secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Na ukiamua kufanya changes usigope kufa. Siyo kwamba unaamua kufanya change halafu ukipigwa kidogo tu unalalamika kama mtoto mdogo.Wanaofanya +changes ni wachache sana kwa ajili yawengi.......
Mwaka kesho sio mbali. Walichowafanyia wapinzani kwenye uchaguzi huu watafanyiana kwenye uchaguzi ndani ya chama. Wataibiana kura na watauana. Apandacho mtu ndicho atakachovuna.Ubinafsi utakuja kukuponza mkuu. Leo yanatokea kwa hao unaowaita wa Mbowe kesho yatakurudia na hapatakuwa wa kupaza sauti kwa ajili yako. UBAYA hauna macho.
Pumbavu mkubwa wewe...Vijana nawaambia kila siku acheni kutumika na wanasiasa kesho utamkuta Mbowe ikulu wewe umeacha familia inateseka
Inaumiza sana.Pia alisema kuwa mwanae aliona jinsi baba yake alivyouwawa kikatili na polisi.
Kwanini mkuu? Kafanya kosa gani kwani?Huyu mke wa Marehemu naye aweza kuuawa
Ni watu wabaya sanaMimi ndiyo maana sina urafiki na mapolisi.
Sasa hapo mbowe anahusikaje na askari kuua???Vijana nawaambia kila siku acheni kutumika na wanasiasa kesho utamkuta Mbowe ikulu wewe umeacha familia inateseka
Hata mumewe alifanya kosa gani?Kwanini mkuu? Kafanya kosa gani kwani?
Mjinga sana wewe,mtu kutumia haki yake kama mwananchi kugombea nafasi ya uongozi ndiyo kutumika na Mbowe? Je hao wagombea wa ccm nao wanatumika na Samia au nani? Kama kutumika ni hao maaskari ndiyo wanatumika na kujipendekeza kwa kuua na kuumiza masikini wenzao kwa kuhongwa vihela vidogo vidogo na mabwana zao ccm huku maisha yao yakiendelea kuwa magumu huku wakilazwa kwenye makazi duni kama mbwa.Vijana nawaambia kila siku acheni kutumika na wanasiasa kesho utamkuta Mbowe ikulu wewe umeacha familia inateseka
Mbowe anaingiaje wakati mtu anagombea kitongoji.... kwani hayo ni maandamano au uchaguzi?Vijana nawaambia kila siku acheni kutumika na wanasiasa kesho utamkuta Mbowe ikulu wewe umeacha familia inateseka
siasa za kuuana???Sijazungumzia watanzania nimewazungumzia wapinzani (chadema).
Wanaamini siasa ni rahisi kiasi hicho ndiyo maana wakifanyiwa vitendo viovu wanalalamika na hawapati Masada wowote.
Sasa kama wana CCM wanauana wao kwa wao kupigania madaraka wewe unashangaa kuuawa kwa watu wa chadema?siasa za kuuana???
Mmh hii nchi hiiWakuu,
Nimekutana na video ya mke wa Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed akielezea namna ambavyo polisi walimkamata na kumuua mume wake kwa kumpiga risasi nne.
Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe lakini polisi walimpiga mume wake risasi nne na hivyo mume wake alifariki dunia
Pia alisema kuwa mwanae aliona jinsi baba yake alivyouwawa kikatili na polisi.
Soma pia: Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024
=========================================
Naomba niishie hapa. Nisije nikaandika zaidi nikaharibu.
Ila haya mambo yote huwa yana mwisho na mwisho wake huwa sio mzuri
View attachment 3166595
Hakuna justification yoyote kwa mauaji,period!Sasa kama wana CCM wanauana wao kwa wao kupigania madaraka wewe unashangaa kuuawa kwa watu wa chadema?
Anyway, ukikua utaenielewa.
Sasa kama huwezi kuzuia mauaji utachukua hatuna gani.Hakuna justification yoyote kwa mauaji,period!
Well said.Waafrica hatuwesi siasa za kistaarabu, kifupi civilization hatuiwezi maana sisi tuna vinasaba vya wanyama yaani kiasili sisi ni wanyama. Sisi tuna tofauti kubwa saana na binadamu wenye ngozi nyeupe.
Yanayoendelea Msumbiji & Angola na kwengineko Africa ni maana halisi ya uafrica wetu.
It is a painful story on the global, ni uchungu mkubwaWakuu,
Nimekutana na video ya mke wa Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed akielezea namna ambavyo polisi walimkamata na kumuua mume wake kwa kumpiga risasi nne.
Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe lakini polisi walimpiga mume wake risasi nne na hivyo mume wake alifariki dunia
Pia alisema kuwa mwanae aliona jinsi baba yake alivyouwawa kikatili na polisi.
Soma pia: Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024
=========================================
Naomba niishie hapa. Nisije nikaandika zaidi nikaharibu.
Ila haya mambo yote huwa yana mwisho na mwisho wake huwa sio mzuri
View attachment 3166595