Mke wa Kiboko ya Wachawi akamatwe haraka, yuko mbioni kutoroshwa kimafia na wajanja

Mke wa Kiboko ya Wachawi akamatwe haraka, yuko mbioni kutoroshwa kimafia na wajanja

Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.

Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.

Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.

Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
🤣🤣🤣 wajinga ndy waliwao ohoo ss tumechoka kupewa ibada ya ratba tunataka uwaamsho wa manabii aya sasa wamekpata tukiwaambia hzo iman amna awanatukosowa sasa wajifunze hii ndy dunia jiamn mwenyw ss tunaitaji pesa kama mbingu ipo tutatubu tu
 
Mbwaa kabisaa na gfriend wangu alikuwa humo nikamtoa shimon hapa naelekea tacaids asbh baada yakusoma hizi mada zenu za kuuwana nikapime tu tena kha
Kama ni Mrembo sijui kama hakumbandua. Demu wako ana Mkia / Tako? Kwani huo ndiyo ulikuwa Ugomjwa wake mkubwa Kiboko ya Wachawi.
 
Fanyeni upesi kwani ama Usiku huu wa Leo au Kesho hatokuwa tena Ardhi ya Tanzania.

Msije kusema GENTAMYCINE sijawaambia. Na mkimkamata mwambieni nchi ya Jirani aliyokimbilia Mumewe.

Kafanya Dhambi kubwa sana kwa Watanzania Masikini kwa Kuwadhulumu, Kuwadanganya, Kulala na Wake za Watu huku pia Akiwaambukiza Visivyotibika na WHO hadi sasa.

Kazi Kwenu Serikali, Polisi, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa. Nimeshamaliza jukumu langu kama Mzalendo Halisi wa Afrika Mashariki na Kati.
Chai
 
nadhani serikali ilimfumbia macho awali wakidhani waumini wake ni wengi hivyo wasiwadisturb kwasababu ndio wapiga kura wa mwakani. hii ndio kasumba kubwa ya ccm.
 
Kama ni Mrembo sijui kama hakumbandua. Demu wako ana Mkia / Tako? Kwani huo ndiyo ulikuwa Ugomjwa wake mkubwa Kiboko ya Wachawi.
Karefuuu kembambaaa kidogo takoo sio bwaku sana allamhdullilah nimeridhia sema ndio hivyo babazao.amamazao wamoja hawa hawaaminiki..

.niliwahi kuta passport size kwa begilake loh nilimchapa akalia akasema wamegaiwa kanisan wakisali wawe wanashika passportsize ya huyu mbwaaa aisee nilimtukana mbayaa

Sikumojaa nkasikia jamaa anasema wangapi awajapata paspsortsize yangu nyoshaa mkono aisee nilihamaki
 
Haya makanisa yanayotumia vitu ati kutibu mikosi ni ya kuwa makini nayo sana - usanii.

Ile sanaa ya mazIngaombwe ile miaka ya 80 hadi 90 sasa hivi imehamia makanisa haya wanaita ya upako kuuziwa maji, chumvi, mafuta nk.

Ndugu ukiona mkeo kila kukicha kiguu ma njia kwa baba nabii ujue ndoa yako ipo majaribuni - wanawake ni wepesi sana kurubuniwa. ( ni nature yao).

Yaani usipokiwa makini mtakuwa mnapumzika sehemu moja bila kujuana na hela juu inapelekwa.
 
Karefuuu kembambaaa kidogo takoo sio bwaku sana allamhdullilah nimeridhia sema ndio hivyo babazao.amamazao wamoja hawa hawaaminiki..

.niliwahi kuta passport size kwa begilake loh nilimchapa akalia akasema wamegaiwa kanisan wakisali wawe wanashika passportsize ya huyu mbwaaa aisee nilimtukana mbayaa

Sikumojaa nkasikia jamaa anasema wangapi awajapata paspsortsize yangu nyoshaa mkono aisee nilihamaki
bro, kama alienda kwa kiboko ya wachawi, hata usiende kupima, mwombe Mungu, kula chakula bora kama matunda, maji kwa wingi, samaki, nyamanyama n.k. mtafute Mungu awe mwokozi wako. ni hayo tu.
 
bro, kama alienda kwa kiboko ya wachawi, hata usiende kupima, mwombe Mungu, kula chakula bora kama matunda, maji kwa wingi, samaki, nyamanyama n.k. mtafute Mungu awe mwokozi wako. ni hayo tu.
Ahsantemkuu.maana naweza kukutana na ni achokitqfuta
 
Na alivyokuwa wa Ajabu na Mchawi kweli unaambiwa kuna Wengine alikuwa akiwakazia Ofisini mwake vile vya Fasta Fasta akiwadanganya kuwa akiwapitishia Mkuyenge / Mkurudungu wake basi atawapa Nyota za Kupendwa na Kuolewa na Wanaume Wabishi wa Kuoa k kama akina GENTAMYCINE.
Duuh noma sana. Wanawake wa tz waache mishoboko na usikute aliwala mpaga viboga. Sasa mtu aliwe alafu aamini hapo kuna Mungu!!!. Huo ni utaahira uliokubuhu
 
Back
Top Bottom