- Thread starter
- #21
Naskia Dokta tackle Mbili back to the net[emoji23][emoji23]
Tako mbili anaanza kukoroma atarajie mtoto mzuri huyo avumilie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naskia Dokta tackle Mbili back to the net[emoji23][emoji23]
Ananywesha watu Vumbi za Magome ya Mikenge mjanja mjanja tu yulehahahaha
mganga hajigangi
hahahaha
mganga hajigangi
Imeisha iyooNaskia Dokta tackle Mbili back to the net😂😂
Ubungo Plaza Ground FloorAnanywesha watu Vumbi za Magome ya Mikenge mshenzi tu yule
Ananywesha watu Vumbi za Magome ya Mikenge mshenzi tu yule
Acha tu alibakisha Vumbi la Godoro tuUbungo Plaza Ground Floor
Amini .... Wapo na huwaambii kitu Mana ni Kama Nabii kwao.Hivi kuna watu wanafuata dawa zake kweli?
Nabii Tito alipata wafuasi sembuse huyo😅Amini .... Wapo na huwaambii kitu Mana ni Kama Nabii kwao.
ila jamaa mfuko uko poa, sijajua sa iviHivi kuna watu wanafuata dawa zake kweli?
Ya Semaji La Yanga Hadji Ndiyo Kama HayoPesa imekauka. Mke kajiongeza
ila jamaa mfuko uko poa, sijajua sa ivi
kuna miaka anakamata airtime ya mpaka dk 30 redioni, na tv, kila baada ya mda x
Fake FakeKwahy zile dawa za kiume zmeshindwa kazi
Inakubalika Chap Chap Fursa Hiyo Utakula MemaNataka kumfuata mke wake nisomeshe watoto wake ili nimstiri