Mke wa mtu ameniota

Hiyo ya mwizi nimeipenda naona leo nimepita tena kaongeza na kurembua macho. Angejua kuwa nimemuanzishia uzi huku ...........
Ooh... Lord,have mercy! Ameanza marembuzi? Fanya hivi:Funga kula siku tatu mfululizo. Piga maombi makali. Kemea. Kumbuka,wakati huo chakula chako kiwe maji na tende tu nyakati za jioni tu. Utashinda.
 
Ooh... Lord,have mercy! Ameanza marembuzi? Fanya hivi:Funga kula siku tatu mfululizo. Piga maombi makali. Kemea. Kumbuka,wakati huo chakula chako kiwe maji na tende tu nyakati za jioni tu. Utashinda.
Mkuu asante kwa ushauri ntafanyia kazi maana kaomba na namba ya simu ili nikipotea anitafute.
 
Kitendo cha kubaini kuwa huo ni mtego bora uuache...ni heri kuonekana kuwa mjinga kwa mtazamo wa mtu mmoja au 2 na kuuonekana mwerevu kwa watu wengi zaidi, utajijengea heshima na baraka mbele za Mungu.
 
Yote yanaweza kuwa sahihi inawezekana pia huyo mama anajaribu kujenga mazoea ya kiutani kwa njia hiyo.... au anahisi pia ni njia ya wewe kuwa mteja wa kudumu.... Ungeendelea kununua mahitaji yako hapo ukiona vimezid uchukue hatua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Kwa kweli wake za watu nawala Sana, Mimi sikopeshi, ukinilegezea uno nalikaza kama kawa, mambo ya fumanizi ni ajali kazin, kwenye kisa chako ningekuwa Mimi ningemla humo humo supermarket alaf nakula winga masaaa...nakuwa namla bila yeye kutegemea, Ila nataka niache Kula hawa wake za Mabaharia sema wanatongoza Sana hasa wakiona we handsome na unapendeza ,
 
Sasa mbona mimi nimewahi kumuota Diiiisiiii mmoja hivi mdogo kuwa namgegeda tena siyo mara moja.Halafu ukizingatia nimeoa eti,hivyo vitu vinatokea sana kwenye ndoto
 
Kwa swali la kwamba mwanamke anaweza kumuota mtu mwengine wakati kalala na mumuwe,naona umeuliza kama mtoto wa std 3,ila kwa swali la kwamba huyo mama anakunyemelea akunase at least umeuliza kama mtu mzima
 
Mtego huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…