Mke wa marehemu Filikunjombe agoma kwenda kwa wajane wa Makonda, adai alienda kabla na hakusaidiwa

Bado sijaelewa, hao wajane wanakwenda kusaidiwa nini?
 
Huyu hawezi kwenda msaada anapata toka kwa Zitto
 
Hope Marehemu Deo Filikunjombe angekuwa hai angekuwa mmoja ya mawaziri walio na wizara nyeti


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah hata hiki kifaa ni kijane...??? Naombeni mawasiliano yake tufute ujane nitamfanya hata lile gorofa alisahau...
 
Huyo naye aache kubwabwaja penshen yote aliyochukua hakuridhika?

God first
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…