Mke wa Kiboko ya Wachawi akamatwe haraka, yuko mbioni kutoroshwa kimafia na wajanja

Mke wa Kiboko ya Wachawi akamatwe haraka, yuko mbioni kutoroshwa kimafia na wajanja

ndiooo maana sikuhizii wake za watuu wengi wakifanywaaaa na waume zaoo kidogoo tu wanakunya sababuya mbwa kama hawa ...anamuona

niliitwa kushauri kesi.moja ya ndoa kanisa moja hapa katikatiyamji aisee halisi nzuri

mume anasema hajawahi onaa toka amuse mkewe ana mwezi wapili akimpiga cha kwanza safii

akigusa cha pili Tanzania mke anatoa hajakibwa basi balaaaaaa kavumilia kamuuliza shida asemi anajibu hatayeye haelewi

sikia haya kwamwenziooo
 
ndiooo maana sikuhizii wake za watuu wengi wakifanywaaaa na waume zaoo kidogoo tu wanakunya sababuya mbwa kama hawa ...anamuona

niliitwa kushauri kesi.moja ya ndoa kanisa moja hapa katikatiyamji aisee halisi nzuri

mume anasema hajawahi onaa toka amuse mkewe ana mwezi wapili akimpiga cha kwanza safii

akigusa cha pili Tanzania mke anatoa hajakibwa basi balaaaaaa kavumilia kamuuliza shida asemi anajibu hatayeye haelewi

sikia haya kwamwenziooo
Mke tayari Masela wameshamfukua Tope Laini.
 
Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.

Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.

Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.

Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
huwezi kumkamata mke wake kwa kosa la mume jinai haipo hivyo na ni kosa kisheria
 
Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.

Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.

Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.

Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Hiyo imeenda kabisa aisee! Huyu jamaa ni mpumbavu sana hana akili hata kidogo wewe muone hivyo. Anawanunua watu wa kufanya ushuhuda wa uwongo kanisani kwake ili avune pesa huku akijua kwamba anawahadaa watanzania ili awavune pesa bila sababu za msingi.
 
Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.

Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.

Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.

Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Yaani lijamaa lichoko kabisa limetoka zake huko Kongo limekuja hapa Tanzania kuvuna pesa za kuvuna pesa za manyumbu. Tanzania kuna kijitu ya ajabu sana.
 
Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.

Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.

Pia soma: Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.

Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Mkono wa nyani hujambo?
 
Back
Top Bottom