Mke wa mtu kanitamkia maneno magumu

Huko Mara wanakata watu mapanga,jichanganye uone
 
Aseee
 
Mke wa mtu ni sumu Muraa, sasa we jifanye kiboloika wakushaye muraa
 
Nipo huku Wilaya Kyerwa kikazi lakini wanawake za watu ni wepesi sana kuliko maelezo mpaka najisemea kimoyo moyo hawa wapesi siyo kwamba wana UKIMWI ? Maana mkoa kagera unasifika kwa maambukizi ya UKIMWI.

Ushauri wangu tuwe makini sana na wake za watu tusipende mtelemko sana alafu tukaja kujuta maisha yetu yote ,maana ukifanyacho leo kina matokeo ya kesho yako.
 
Ni matumaini yangu hukumnyima de liboloz
 
Wewe gegeda bwana mambo ya ukimwi acha nayo. Kifo kipo tuuu.
 
Huko hakunaga romantic........amri tu .......mama boke inama nikurenge
 
Mkuu huko sio dar au mikoa mengine ambayo ukitembea na mke wa mtu wanakufira halafu wanakuachia huko wanakuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…