Yakki Kadaf
Member
- Jan 8, 2023
- 29
- 107
Nipo wilaya ya kazi, Bunda mkoani Mara hapa mtaani huwa nina chumba changu ambacho japo sikitumii sana bado nakilipia kama kawaida.
Sasa leo tarehe 12.01.2023 majira ya saa 2 asubuhi kafika mama mmoja kukinga maji ya mvua kwenye nyumba nayoishi maana kwa mji wa Bunda mvua zimenyesha hii leo.
Alipofika akanisalimia kisha kuropoka "kaka yangu haya maji yatatuua, fikiria nimekuja kukinga hata sijakumbuka kuvaa chupi!"
Ndoa nyingi kwa sasa zinapitia kipindi kigumu
Sasa leo tarehe 12.01.2023 majira ya saa 2 asubuhi kafika mama mmoja kukinga maji ya mvua kwenye nyumba nayoishi maana kwa mji wa Bunda mvua zimenyesha hii leo.
Alipofika akanisalimia kisha kuropoka "kaka yangu haya maji yatatuua, fikiria nimekuja kukinga hata sijakumbuka kuvaa chupi!"
Ndoa nyingi kwa sasa zinapitia kipindi kigumu