The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Wana wazimu hao.Sikiaaa wajingaaa wanavyoopiga keleleee hukonyumaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana wazimu hao.Sikiaaa wajingaaa wanavyoopiga keleleee hukonyumaaa
🤣🤣🤣 wajinga ndy waliwao ohoo ss tumechoka kupewa ibada ya ratba tunataka uwaamsho wa manabii aya sasa wamekpata tukiwaambia hzo iman amna awanatukosowa sasa wajifunze hii ndy dunia jiamn mwenyw ss tunaitaji pesa kama mbingu ipo tutatubu tuFanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.
Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.
Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Mbwaa kabisaa na gfriend wangu alikuwa humo nikamtoa shimon hapa naelekea tacaids asbh baada yakusoma hizi mada zenu za kuuwana nikapime tu tena khaWana wazimu hao.
Kama ni Mrembo sijui kama hakumbandua. Demu wako ana Mkia / Tako? Kwani huo ndiyo ulikuwa Ugomjwa wake mkubwa Kiboko ya Wachawi.Mbwaa kabisaa na gfriend wangu alikuwa humo nikamtoa shimon hapa naelekea tacaids asbh baada yakusoma hizi mada zenu za kuuwana nikapime tu tena kha
Na Dada yako.Kakuchapia mkeo nini
ChaiFanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.
Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.
Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Ikupe Mimba?Chai
Karefuuu kembambaaa kidogo takoo sio bwaku sana allamhdullilah nimeridhia sema ndio hivyo babazao.amamazao wamoja hawa hawaaminiki..Kama ni Mrembo sijui kama hakumbandua. Demu wako ana Mkia / Tako? Kwani huo ndiyo ulikuwa Ugomjwa wake mkubwa Kiboko ya Wachawi.
Pole kwa kuchapiwa mke ni haki umchukieNa Dada yako.
bro, kama alienda kwa kiboko ya wachawi, hata usiende kupima, mwombe Mungu, kula chakula bora kama matunda, maji kwa wingi, samaki, nyamanyama n.k. mtafute Mungu awe mwokozi wako. ni hayo tu.Karefuuu kembambaaa kidogo takoo sio bwaku sana allamhdullilah nimeridhia sema ndio hivyo babazao.amamazao wamoja hawa hawaaminiki..
.niliwahi kuta passport size kwa begilake loh nilimchapa akalia akasema wamegaiwa kanisan wakisali wawe wanashika passportsize ya huyu mbwaaa aisee nilimtukana mbayaa
Sikumojaa nkasikia jamaa anasema wangapi awajapata paspsortsize yangu nyoshaa mkono aisee nilihamaki
Kwani Kiboko ya wachawi ana mume?Huku baadhi yao akiwa Ameshawaambukiza pia.
Ahsantemkuu.maana naweza kukutana na ni achokitqfutabro, kama alienda kwa kiboko ya wachawi, hata usiende kupima, mwombe Mungu, kula chakula bora kama matunda, maji kwa wingi, samaki, nyamanyama n.k. mtafute Mungu awe mwokozi wako. ni hayo tu.
Duuh noma sana. Wanawake wa tz waache mishoboko na usikute aliwala mpaga viboga. Sasa mtu aliwe alafu aamini hapo kuna Mungu!!!. Huo ni utaahira uliokubuhuNa alivyokuwa wa Ajabu na Mchawi kweli unaambiwa kuna Wengine alikuwa akiwakazia Ofisini mwake vile vya Fasta Fasta akiwadanganya kuwa akiwapitishia Mkuyenge / Mkurudungu wake basi atawapa Nyota za Kupendwa na Kuolewa na Wanaume Wabishi wa Kuoa k kama akina GENTAMYCINE.
Atatusaidia kutupa information about the whereabout of her stpd husbandNi kinyume na sheria kumkamata maana muhalifu siyo yeye ila ni mume wake anaepaswa kukamatwa ni mume wake
People are fuc. kers.....Sorry mista Melo....nimetumia neno kali kufikisha hasira yangu. Sitarudia tena neno hiliNikupe laki 5 kuniombea nipate pesa..people are crazy