Mke wa mtu ananitesa

Mke wa mtu ananitesa

Mkuu Dexta Usikubali kuingia kwenye hilo jaribu yawezekana huo ni mtihani tu na ukijichanganya utapata sana fedheha. Ishinde tamaa ya mwili. Kama wewe ni Muumini kumbuka kisa cha Yusufu na yule Mke wa Mfalme. Huenda huyo Mwanamke ukimkatalia hilo jambo lake akakudharau na ku kuchukia lakini wewe utakuwa umepata credit kwa uaminifu wako. Potezea tu.
Manyanza 🙏✊
 
Habari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.

Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.

Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.

Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.

Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.

Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.

Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
Mkuu kimbia mbali na huo msala
 
Mkuu Dexta Usikubali kuingia kwenye hilo jaribu yawezekana huo ni mtihani tu na ukijichanganya utapata sana fedheha. Ishinde tamaa ya mwili. Kama wewe ni Muumini kumbuka kisa cha Yusufu na yule Mke wa Mfalme. Huenda huyo Mwanamke ukimkatalia hilo jambo lake akakudharau na ku kuchukia lakini wewe utakuwa umepata credit kwa uaminifu wako. Potezea tu.
 
Narudia tena... Kimbia kabisa ukimuona badili njia...
 
Habari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.

Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.

Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.

Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.

Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.

Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.

Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
Ameona ubwege wako ndiyo maana anataka kuchuma. Kama unabisha basi mwambie kama anataka ulale naye basi akupe fedha kidogo. Si anasema mume wake hamridhishi? Basi mwambie wewe utafanya hiyo kazi lakini kwa malipo. Akirudi tena njoo nitukane.
 
Ilikuwa 2010 kadada fulani cheupe kalikuwa mke wa 2 wa jamaa binti bado kadogo kakaningangania kanataka mambo sababu mme kashindwa ila nilikimbia kuliko Yusufu wa kwenye biblia na mke wa Potifa ni miaka kadhaa leo ila ile kitu kimenisaidia na kunipa heshima mpaka leo.
 
Mkuu Dexta Usikubali kuingia kwenye hilo jaribu yawezekana huo ni mtihani tu na ukijichanganya utapata sana fedheha. Ishinde tamaa ya mwili. Kama wewe ni Muumini kumbuka kisa cha Yusufu na yule Mke wa Mfalme. Huenda huyo Mwanamke ukimkatalia hilo jambo lake akakudharau na ku kuchukia lakini wewe utakuwa umepata credit kwa uaminifu wako. Potezea tu.
Usimzuie mwenzako kwa wivuuu unaambiwa hilo ni bahati imepatikana aiwahi atakosa vya bure
 
Habari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.

Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.

Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.

Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.

Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.

Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.

Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
BIblia inasema :

"Ikimbieni Zinaa"

Dhambi zingine zote unaamua kuacha, ila zinaa ni tofauti...huwezi kuiacha hasa pale mwili unapohamasika hasa kwa sisi Wanaume, dawa ni kuikimbia kabisa kama Yusuph
 
Usimzuie mwenzako kwa wivuuu unaambiwa hilo ni bahati imepatikana aiwahi atakosa vya bure
😂 😂 😂
Wewe akili Huna, hivi kwa akili yako timamu kabisa unaweza ukamshauri Kijana mwenzako afanye dhambi?
Huelewi kitu wewe. Kwanza ninayemuonea huruma ni huyo Mwenye Mke maana ni Mwanaume mwenzangu. Hujui maumivu ya mtu kuliwa mke wake.
 
Nachukia mke wa mtu isivyo kawaida. hivi mabinti hawapo tele mtaani mpaka ukaogelee kwenye manii ya mwanamke halali wa mtu?. Alafu ukishamaliza unajisikiaje?. Japo bora demu lonalopigwa na usiowajua inakuwa ni kama usiku wa giza tu ila siku ukigundua huwa tunapiga chini kwa kumwita demu malaya.
 
Back
Top Bottom