Mke wa mtu ananitesa

Mke wa mtu ananitesa

Habari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.

Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.

Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.

Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.

Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.

Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.

Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
kuna mpare mmoja kipindi nimemaliza tu chuo, alikuwa ananiletea chakula kwenye hotpot kabisa, tulipanga nyumba moja, anafungua mlango anaweka nyuma ya mlango, ila bwanake alikuwa na sura mbaya kama jamabazi nikaogopa kuuawa, nikaenda kumwambia mumewe ampige stop. hii ilikuwa baada ya kuona ameanza kushambulia hadi mchumba wangu kwa wivu wakati yeye ameolewa. wanawake sometimes wana madhaifu sana. mumewe aliniambia kama ningekuwa nimeshatembea naye nisingemwambia, akaniamini na akasema bora umesema usingesema nikaja kusikia hata fununu tu nisingekuamini na ningekufanyia kitu kibaya.
 
Hivi utajisikiaje siku unaenda kupiga unajikuta k inatema maji mengi kumbe usiku wake jamaa kapiga kimoja hivyo unaogelea kwenye manii ya jamaa.
Pili, vipi ukute jamaa na mkewe ni wagonjwa na wanatumia dawa demu anataka akuambukize mfe wote maana jamaa ana anamchepuko nje.
Tatu, kwa nini wewe Uwe chanzo cha mwanamume mwenzako kudharauliwa na mke aliyemtolea mahari?.
Ushauri; acheni mazoea na wake za watu mademu ni wengi Sana kwa nini kwenda kugalagala kwenye manii ya mwanamume mwenzio?. Hii ni dalili ya kuwa wewe si mwanaume kamili maana mwanaume aliyelamilika anakinyaa hawezi vumilia Malaya.
 
Mke wa mtu ni Sumu Kaa nae mbali
Habari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.

Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.

Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka kupeana namba, sometime ananicheck nimtumie vocha me namtumia mara aniagize kitu me namletea kiroho safi.

Imefkia hatua ananipigisha story mpaka za ndani na mume wake, anadai jamaa na anamchepuko nje so hana hisia nae tena na huyo mume wake hawezi kazi kitandani yani ni mtu wa kimoko tu chali tena hachukui hata dk 5.

Me nikawa namshauri tu avumilie ila saiz ameshindwa kujizuia na amenifungukia kuwa anahamu sana ya kusex na ameamua kunitunuku nimmalizie hamu yake ila mm nakuwa mguu nje mguu ndani ingawa jamaa yake sio mshkaji wangu ila ni mtu ambaye tukikutana tunasalimiana then kila mtu anapita hv.

Imefkia hatua huyu bi dada hata nikiamka tu asubuhi ananitumia msg, anataka nikamgegede, nakosa cha kumjibu maana me ndio nimekuwa kama demu ss, nakimbia kimbia.

Wazee nahitaji ushauri, nimbandue au nimtupe? Coz hata saiz nimeamka tu nimekuta kanitumia msg ila bado sijamjibu.
 
Back
Top Bottom