Mke wa mtu ananitesa

Wewe unayo mie ndio nilimwita hapa aje ajielezee kwani yeye ni tahira . ?? Hajui huyo nj mke wamtu,??usinidhihaki kwa ajili ya mtu mwingine
 
Seriously man umeshindwa ku deal nalo ?
 
Ushahidi wa meseji upo na mawasiliano yapo ,usikute jamaa kashajua anakulia timing tu...Hayo mambo yasikie usiombe yakukute....Siwezi kukwambia uache ila wewe ukiingia kwenye 18 utakuja kujua.
Anapigwa tukio na kurekodiwa juu
πŸ˜„
Kuna clip jamaa amefumaniwa kaletewa wahuni,wanamrekodi,wamemvisha Shanga wanamuambia akatike
Sasa sjui awali huko walipita naye

Ova
 
Kama huyo mume wake hawez kazi kitandani kwa nn anachepuka? Tatizo litakuwa ni mwanamke hapo
Pia kama mwanaume anachepuka unajuaje hajaleta magonjwa ndani na ww unataka kujiingiza kwenye cycle ya magonjwa tafakari
 
.HAkuna kitu kizuri kama kuwa huru mkuu, uko njiani kupoteza uhuru wako na kuanza kuishi kama kunguru yani
 
Anapigwa tukio na kurekodiwa juu
πŸ˜„
Kuna clip jamaa amefumaniwa kaletewa wahuni,wanamrekodi,wamemvisha Shanga wanamuambia akatike
Sasa sjui awali huko walipita naye

Ova

Hahahaa hatari sana ,ni swala la muda tu kwake,kuna mwingine alionekana ananyonya mashine za wahuni baada ya kufumaniwa ,clip nyingine jamaa anapigwa bapa za upanga huku damu zikimvuja.

Wanawake walio single wapo kibao ila wanaona kama mtelezo kwenda kwa wake za watu kisa tu wametongozwa.

Ukiona mke wa mtu yupo na mwanamme 90% mwanamke ndiyo kataka ,sasa hapo mwanamme inabidi ujiongeze.
 
Kalaga baho nipewe pia ushauri.. mana navutiwa sana siku hizi na wake za watu hasa wenye mtoto mmoja mwemye miaka chini ya 10.
 
Mke noma

Ova
 
Kinachowakuta watu wengi ni fedheha na kuchukuliwa pesa atajufanyabanakupenda siku mumewe akifuma hat sms watakupangia fumaniz hapo ni mawili utawapa Hela au wakudhalilishe hakuna mwanamke anaemfata mwanaume kisa nyege tu na ni mke wa mtu sio kweli Kuna maslahi ameyaona pia kwako

Kama Unampa zawadi anajua akikupa utampa zaidi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…