Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Wakuu

Huko Millard Ayo karipoti kuwa jamaa mke wake wa South Africa anadai talaka na toka mwaka jana hawako pamoja, sasa yule alitufanya wanaume tuonekane hatuna mapenzi na wake zetu kumbe nae ndani kuna waka moto.

Haya mambo tuulizane yale nafundisho yake tuyafuate au tumteme maana hata yeye kusomesha watoto kashindwa eti kisa arudiane na mke ndio atasomesha kumbe nae mwaka akili kisoda.

Wanaume tunasema hatutaki tena mafundisho yake uchwara ya ndoa, maana kwake hayajafanya kazi kwetu itakuaje si atafanya na ndoa zetu zivunjike.



View attachment 2493377

Mwaka wenzio tunaoshea rungu huko na kuyasahau wewe unafanya official ambazo huwez kuzihudumia. Muachie mwanamke bana ajue Mambo yake.

Na bahat mby ya Mwaka Dr wa mchongo Mzee umeingiencha kike maana kumsumbua mwanamke kwenye Sheria huwez. Mzee Wanawake wanatetewa na kama ingekuwa ughaibuni jela ingekuwa upande wa kajamaa haka
 
Angekuwa dr Mwaka anataka kumuacha mkewe yaani anatoa talaka yeye ya kumwacha mke wake angeandika tu fasta tu barua tatu za talaka. Ndoa ingekuwa imeshaisha

Mwanamke wa kiislamu hajapewa hiyo nguvu ya kuandika talaka. Yeye ni mpaka adai kwa mumewe amuandikie.

Kwenye dini ya uislamu Mwanaume peke yake ndie ana haki ya kuandika talaka
Mwanamke wa Kiislam anaweza kuandika talaka inaitwa kujivua, sharti arudishe mahari iliyotolewa kwake.

Wajanja wengi tu hujivua na kusonga mbele na Maisha mengine.
 
Mwanamke wa Kiislam anaweza kuandika talaka inaitwa kujivua, sharti arudishe mahari iliyotolewa kwake.

Wajanja wengi tu hujivua na kusonga mbele na Maisha mengine.
Wti namshangaa kwanini asijivue tu,kama alitaja mahari mamilion kazi anayo lazima asote kupewa talaka[emoji23]

Maana talaka haitolewi kama barua ya posa.
 
Eeh bana af huyo shimmy sindio anashindaga ubungo Plaza pale, kipindi nafanya kazi kwenye lile jengo kuna mahali nilikuwa namuonaga sana on a daily. Bonge moja la shangingi la kimjini mjini.
Screenshot_20230125-083521.jpg
 
Wakuu

Huko Millard Ayo karipoti kuwa jamaa mke wake wa South Africa anadai talaka na toka mwaka jana hawako pamoja, sasa yule alitufanya wanaume tuonekane hatuna mapenzi na wake zetu kumbe nae ndani kuna waka moto.

Haya mambo tuulizane yale nafundisho yake tuyafuate au tumteme maana hata yeye kusomesha watoto kashindwa eti kisa arudiane na mke ndio atasomesha kumbe nae mwaka akili kisoda.

Wanaume tunasema hatutaki tena mafundisho yake uchwara ya ndoa, maana kwake hayajafanya kazi kwetu itakuaje si atafanya na ndoa zetu zivunjike.



View attachment 2493377

Kumbe jamaa ni muislamu?😲😲😲😲
 
Wakuu

Huko Millard Ayo karipoti kuwa jamaa mke wake wa South Africa anadai talaka na toka mwaka jana hawako pamoja, sasa yule alitufanya wanaume tuonekane hatuna mapenzi na wake zetu kumbe nae ndani kuna waka moto.

Haya mambo tuulizane yale nafundisho yake tuyafuate au tumteme maana hata yeye kusomesha watoto kashindwa eti kisa arudiane na mke ndio atasomesha kumbe nae mwaka akili kisoda.

Wanaume tunasema hatutaki tena mafundisho yake uchwara ya ndoa, maana kwake hayajafanya kazi kwetu itakuaje si atafanya na ndoa zetu zivunjike.



View attachment 2493377

bakwata😀😀😀😀😀😀
 
Mwaka ana wake 3 huyo ni mke wa 1 na siku nyingi alikuwa hana maelewano nae inasemekana wale wawili anapiga threesum mke mkubwa upuuzi hataki kaamua avunje ndoa kabisa.
Umechanganya madesa yule mkubwa ambaye alikuwa hataki upuuzi wa maonyesho anaitwa tuli nadhani wameshaachana huyu ni wapili. Nadhan Sasa anaitwa mke mkubwa baada ya yule wa kwanza kuachwa.
Huyu ni Kati ya Wale wawili aliokuwa anazurura nao kwenye media kututambia.
Sasa inavyoonekana yule wa tatu kamzidi kete mwenzie kajipakulia minyama. Mwenzie anasahaulika!!😂😂😂
 
Wti namshangaa kwanini asijivue tu,kama alitaja mahari mamilion kazi anayo lazima asote kupewa talaka[emoji23]

Maana talaka haitolewi kama barua ya posa.
Na wengi hukwama hapo kama alitaka mahari ya milioni 5 na seti ya dhahabu kazi ipo kuvitafuta na kuvirejesha na Wanawake tulivyo na ubahili wa Asili sasa [emoji1787]
 
Mwanamke Ili uyloe kwake awe na vitu vitatu.
Kichwa mgongo na mkia. Joking.


Mambo matatu ni.
1. Ulimi wake maneno yake Kwa mume.

2. Ajue kupika .. jikoni awe safi.

Mwisho. 3. Chumba kunako sita Kwa sita.
 
Wakuu

Huko Millard Ayo karipoti kuwa jamaa mke wake wa South Africa anadai talaka na toka mwaka jana hawako pamoja, sasa yule alitufanya wanaume tuonekane hatuna mapenzi na wake zetu kumbe nae ndani kuna waka moto.

Haya mambo tuulizane yale nafundisho yake tuyafuate au tumteme maana hata yeye kusomesha watoto kashindwa eti kisa arudiane na mke ndio atasomesha kumbe nae mwaka akili kisoda.

Wanaume tunasema hatutaki tena mafundisho yake uchwara ya ndoa, maana kwake hayajafanya kazi kwetu itakuaje si atafanya na ndoa zetu zivunjike.



View attachment 2493377

Viongozi wa Dini huwa wanasema fuata wanayosema na si matendo yao...... connect na huyo 😀😀
 
Back
Top Bottom