Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Kama ana mwaka hahudumii nikipeleka sato na ndizi bukoba na nazi hanipi mzigo kweli halafu watoto wake napeleka shule akatae kweli? Halafu namjengea kibanda chanika, aache kugombea nyumba na jamaa yake
Ndoa Kwa Dini Yetu Imevunjika Ukimsitiri Chap Unapata Swawabu Na Bado Ukifa Bikra 70 Chanika Kuzuri Utulivu Mwingi

Hawa Jamaa Wana Fail Wapi Ama La Kuvunda Halina Ubani!!
 
Ndoa Kwa Dini Yetu Imevunjika Ukimsitiri Chap Unapata Swawabu Na Bado Ukifa Bikra 70 Chanika Kuzuri Utulivu Mwingi

Hawa Jamaa Wana Fail Wapi Ama La Kuvunda Halina Ubani!!

Ndio naenda kondoa nanunua mbuzi wa kufuga 6 wanaozaa mapacha, natafuta kuku wa kienyeji 10 tunafuga mtoto naweka ndani anatulia akitaka supu atachagua nichinje mbuzi au kuku, namtafutia na infinix matata yakuperuz anatulia kimya
 
Ndio naenda kondoa nanunua mbuzi wa kufuga 6 wanaozaa mapacha, natafuta kuku wa kienyeji 10 tunafuga mtoto naweka ndani anatulia akitaka supu atachagua nichinje mbuzi au kuku, namtafutia na infinix matata yakuperuz anatulia kimya
Pitia Dodoma Kule Kondoa Kuna Sehemu Mji Unaitwa "Mauno" Chukua Mtoto Achana Na Mwaka Ametupiga Fix Kumbe Mambo Chali
 
Back
Top Bottom