Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Wakuu

Huko Millard Ayo karipoti kuwa jamaa mke wake wa South Africa anadai talaka na toka mwaka jana hawako pamoja, sasa yule alitufanya wanaume tuonekane hatuna mapenzi na wake zetu kumbe nae ndani kuna waka moto.

Haya mambo tuulizane yale nafundisho yake tuyafuate au tumteme maana hata yeye kusomesha watoto kashindwa eti kisa arudiane na mke ndio atasomesha kumbe nae mwaka akili kisoda.

Wanaume tunasema hatutaki tena mafundisho yake uchwara ya ndoa, maana kwake hayajafanya kazi kwetu itakuaje si atafanya na ndoa zetu zivunjike.


 
Fuata mahubiri sio matendo ya mtumishi
 
Dr Mwaka hivi ndo huyu anayeshughulika na kutibu magonjwa ya nguvu za kiume na maswala ya uzazi?

Isije ikawa chanzo cha Talaka bwana dokta hapigi show vizuri

Huku mtaani wauza supu ya pweza wote wamekimbiwa na wake zao, ye nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…