Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Serikali imfungie na mwamposa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rubbish.Pole kwa kuchapiwa mke ni haki umchukie
Wewe Jamaa yaani umenifanya Nicheke mpaka basi.bro, kama alienda kwa kiboko ya wachawi, hata usiende kupima, mwombe Mungu, kula chakula bora kama matunda, maji kwa wingi, samaki, nyamanyama n.k. mtafute Mungu awe mwokozi wako. ni hayo tu.
Nimewachoka na Tumewachoka kwakweli hawa Wapumbavu na Matapeli.Mtetezi wa Afrika mashariki na kati kwanini unamchoma Mwafrika mashariki na kati mwenzio?
Sawa kabisa Mkuu uko sahihi 100%Atatusaidia kutupa information about the whereabout of her stpd husband
Kama kuna Post niliyoipenda na iliyokwenda Kidato / Shule ni hii yako. Mkuu agiza Kitimoto na Bia ulipo nitalipa Mimi.Serikali imfungie na mwamposa
Kaingiaaaaa nabiii titoo sembuse mashaIla sijui Masha aliwezaje kuingia mle.
Kwa kile Kichwa chake Kikubwa kama Puto la Korea Kaskazini unategemea kweli kuwe na Akili au hata Madini ya Akili?Ila sijui Masha aliwezaje kuingia mle.
Mke tayari Masela wameshamfukua Tope Laini.ndiooo maana sikuhizii wake za watuu wengi wakifanywaaaa na waume zaoo kidogoo tu wanakunya sababuya mbwa kama hawa ...anamuona
niliitwa kushauri kesi.moja ya ndoa kanisa moja hapa katikatiyamji aisee halisi nzuri
mume anasema hajawahi onaa toka amuse mkewe ana mwezi wapili akimpiga cha kwanza safii
akigusa cha pili Tanzania mke anatoa hajakibwa basi balaaaaaa kavumilia kamuuliza shida asemi anajibu hatayeye haelewi
sikia haya kwamwenziooo
huwezi kumkamata mke wake kwa kosa la mume jinai haipo hivyo na ni kosa kisheriaFanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.
Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.
Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali
Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Mpwaaaaaa sikia kwa watuu wamemusendwichMke tayari Masela wameshamfukua Tope Laini.
Una Akili sawa sawa Kichwani?huwezi kumkamata mke wake kwa kosa la mume jinai haipo hivyo na ni kosa kisheria
Hiyo imeenda kabisa aisee! Huyu jamaa ni mpumbavu sana hana akili hata kidogo wewe muone hivyo. Anawanunua watu wa kufanya ushuhuda wa uwongo kanisani kwake ili avune pesa huku akijua kwamba anawahadaa watanzania ili awavune pesa bila sababu za msingi.Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.
Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.
Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali
Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Yaani lijamaa lichoko kabisa limetoka zake huko Kongo limekuja hapa Tanzania kuvuna pesa za kuvuna pesa za manyumbu. Tanzania kuna kijitu ya ajabu sana.Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.
Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.
Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali
Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Mkono wa nyani hujambo?Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.
Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.
Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali
Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.
Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.