Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ooh... Lord,have mercy! Ameanza marembuzi? Fanya hivi:Funga kula siku tatu mfululizo. Piga maombi makali. Kemea. Kumbuka,wakati huo chakula chako kiwe maji na tende tu nyakati za jioni tu. Utashinda.Hiyo ya mwizi nimeipenda naona leo nimepita tena kaongeza na kurembua macho. Angejua kuwa nimemuanzishia uzi huku ...........