Historia ya huyu jamaa Juma ni alikuwa mganga wa kienyeji a.k.a witchcraft, baada ya biashara ya waganga kudumaa kukosa wateja miaka ile ya kina dakitari ndodi ndipo baadaye akaibuka kwa nguvu sana.Kwani jamaa ni dokta kweli au jina tu?
Wewe jamaa si nasikia uko pande mbovu!? Huko una access ya simu!?Mahakama inahusika na nini?? Kwani hiyo ndoa ilifungwa mahakamani?? Ndoa ilifungwa msikitini so kama kuna tatizo lolote lile yawapasa kurudi huko huko iliko fungwa ndoa na si mahakamani,, kwa kulifahamu hilo, yule dada ndio maana kakimbikialia bakwata, na ndio maana kuna kipindi waislam walipiga sana kelele wakitaka mahakama ya kadhi, kwa kuwa haiwezekani ndoa afungishe shekhe pembe kuzagila alafu ikiingia mgogoro apelekewe mheshimiwa gwamaka mwakifamba,,
Anajianika kweli. Kufuatwa sio kigezo cha kuropoka kila kitu. Kuna kazi na maisha.Huyo n mtu maarufu camera zinamfat usijifananishe nae nakusema anajianka
Amezaa naye?Bado anampenda mkewe [emoji23]
Kwa hiyo atafutwe mwamba wa kufanya hiyo kazi ya kumpengea kamasi "tabibu" Mwaka!?Alimpa mali kwasababu alikuwa anapata utelezi na tulizo la moyo ,bi mdashi alijitoa kumpetipeti na kupengewa "kamasi" kwenye kipochi manyoya! kwahiyo na yeye mwaka alipiziwe "kupengewa kamasi" ndipo arudishiwe mali zake.
Unaijua sheria ya ndoa wewe ?Kama Bakwata wana mamlaka ya kutoa vyeti vya ndoa basi mamlaka ya kuvunja ndoa pia wanayo Bakwata. .
Yule doctor Mwaka anajuwa baada ya ndoa kuvunjika kinachofata ni kugawana Mali,
Hicho ndy anakihofia Zaidi lakini sio talaka.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Ndoa inavunjwa na mtu mmoja tuNdoa haivunjwi kiholela vile bila kusikilizwa pande mbili, msifikiri kisa mtu akisema tu jambo fulani ni kuivunja tu bila uthibitisho. Dini haiendeshwi kama daladala useme kila taratibu unajiwekea.
Lakini bibie hii taaluma kaivumilia 10yrs probably kapata PHD holders wengine waendeleze alipoishia huyo kijana Mwaka.Ana PhD in Sewage systems ndo mana mke katoka nduki pichu mkononi
😂😂😂Drama za wanaume ambao hawataki kuachika zinafurahishaga sana,, mwingine anakuacha mwnyw tena kwa dhihaka ila badae anaanza vitisho na drama za kusema bado ni mke wangu, fyoko fyoko yani ni vichekeshoDunia ina maajabu hii Wanaume siku hizi ndio wanagoma kuachika mfano Manara na Mwaka🤨
Anaekaza kichwa ni wewe,,, bakwata wana mamlaka ya kutoa talaka chini ya mahakama ya kadhi,,, sasa ikiwa hivyo ndivyo ya nini kuwekwa hicho chombo,,,Usikaze kichwa, muulize ulimquote hayo mabaraza yanafanyaje kazi na utaratibu wa kupata talaka upoje?
Kifupi, Bakwata hawana mamlaka ya kutoa talaka na sheikh wa mkoa alitakiwa ajitoe kwenye hii kesi kutokana na ugomvi alionao na Dr. Mwaka.
Pande mbovu zipi hizo mkuu,,,Wewe jamaa si nasikia uko pande mbovu!? Huko una access ya simu!?
Mwaka kafulia, laiti angekua na pesa angeshukuru kupunguziwa mzigo wa mav😂😂😂Drama za wanaume ambao hawataki kuachika zinafurahishaga sana,, mwingine anakuacha mwnyw tena kwa dhihaka ila badae anaanza vitisho na drama za kusema bado ni mke wangu, fyoko fyoko yani ni vichekesho
Ni ujuha TU wa huyu Baba na anaona haya kuachwa maana alikua na mbwembwe hasaaMotivesheni zote zile alizokuwa anatupatia kuhusu ndoa leo ndoa yake tia maji tia maji anashindwa hata kuiokoa....nmekuja kungua ndoa sio show off wale wote waliofanya show off ndoa zao chaali cha mende
Mkiachwa mnachachawa hakuna cha kufulia, tena mnalia kwa kamasi kabisa live, mi aliniacha kwa mbwembwe nilipopata mtu wa kunioa alilia mbele ya kadamnasi hadharani alimwaga machozi alitambaa lakini ilikuwa too late,, baadhi ya wanaume mna ujinga mwingiMwaka kafulia laiti angekua na pesa angeshukiru kupunguziwa mzigo wa mav
Marinda right?Ana PhD in Sewage systems ndo mana mke katoka nduki pichu mkononi
Huyo nae boya. Watu tunaombea itokee chance ya kuachana Ila ndo ving'ang'aniziMkiachwa mnachachawa hakuna cha kufulia, tena mnalia kwa kamasi kabisa live, mi aliniacha kwa mbwembwe nilipopata mtu wa kunioa alilia mbele ya kadamnasi hadharani alimwaga machozi alitambaa lakini ilikuwa too late,, baadhi ya wanaume mna ujinga mwingi
Mwaka na manara huwaoni wanavyoweweseka kwa kuachwa, mnakuwaga wagumu hivyo hivyo km wewe lkn huyo unaetamani akuache akikuacha na akakaza kamasi zitakutoka tuHuyo nae boya. Watu tunaombea itokee chance ya kuachana Ila ndo ving'ang'anizi
Aaah, samahani mfanano wa majina.Pande mbovu zipi hizo mkuu,,,
Sitajuta na nataman. Ziwa lishalegea huko Dodoma Headquarters nako breki P.uumbu aende tuMwaka na manara huwaoni wanavyoweweseka kwa kuachwa, mnakuwaga wagumu hivyo hivyo km wewe lkn huyo unaetamani akuache akikuacha na akakaza kamasi zitakutoka tu