda kuoa white women!

Suge alishasema Dre wanted so bad to be a whiteman,Suge kamwambia,huwezi kua,labda wanao wanaweza kua kwa asilimia fulani iwapo utaoa mwanamke mweupe...

The nigga did that shit!

Plus this weak ass nigga stole this white broad from another stupid monkey nigga NBA baller Sedale Threatt,another black color hating monkey nigga!

Sedale Threatt was so stupid kiasi kwamba he fathered more than 14 kids around!

Dre,such a loser!
Mbona wapo wazungu wanaoa wanawake Weusi, Ni machaguo ya mtu tu. Wabongo wabaguzi halafu ndio wanaaongoza kulialia eti wanabaguliwa
Hapa si mnalia kuwa Wahindi hawapendi weusi waoe watoto wao?
 
Back
Top Bottom