Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utamaduni wetu afrika ni ke kuwajibika kufua nguo za me ikibidi hata is is nduguzeJe wewe kumfulia yeye kuna tatizo gani?
dah aisee, ila sio fresh zalau iziHuyo kaolewa na kaka yako, wewe endelea kujifulia hadi utakapopata wako.
Mada nyingine kama hizi hazina hata haja ya kujibbaada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
ndo nini?Chai na matikiti
View attachment 3178760
kwani ni vibaya kuuliza?Mada nyingine kama hizi hazina hata haja ya kujib
Kwanini? by the way sina ulemavuUnaulemavu wa viungo? Nadhani Ubongo wako haupo sawa
Kaka matusi yaWe zuzu kweli
matusi ya nini?We zuzu kweli
Wewe ni poyoyo mkuubaada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
Kwanini?Wewe ni poyoyo mkuu
Samahan sijaelewa unaweza ukafafanua?Luku imeisha juu huko .
Au mvua zinapiga king'amuzi ?
We bwege Nini!Mimi zangu mwenyewe nafua mwenyewe.baada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
Tuheshimiane mkuu,tulikwaruzana wapi kwani!?Utakuta mleta mada ni UCD ana gallow bird
Unamingapi ?Hapana sijafikia huo umri, nimeomba account
Sii unaanza kumsifia tuu...shem leo umependeza, mara jamani kaka anafaidi...mdogo mdogo shem ataelewaHapana sijui hayo mambo