GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.
Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.
Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali
Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.
Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali
Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.