Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Mwaka wenzio tunaoshea rungu huko na kuyasahau wewe unafanya official ambazo huwez kuzihudumia. Muachie mwanamke bana ajue Mambo yake.

Na bahat mby ya Mwaka Dr wa mchongo Mzee umeingiencha kike maana kumsumbua mwanamke kwenye Sheria huwez. Mzee Wanawake wanatetewa na kama ingekuwa ughaibuni jela ingekuwa upande wa kajamaa haka
 
Mwanamke wa Kiislam anaweza kuandika talaka inaitwa kujivua, sharti arudishe mahari iliyotolewa kwake.

Wajanja wengi tu hujivua na kusonga mbele na Maisha mengine.
 
Mwanamke wa Kiislam anaweza kuandika talaka inaitwa kujivua, sharti arudishe mahari iliyotolewa kwake.

Wajanja wengi tu hujivua na kusonga mbele na Maisha mengine.
Wti namshangaa kwanini asijivue tu,kama alitaja mahari mamilion kazi anayo lazima asote kupewa talaka[emoji23]

Maana talaka haitolewi kama barua ya posa.
 
Kumbe jamaa ni muislamu?😲😲😲😲
 
bakwataπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mwaka ana wake 3 huyo ni mke wa 1 na siku nyingi alikuwa hana maelewano nae inasemekana wale wawili anapiga threesum mke mkubwa upuuzi hataki kaamua avunje ndoa kabisa.
Umechanganya madesa yule mkubwa ambaye alikuwa hataki upuuzi wa maonyesho anaitwa tuli nadhani wameshaachana huyu ni wapili. Nadhan Sasa anaitwa mke mkubwa baada ya yule wa kwanza kuachwa.
Huyu ni Kati ya Wale wawili aliokuwa anazurura nao kwenye media kututambia.
Sasa inavyoonekana yule wa tatu kamzidi kete mwenzie kajipakulia minyama. Mwenzie anasahaulika!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wti namshangaa kwanini asijivue tu,kama alitaja mahari mamilion kazi anayo lazima asote kupewa talaka[emoji23]

Maana talaka haitolewi kama barua ya posa.
Na wengi hukwama hapo kama alitaka mahari ya milioni 5 na seti ya dhahabu kazi ipo kuvitafuta na kuvirejesha na Wanawake tulivyo na ubahili wa Asili sasa [emoji1787]
 
Mwanamke Ili uyloe kwake awe na vitu vitatu.
Kichwa mgongo na mkia. Joking.


Mambo matatu ni.
1. Ulimi wake maneno yake Kwa mume.

2. Ajue kupika .. jikoni awe safi.

Mwisho. 3. Chumba kunako sita Kwa sita.
 
Viongozi wa Dini huwa wanasema fuata wanayosema na si matendo yao...... connect na huyo πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…