Mlango taka? Mwamba anachimba mitaro?Dokta anakashfa ya kupitia getti dogo na ndio anataka ME waache ku@dronedrake
Pesa imekauka. Mke kajiongeza
Fuata mahubiri sio matendo ya mtumishiWakuu
Huko millard ayo karipoti kua jamaa mke wake wa south anadai talaka na toka mwaka jana hawako pamoja, sasa yule alitufanya wanaume tuonekane hatuna mapenzi na wake zetu kumbe nae ndani kuna waka moto.
Haya mambo tuulizane yale nafundisho yake tuyafuate au tumteme maana hata yeye kusomesha watoto kashindwa eti kisa arudiane na mke ndio atasomesha kumbe nae mwaka akili kisoda.
Wanaume tunasema hatutaki tena mafundisho yake uchwara ya ndoa, maana kwake hayajafanya kazi kwetu itakuaje si atafanya na ndoa zetu zivunjike.
View attachment 2493377
Mzigo umekata. Ma-Slay queen Njaa zimewakamata.Itakua jamaa kaishiwa mtonyo au sio
Dr Mwaka hivi ndo huyu anayeshugulika na kutibu maginjwa ya nguvu za kiume na maswala ya uzazi?
Isije ikawa chanzo cha Talaka bwana dokta hapigi show vizuri
Huku mtaani wauza supu ya pweza wote wamekimbiwa na wake zao ye nani?
pesa imekata, ndoa hakunaDokta anakashfa ya kupitia getti dogo na ndio anataka ME waache ku dronedrake
Bado Mr. Chumvi jezi namba 9 mgongoniMotiveshno spika tuu
Kwahy zile dawa za kiume zmeshindwa kazi
Naskia Dokta tackle Mbili back to the net😂😂pesa imekata, ndoa hakuna
hahahahaNaskia Dokta tackle Mbili back to the net😂😂