Mke wa mtu kanitamkia maneno magumu

Mke wa mtu kanitamkia maneno magumu

Nipo wilaya ya kazi, Bunda mkoani Mara hapa mtaani huwa nina chumba changu ambacho japo sikitumii sana bado nakilipia kama kawaida.

Sasa leo tarehe 12.01.2023 majira ya saa 2 asubuhi kafika mama mmoja kukinga maji ya mvua kwenye nyumba nayoishi maana kwa mji wa Bunda mvua zimenyesha hii leo.

Alipofika akanisalimia kisha kuropoka "kaka yangu haya maji yatatuua, fikiria nimekuja kukinga hata sijakumbuka kuvaa chupi!"

Ndoa nyingi kwa sasa zinapitia kipindi kigumu
Huko Mara wanakata watu mapanga,jichanganye uone
 
Nipo wilaya ya kazi, Bunda mkoani Mara hapa mtaani huwa nina chumba changu ambacho japo sikitumii sana bado nakilipia kama kawaida.

Sasa leo tarehe 12.01.2023 majira ya saa 2 asubuhi kafika mama mmoja kukinga maji ya mvua kwenye nyumba nayoishi maana kwa mji wa Bunda mvua zimenyesha hii leo.

Alipofika akanisalimia kisha kuropoka "kaka yangu haya maji yatatuua, fikiria nimekuja kukinga hata sijakumbuka kuvaa chupi!"

Ndoa nyingi kwa sasa zinapitia kipindi kigumu
Aseee
 
Mke wa mtu ni sumu Muraa, sasa we jifanye kiboloika wakushaye muraa
 
Nipo wilaya ya kazi, Bunda mkoani Mara hapa mtaani huwa nina chumba changu ambacho japo sikitumii sana bado nakilipia kama kawaida.

Sasa leo tarehe 12.01.2023 majira ya saa 2 asubuhi kafika mama mmoja kukinga maji ya mvua kwenye nyumba nayoishi maana kwa mji wa Bunda mvua zimenyesha hii leo.

Alipofika akanisalimia kisha kuropoka "kaka yangu haya maji yatatuua, fikiria nimekuja kukinga hata sijakumbuka kuvaa chupi!"

Ndoa nyingi kwa sasa zinapitia kipindi kigut
Nipo huku Wilaya Kyerwa kikazi lakini wanawake za watu ni wepesi sana kuliko maelezo mpaka najisemea kimoyo moyo hawa wapesi siyo kwamba wana UKIMWI ? Maana mkoa kagera unasifika kwa maambukizi ya UKIMWI.

Ushauri wangu tuwe makini sana na wake za watu tusipende mtelemko sana alafu tukaja kujuta maisha yetu yote ,maana ukifanyacho leo kina matokeo ya kesho yako.
 
Nipo wilaya ya kazi, Bunda mkoani Mara hapa mtaani huwa nina chumba changu ambacho japo sikitumii sana bado nakilipia kama kawaida.

Sasa leo tarehe 12.01.2023 majira ya saa 2 asubuhi kafika mama mmoja kukinga maji ya mvua kwenye nyumba nayoishi maana kwa mji wa Bunda mvua zimenyesha hii leo.

Alipofika akanisalimia kisha kuropoka "kaka yangu haya maji yatatuua, fikiria nimekuja kukinga hata sijakumbuka kuvaa chupi!"

Ndoa nyingi kwa sasa zinapitia kipindi kigumu
Ni matumaini yangu hukumnyima de liboloz
 
Nipo huku Wilaya Kyerwa kikazi lakini wanawake za watu ni wepesi sana kuliko maelezo mpaka najisemea kimoyo moyo hawa wapesi siyo kwamba wana UKIMWI ? Maana mkoa kagera unasifika kwa maambukizi ya UKIMWI.

Ushauri wangu tuwe makini sana na wake za watu tusipende mtelemko sana alafu tukaja kujuta maisha yetu yote ,maana ukifanyacho leo kina matokeo ya kesho yako.
Wewe gegeda bwana mambo ya ukimwi acha nayo. Kifo kipo tuuu.
 
Huko hakunaga romantic........amri tu .......mama boke inama nikurenge
 
Mkuu huko sio dar au mikoa mengine ambayo ukitembea na mke wa mtu wanakufira halafu wanakuachia huko wanakuua
 
Back
Top Bottom