Mke wa mchungaji ananitia majaribuni, ama kwa hakika vijana tukatae ndoa. Ndoa ni utapeli

Mke wa mchungaji ananitia majaribuni, ama kwa hakika vijana tukatae ndoa. Ndoa ni utapeli

Hawa wanawake sijui wana shida gani!? Wakiwa hawajaolewa wanahangaika kwa manabii na waganga ili wapate ndoa. Ila wakishaolewa kutwa kuhangaika kurukaruka kutaka kugawa utamu wa ndoa kwa sisi mabachela.

Imagine mke wa mchungaji, status zake ni makongamano na semina za kibiblia na neno la Mungu, bila kusahau vifungu vya biblia na nyimbo za mapambio. Lakini inbox sasa, ni full uasherati. Hapa nimetoka kuambiwa kuwa siku tukionana atanipa chakula cha kizungu. Just imagine, mama mchungaji anataka kunitunuku kijana wa Gen Z chakula cha kizungu.

Kataa ndoa...
Ndoa ni utapeli...
Ndoa ni ubaya ubwela...
Na ubwela una mwisho...
Unawajua Gen Z wewe? Au unafikri kila kijana ni Gen Z?
 
Hawa wanawake sijui wana shida gani!? Wakiwa hawajaolewa wanahangaika kwa manabii na waganga ili wapate ndoa. Ila wakishaolewa kutwa kuhangaika kurukaruka kutaka kugawa utamu wa ndoa kwa sisi mabachela.

Imagine mke wa mchungaji, status zake ni makongamano na semina za kibiblia na neno la Mungu, bila kusahau vifungu vya biblia na nyimbo za mapambio. Lakini inbox sasa, ni full uasherati. Hapa nimetoka kuambiwa kuwa siku tukionana atanipa chakula cha kizungu. Just imagine, mama mchungaji anataka kunitunuku kijana wa Gen Z chakula cha kizungu.

Kataa ndoa...
Ndoa ni utapeli...
Ndoa ni ubaya ubwela...
Na ubwela una mwisho...


Haya mashetwani yote yapo Hivyo!
 
Alichoandika Mtoa Mada ndo hali halisi ya hawa wanawake tunaowao, Waongo, wanafiki, washenzy,

Si support kukataa ndoa, ila wakataa ndoa wasikilizwe!
 
Wanawake wengi ndio wapo ivyo juzi kati kuna mjuba kaleta uzi hapa kuna kadada kameolewa mume wake kagundua chatingi za sms analiwa kisamvu na dogo fulani aya yote ni mapichapicha ya wanawake ndio mana maandiko matakatifu yanasema tuishi nao kwa akili nyingi sana ivyo usishangae huko makanisani kupelekeana moto ni kawaida sana
 
Bila screenshot na namba yake ili tumuulize basi huu uzi batili na siamini haya uliyoyasema.
 
Hawa wanawake sijui wana shida gani!? Wakiwa hawajaolewa wanahangaika kwa manabii na waganga ili wapate ndoa. Ila wakishaolewa kutwa kuhangaika kurukaruka kutaka kugawa utamu wa ndoa kwa sisi mabachela.

Imagine mke wa mchungaji, status zake ni makongamano na semina za kibiblia na neno la Mungu, bila kusahau vifungu vya biblia na nyimbo za mapambio. Lakini inbox sasa, ni full uasherati. Hapa nimetoka kuambiwa kuwa siku tukionana atanipa chakula cha kizungu. Just imagine, mama mchungaji anataka kunitunuku kijana wa Gen Z chakula cha kizungu.

Kataa ndoa...
Ndoa ni utapeli...
Ndoa ni ubaya ubwela...
Na ubwela una mwisho...
Uko wapi mwanakondoo....
 
Ningetaka kumchafua mtu ningeweka chat history na mapichapicha yake ya hovyo ambayo huwa ananitumia. Nimeamua kuleta huu uzi ili kuonyesha mauchafu wanayowafanya wake zenu wakati ninyi mnateseka kuwatafutia chakula.
Weka chats vinginevyo huu ni uji wa lishe.
 
Unawajua Gen Z wewe? Au unafikri kila kijana ni Gen Z?
Ongeza maarifa kidogo hapo mkuu
Screenshot 2024-08-16 091222.png
 
Back
Top Bottom