Manyanza πβMkuu Dexta Usikubali kuingia kwenye hilo jaribu yawezekana huo ni mtihani tu na ukijichanganya utapata sana fedheha. Ishinde tamaa ya mwili. Kama wewe ni Muumini kumbuka kisa cha Yusufu na yule Mke wa Mfalme. Huenda huyo Mwanamke ukimkatalia hilo jambo lake akakudharau na ku kuchukia lakini wewe utakuwa umepata credit kwa uaminifu wako. Potezea tu.
Mkuu kimbia mbali na huo msalaHabari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.
Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.
Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.
Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.
Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.
Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.
Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
Ameona ubwege wako ndiyo maana anataka kuchuma. Kama unabisha basi mwambie kama anataka ulale naye basi akupe fedha kidogo. Si anasema mume wake hamridhishi? Basi mwambie wewe utafanya hiyo kazi lakini kwa malipo. Akirudi tena njoo nitukane.Habari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.
Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.
Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.
Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.
Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.
Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.
Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
Usimzuie mwenzako kwa wivuuu unaambiwa hilo ni bahati imepatikana aiwahi atakosa vya bureMkuu Dexta Usikubali kuingia kwenye hilo jaribu yawezekana huo ni mtihani tu na ukijichanganya utapata sana fedheha. Ishinde tamaa ya mwili. Kama wewe ni Muumini kumbuka kisa cha Yusufu na yule Mke wa Mfalme. Huenda huyo Mwanamke ukimkatalia hilo jambo lake akakudharau na ku kuchukia lakini wewe utakuwa umepata credit kwa uaminifu wako. Potezea tu.
BIblia inasema :Habari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.
Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.
Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.
Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.
Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.
Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.
Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
aliwe what? Yesu na maria, huyu ni wewe au umehakiwa?Umeshapanga kwenda kum'bandua
Ungekua hutaki ungekataa kwa kauli moja na hapa ungetuletea uzi wa kutupa taarifa na sio kuomba ushauri.
Nenda! Ukakutwe na mume wake uliwe kiboga.
π€£π€£π€£ unataka mwenzio akapakwe mafuta sio?Usimzuie mwenzako kwa wivuuu unaambiwa hilo ni bahati imepatikana aiwahi atakosa vya bure
Muache anisanue King
π π πUsimzuie mwenzako kwa wivuuu unaambiwa hilo ni bahati imepatikana aiwahi atakosa vya bure
Apakwe mafuta yapi, na anamsaidia jamaaπ€£π€£π€£ unataka mwenzio akapakwe mafuta sio?
Ushauri mzuri Sana huuMademu wako wengi mkuu Achana na mke wa mtu , maswala ya Ndoa yao achana nayo na huyo mwananke kaa nae mbali anakutafutia matatizo tu.