Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Mwanamke kama hakutaki hata aje shehe Kipozeo au Madam Presedent haitasaidia kitu. Kubali tu illi maisha yaendelee
 
Sio kweli.... Mbona mwanaume akiamka na kuamua kutoa talaka anatoa na inakubaliwa,ila kwa mwanamke kuomba talaka ndo mnasema mpaka pande mbili zikutane!!!!!????kuna kitu hujui kajaribu kujifunza
Kasome tena inaonekana umekariri sana na hujaeleqa chochote, unafikiri Talaka ni tiketi ya daladala ijitokee tu kiholela. Watu wengi mjini wanakiuka sana haya mambo
 
Wanaume wa bongo ni vipi??mkiachwa muachike ni nini mnang'ang'ania wake waliowachoka hawawataki?? Manara nae baada ya kuuchwa akaanza kulia lia instagram haahaaha...wanaume kubalini yaishe.
 
Shekh ubwabwa lini akazijua sheria za ndoa?

Yeye abaki kusifia maccm wenzia na kuvaa mapete yake ya urembo

mambo ya dini awaachie waislamu
 
Huyo shekh wa mkoa ni muhuni Fulani wa mjini na tabia zake za kihuni abaki upande wa uchawa tu,dini ya kiislamu haiendeshwi kihuni

Sasa anaichafua dini na kuonesha watu wa dini hiyo hawajitambui
 
Shekh ubwabwa lini akazijua sheria za ndoa?

Yeye abaki kusifia maccm wenzia na kuvaa mapete yake ya urembo

mambo ya dini awaachie waislamu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una hasira nae
 
Tayari huko tamko lishatolewa kuwa Alhadi na watu wake waliingilia madaraka si yao. Ndoa ile bado ni halali
FB_IMG_16748174207416793.jpg
 
Back
Top Bottom