Orosso
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 949
- 2,284
Alah Akbar!!!Takhbiiiiirrrrr !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alah Akbar!!!Takhbiiiiirrrrr !!!
Ndio,shehe alijifanya muhuni akakutana na wahuni zaidi yakeKweli walijibu hivyo?
Hebu funguka zaidi mshenga! Ilikuwaje?Mwanamke hataki ndoa na ndio kaitaka talaka , aache kulaumu wengine
Hicho kifaa kina mkia ni balaaHicho kifaa kina tackle linalofaa?
Ugonjwa wa yule Kaka Ni makalio makubwa.
Ndoa haivunjwi kiholela vile bila kusikilizwa pande mbili, msifikiri kisa mtu akisema tu jambo fulani ni kuivunja tu bila uthibitisho. Dini haiendeshwi kama daladala useme kila taratibu unajiwekea.Ndoa Ina Sheria zake,,kwa kifupi ndoa imeshavunjwa.
Hakuna ndoa hapo.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Kwa walioishia uchumba, Kajala amewakilisha vyema kabisaHalafu mke wake kumbe msukuma?
Msukuma wa masanja
Wa Manara
Wa Mwaka
Ninapita tu🚶
kama umemsikiliza vizuri Mwaka, kasema yeye hana haja na ndoa ila amehoji endapo sheki wa Mkoa na baraza la wazee wanayo mamlaka ya kuvunja ndoa yakeWatanzania nisaidieni, Hivi ndoa ambayo inahusiana na Hisia na upendo, unatafutaje haki kwa watu? This is rubbish kabisa, Mwanamke hakutaki, wewe unalazimisha nini?
Usikaze kichwa, muulize ulimquote hayo mabaraza yanafanyaje kazi na utaratibu wa kupata talaka upoje?Hivyo vyombo vyote unavyovisema sijui baraza la usuluhishi huku vipo,, na kuna miongozo inafuatwa kabla ya yote,, hicho kitendo cha ndoa kuvunjwa ni kitendo cha mwisho kabisa baada ya kushindikana kila kitu, na kwakuwa wahusika ni binaadamu,, na kawaida ya binaadamu kama alivyo mfano wa huyo dada akichoka kuishi na mume/mke inakuwa basi, hapo ndoa inavunjwa,, na hata huko unakosema kwenye mahakama za kiserikali mara nyingi ukipeleka kesi hizi za ndoa hasa za kiislam, wanawaambia waende kwenye mabaraza ya usuluhishi ndani ya mahakama ya kadhi,,
AiseeAnahofu mtalaka atakuja na za ndani kbs kuhusu Jogoo kugoma kupanda mtungi licha ya utabibu wake wote!!!
SawasawaYupo sahihi, ila amekosea kidogo kuwa KWA MUJIBU WA SHERIA YA NDOA YA TANZANIA YA MWAKA 1971 MAHAKAMA TU NDIO INA MAMLAKA NA UWEZO WA KUVUNJA NDOA NA KUTOA CHETI CHA TALAKA BAADA YA JARIBIO LA BARAZA LA USULUISHI KUSHINDWA KUSULUISHA. HIVYO AKIENDA MAHAKAMANI BADO NDOA YAKE NI HALALI
Millardayo kaoa uliona ndao yake kweny Tv? Acha ushamba !!Huyo n mtu maarufu camera zinamfat usijifananishe nae nakusema anajianka
Bado anampenda mkewe [emoji23]Watanzania nisaidieni, Hivi ndoa ambayo inahusiana na Hisia na upendo, unatafutaje haki kwa watu? This is rubbish kabisa, Mwanamke hakutaki, wewe unalazimisha nini?
Mwaka msanii sana, washatosana na mkewe kitambo lakini anakomaa kutaka kumkomoa huyo dada kisa kutaka mwanamke arudishe kila alimchomgharamikia...
Mbona kadhi alishapigiwa simu kwenye jahazi Jana hiyohiyoMsubiri Kadhi naye ataitwa Clouds
🤣 Mwamba ataaibika vibaya, mtoto kashapata shefa tayari linataka libebe mazigo jumla jumla. Si mnaelewa mitoto ya kisukuma ilivyo na huba lakini.