Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Picha hamna ili kuona hilo kundi la wanawake, kwani Wana maslahi gani na hiyo talaka ikitolewa au Kuna mgao wowote?

IMG_1167.jpg

IMG_1164.jpg
 
Angekuwa dr mwaka anataka kumuacha mkewe yaani anatoa talaka yeye ya kumwacha mke wake angeandika tu fasta tu barua tatu za talaka. Ndoa ingekuwa imeshaisha

Mwanamke wa kiislamu hajapewa hiyo nguvu ya kuandika talaka. Yeye ni mpaka adai kwa mumewe amuandikie.

Kwenye dini ya uislamu Mwanaume peke yake ndie ana haki ya kuandika talaka
Siku ukijua dini imewekwa tu hapo geresha ungeogopa sana ndoa..
Issue hapo inaenda kwa court na game inaishia huko...

Hakuna cha dini wala nini.
 
Angekuwa dr mwaka anataka kumuacha mkewe yaani anatoa talaka yeye ya kumwacha mke wake angeandika tu fasta tu barua tatu za talaka. Ndoa ingekuwa imeshaisha...
Ila anaweza kuomba talaka kutokana na mazingira Fulani Fulani au kujivua katika hiyo ndoa.

Kwahiyo hata kama mume hataki kutoa talaka basi kutokana na sababu hizo za msingi viongozi wa Dini wanaweza kuivunja hiyo ndoa
 
Ila anaweza kuomba talaka kutokana na mazingira Fulani Fulani au kujivua katika hiyo ndoa.

Kwahiyo hata kama mume hataki kutoa talaka basi kutokana na sababu hizo za msingi viongozi wa Dini wanaweza kuivunja hiyo ndoa
Aiseeeee !!!
 
Ndoa zinazofungwa kirahisi huvunjika kirahisi. Hata hivyo kama ana ground za ku disolve ndoa aende mahakamani ndio CHOMBO kinachotambuliwa kuvunja ndoa
Huwezi kwenda mahakamani Bila kupitia bakwata.

Na ukiona ndoa mpaka unafikia mahakamani basi ujue kuna mgogoro WA Mali na hapo jamhuri ndio inachukua mamlaka yake.

Unamaanisha kufungwa rahisi Kwa maana ya mahari au

Vipi inayofungwa Kwa mahari kubwa halafu kila mtu analala katika chumba chake halafu kutengana hamuwezi matokeo yake wote mnaingia katika zinaa Kwa kila mtu kutafuta Mchepuko.
 
Kundi kubwa la wamama waliovalia vazi nadhifu la hijabu huku wakiwa wamefunika nyuso zao kwa Nikabu , limevamia ofisi za Bakwata kwa madai ya kuchoshwa na kupigwa danadana ya kumalizwa kwa mgogoro wa ndoa kati ya Dr Mwaka na Mkewe .

Sizifahamu taratibu za Bakwata , lakini inatuhumiwa kuchelewesha Talaka kati ya wawili hao .

Bali haijajulikana chanzo cha mgogoro huo hadi kufikia kudhalilishana kwa kiwango hicho
Hilo "kundi kubwa la wamama waliovalia vazi nadhifu la hijabu" waliovamia ofisi za BAKWATA wote ni wake zake?
 
Huwezi kwenda mahakamani Bila kupitia bakwata.

Na ukiona ndoa mpaka unafikia mahakamani basi ujue kuna mgogoro WA Mali na hapo jamhuri ndio inachukua mamlaka yake.

Unamaanisha kufungwa rahisi Kwa maana ya mahari au

Vipi inayofungwa Kwa mahari kubwa halafu kila mtu analala katika chumba chake halafu kutengana hamuwezi matokeo yake wote mnaingia katika zinaa Kwa kila mtu kutafuta Mchepuko.
Maariadge
Huwezi kwenda mahakamani Bila kupitia bakwata.

Na ukiona ndoa mpaka unafikia mahakamani basi ujue kuna mgogoro WA Mali na hapo jamhuri ndio inachukua mamlaka yake.

Unamaanisha kufungwa rahisi Kwa maana ya mahari au

Vipi inayofungwa Kwa mahari kubwa halafu kila mtu analala katika chumba chake halafu kutengana hamuwezi matokeo yake wote mnaingia katika zinaa Kwa kila mtu kutafuta Mchepuko.
Umeongea kwa ujasiri Mkuu kana kwamba kifungu Cha 102 Cha sheria ya ndoa ya Tanzania ( Marriage conciliation boards) kimefutwa.
Narudia tena CHOMBO CHENYE MAMLAKA ya kuvunja ndoa Tanzania 🇹🇿 ni mahakama tuu. Na Bakwatwa yaweza kukubalika mahakamani kama Baraza la usuluishi pale tunlitakuwa limesikiliza kwa haki na kuandika certificate mahakamani kuwa wameshindwa kusuluisha na sii kutumia mfumo dume wa mila za kiarabu.
 
Maariadge

Umeongea kwa ujasiri Mkuu kana kwamba kifungu Cha 102 Cha sheria ya ndoa ya Tanzania ( Marriage conciliation boards) kimefutwa.
Narudia tena CHOMBO CHENYE MAMLAKA ya kuvunja ndoa Tanzania 🇹🇿 ni mahakama tuu. Na Bakwatwa yaweza kukubalika mahakamani kama Baraza la usuluishi pale tunlitakuwa limesikiliza kwa haki na kuandika certificate mahakamani kuwa wameshindwa kusuluisha na sii kutumia mfumo dume wa mila za kiarabu.
Achana na upuuzi WA hiyo sheria mkuu,Uislamu Una sheria zake, jamhuri inaingia Kati kama kuna migogoro ya kugawana Mali.

