Mke wa Kiboko ya Wachawi akamatwe haraka, yuko mbioni kutoroshwa kimafia na wajanja

Mke wa Kiboko ya Wachawi akamatwe haraka, yuko mbioni kutoroshwa kimafia na wajanja

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.

Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.

Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.

Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
 
Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.

Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.

Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.

Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Kibiko kumbe alikuwa kiboko kwa mengi
 
Mpaka akili ziwakae sawa mtakuwa mmechakaa
Na alivyokuwa wa Ajabu na Mchawi kweli unaambiwa kuna Wengine alikuwa akiwakazia Ofisini mwake vile vya Fasta Fasta akiwadanganya kuwa akiwapitishia Mkuyenge / Mkurudungu wake basi atawapa Nyota za Kupendwa na Kuolewa na Wanaume Wabishi wa Kuoa kama akina GENTAMYCINE.
 
Yale yale ya yule dogo mme wa ebitoke😂😂😂

Eti anapaka dawa kwenye mjulubenga alafu unazama kutoa kitambi

Na alivyokuwa wa Ajabu na Mchawi kweli unaambiwa kuna Wengine alikuwa akiwakazia Ofisini mwake vile vya Fasta Fasta akiwadanganya kuwa akiwapitishia Mkuyenge / Mkurudungu wake basi atawapa Nyota za Kupendwa na Kuolewa na Wanaume Wabishi wa Kuoa k kama akina GENTAMYCINE.
e
 
Mkomee kuparamia paramia makanisa
Nani sasa Mimi niliye Uganda au hao Waumini wake? Hapa nawasaidia tu na Taarifa zote nazipata kutoka kwa Watu Wawili Waaminifu kutoka mahala fulani panapoaminika Tanzania.

Na baadae nakuja na Exclusive yake nyingine hivyo Usibanduke hapa JamiiForums na kwa hii ID kwani Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na hakuna wala hakutotokea mwingine.
 
Back
Top Bottom