Mke wa Kiboko ya Wachawi akamatwe haraka, yuko mbioni kutoroshwa kimafia na wajanja

Tulia wewe hii dunia wajinga ni wengi sana kwan walishikiwa fimbo waende huko
 
Nasema aje aendelee kuvuna wajina ni wengi sana
 
Uko saa sahihi

USSR
 
😂😂😂😂😂Ila alikuwa anawalazimisha Kwan mkuu au walikuwa wanataka miujizaa ..hvyo wakakubali kuvua Pichu,na usikute na Kuna wanaume pia wamevuliwa ubingwaaa
Mbona wengi wamevuliwa ubingwa popoma akiwa mmojawapo
 
Tulia wewe hii dunia wajinga ni wengi sana kwan walishikiwa fimbo waende huko
Hawajashukiwa fimbo bali waneenda pale kwa sababu ya ujinga wao mkuu. Na haya mambo ndiyo serikali ya CCM inapenda ili iendeleee kuitawala milele.
 
Nisawa sababu ni mkewe ni manifa iks wa Hela za wozi kwa njia ya ulaghai śliżowi iwa watu mume wake.

Kwa hiyo aisaidie polisi mtuhumiwa alipo aje kujibu tuhuma zake haraka iwe fundisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…