We bakia na sheria zako na vifungu vyako
 
Nahadithia sakata la dr mwaka kutokana na juma lokole na dida mnisamehe nitaiga lafudhi ya juma lokole mainitoe kwenye kundi [emoji23][emoji23][emoji23]

Basi bwana (hapa wanaongea chini chini) bwana yule kamfukuza mkwewe kwenye nyumba yake anataka atoke sasa hatishi wapi navyenyewe alikuwa anajidai mjini anapendwa

anadakia dida kwasauti ndio maana tunasema wanawake watafute vyao sio kujivunia vya mwanaume

Juma lokole tunakuomba sana dr mwaka msahehe yule dada aludi kwenye nyumba kwasabbu ana mtoto mdogo

Anadakia dida sasa wale wamama wenye baibui wameenda kufanya nini pale

Juma lokole kumpambania ex wife haludi kwenye nyumba hile hana pakwenda na mizigo yake hile

Wanaungana kwa pamoja kumuomba dr mwaka hamludishe ex wife pale nyumbani kuhusu taraka ishatolewa kwa mdomo hila mke anataka taraka hile ya bakwata kwhio kinacho wapeleka pale ni kudai haki ya mtoto abaki pale kwenye nyumba


Gafla huko wasp status kumbe dr mwaka anatuma vijembe kwamba waendelee walipo ishia na mke wake alie bakia wameenda dubai

Sijui kuandika nimeishia darasa la nne c sorry
 
Achana na upuuzi WA hiyo sheria mkuu,Uislamu Una sheria zake, jamhuri inaingia Kati kama kuna migogoro ya kugawana Mali.

We bakia na sheria zako na vifungu vyako
Hizo sio sheria mkuu, ni mkusanyiko wa mila za kiarabu. Tanzania sheria zinaitwa ACT OF PARLIAMENT, AU ZILE AMBAZO ZIMETUNGWA KAMA SUBSIDIARY LEGISLATION.

Hizo unazoziita ni sheria za kidini, maana yake ni za kigeni ziwe zimepitwa na wakati au ziwe current. Nchi yetu ni monist state ambayo sheria yoyote ambayo si ya Tanzania lazima ipelekwe bungeni irasimishwe kwenye sheria zetu.

Wakati sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inatungwa pamoja na maboresho yake, ilijumuisha mila , tamaduni , dini na desturi hivyo kupata sheria moja ambayo ni sawa kwa wote
 
Hizo sio sheria mkuu, ni mkusanyiko wa mila za kiarabu. Tanzania sheria zinaitwa ACT OF PARLIAMENT, AU ZILE AMBAZO ZIMETUNGWA KAMA SUBSIDIARY LEGISLATION.

Hizo unazoziita ni sheria za kidini, maana yake ni za kigeni ziwe zimepitwa na wakati au ziwe current. Nchi yetu ni monist state ambayo sheria yoyote ambayo si ya Tanzania lazima ipelekwe bungeni irasimishwe kwenye sheria zetu.

Wakati sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inatungwa pamoja na maboresho yake, ilijumuisha mila , tamaduni , dini na desturi hivyo kupata sheria moja ambayo ni sawa kwa wote
Chief hapa hatubishani achana na Maisha ya kwenye ndoto za sheria hizo,Uislamu Una sheria zake kama Dini,Mimi binafsi nimeshaacha mke kwakuwa hatukuwa na tatizo katika kugawana Mali swala letu halijaenda hata bakwata.

Sheria na hatua za kuvunja ndoa zinajulikana zipo wazi upande wetu WA Dini, ndio maana nakwambia hayo mambo yapo kwenye makaratasi Tu chief.

Anyways ni Uhuru wako kuamini au kutoamini.

Naomba niishie hapa.
 
Kundi kubwa la wamama waliovalia vazi nadhifu la hijabu huku wakiwa wamefunika nyuso zao kwa Nikabu , limevamia ofisi za Bakwata kwa madai ya kuchoshwa na kupigwa danadana ya kumalizwa kwa mgogoro wa ndoa kati ya Dr Mwaka na Mkewe .

Sizifahamu taratibu za Bakwata , lakini inatuhumiwa kuchelewesha Talaka kati ya wawili hao .

Bali haijajulikana chanzo cha mgogoro huo hadi kufikia kudhalilishana kwa kiwango hicho
📸📸📷📹🎥
 
Angekuwa dr mwaka anataka kumuacha mkewe yaani anatoa talaka yeye ya kumwacha mke wake angeandika tu fasta tu barua tatu za talaka. Ndoa ingekuwa imeshaisha

Mwanamke wa kiislamu hajapewa hiyo nguvu ya kuandika talaka. Yeye ni mpaka adai kwa mumewe amuandikie.

Kwenye dini ya uislamu Mwanaume peke yake ndie ana haki ya kuandika talaka
Rejea chanzo cha uumbaji Mwanamke katokea mbavuni mwa mwanaume hamuwezi kuwa sawa hata siku moja.
 
Back
Top Bottom