Mke wa mtu sumu hasa huyo mtu akiwa kibopa wa Serikali, najuta

Mke wa mtu sumu hasa huyo mtu akiwa kibopa wa Serikali, najuta

Kama unavyojua mimi ni mfanyakazi wa Taasisi moja nyeti hapa nchini, wale wazee wa pale Makumbusho kwahiyo si najiamini tu. Kuna mwanamke au ni mke wa mtu, jamaa ni kiongozi mkubwa sana wa serikali, kiufupi ni mchepuko na huyu mwanamke alinipenda kutokana na akili zangu kubwa sana, akaingia king puuuh huyu hapa, aisee sio poa kabisa.

......
"Ama hakika mke mtu ni sumu."
Mara mke wa mtu
Mara ni mchepuko
Tushike lipi.

Halafu unasema kakuzimikia kwa wingi wa akili zako. Huyo mke a.k.a mchepuko anajua kusoma na kuandika?
 
Nirekebishe kidogo, sio sumu inayouwa taratibu, ni "chapchap" panga linatua kichwani kwa mahesabu ya hali ya juu, huombi maji. Kama ni tajiri ni risasi ya utosini. Mke wa mtu ni sumu kali kuliko Ile ya nyoka koboko.
 
Naona umesahau ku-switch account, umeanzisha uzi kwa kutumia ile account yako ya kupigia mizinga.

Mfanyakazi idara nyeti ya kupigwa pipe.

#KataaUshoga

Mwanaume unakuwaje papai?
 
Huyo jamaa ndo wewe ila Kuna mushkeri unatumia jina la kike
 
Wewe unataka kujinasibu kuwa unafanya kazi idara nyeti ili upate mademu, kumbe huna lolote, kazi nyeti, una gari na milioni mbili, afu gesti umeenda za mbagala za elfu tano tano na kungunu juu.

Pia unawatorokaje njemba tatu, lasivyo walikukula ndogo.
 
Mke wa mtu ni sumu, tena ile sumu inayoua pole pole mwilini. Ama hakika najuta sana, nikiendelea kutongoza mke wa mtu au kuishi na mke wa mtu mniite mbwa nimekaa pale.

Wakuu ama kweli yalionikuta jana siwezi kuyasahau maisha yangu yote hivi inakuaje manjemba watatu wote wanakuja guest na mafuta ya korie ili tu wamle mwanaume mwenzao, ni ushetani kabisa.

Kama unavyojua mimi ni mfanyakazi wa Taasisi moja nyeti hapa nchini, wale wazee wa pale Makumbusho kwahiyo si najiamini tu. Kuna mwanamke au ni mke wa mtu, jamaa ni kiongozi mkubwa sana wa serikali, kiufupi ni mchepuko na huyu mwanamke alinipenda kutokana na akili zangu kubwa sana, akaingia king puuuh huyu hapa, aisee sio poa kabisa.

Basi bwana jana mwanamke nikampanga kwenye guest x pale mbagala, akatimba aisee na manukato na marashi ya Pwani. Akaingia guest x, kuingia tu sikutaka kuchelewa nikapiga kitu xy cha kwanza, sasa wakati namla cha pili nipo kifuani kwake aisee mlango ukagongwa, kutahamaki kipoba huyu hapa na njemba kama watatu hivi wapo na madumu ya korie.

Aisee purukushani purukushani nikawashinda nguvu nikafungua mlango fasta nikatoka nduki na boxer na vest tu. Hiyo ndiyo ikawa pona yangu, bila hivyo tungesema mengine aisee.

Nikatoka nduki mpaka Zakhem nipo na boxer na vest, nikasahu Mark X yangu pale guest na kama milioni 2 kwenye pochi, aisee sio poa.

"Ama hakika mke mtu ni sumu."
unapenda kula wake wa vibopa sema bado unaona ndoto unawapataje,

pisi kali executive unawezaje ipeleka guest mbagala maji matitu?

kuwa serious.
 
Jina lako na kuacha pesa kwenye pochi linaonyesha wewe ni mwanamke. Nia ya ulichohadithia haijululikani.
 
Mke wa mtu ni sumu, tena ile sumu inayoua pole pole mwilini. Ama hakika najuta sana, nikiendelea kutongoza mke wa mtu au kuishi na mke wa mtu mniite mbwa nimekaa pale.

Wakuu ama kweli yalionikuta jana siwezi kuyasahau maisha yangu yote hivi inakuaje manjemba watatu wote wanakuja guest na mafuta ya korie ili tu wamle mwanaume mwenzao, ni ushetani kabisa.

Kama unavyojua mimi ni mfanyakazi wa Taasisi moja nyeti hapa nchini, wale wazee wa pale Makumbusho kwahiyo si najiamini tu. Kuna mwanamke au ni mke wa mtu, jamaa ni kiongozi mkubwa sana wa serikali, kiufupi ni mchepuko na huyu mwanamke alinipenda kutokana na akili zangu kubwa sana, akaingia king puuuh huyu hapa, aisee sio poa kabisa.

Basi bwana jana mwanamke nikampanga kwenye guest x pale mbagala, akatimba aisee na manukato na marashi ya Pwani. Akaingia guest x, kuingia tu sikutaka kuchelewa nikapiga kitu xy cha kwanza, sasa wakati namla cha pili nipo kifuani kwake aisee mlango ukagongwa, kutahamaki kipoba huyu hapa na njemba kama watatu hivi wapo na madumu ya korie.

Aisee purukushani purukushani nikawashinda nguvu nikafungua mlango fasta nikatoka nduki na boxer na vest tu. Hiyo ndiyo ikawa pona yangu, bila hivyo tungesema mengine aisee.

Nikatoka nduki mpaka Zakhem nipo na boxer na vest, nikasahu Mark X yangu pale guest na kama milioni 2 kwenye pochi, aisee sio poa.

"Ama hakika mke mtu ni sumu."
*****. Chai ya moto hii. Leteni mihogo
 
Mke wa mtu ni sumu, tena ile sumu inayoua pole pole mwilini. Ama hakika najuta sana, nikiendelea kutongoza mke wa mtu au kuishi na mke wa mtu mniite mbwa nimekaa pale.

Wakuu ama kweli yalionikuta jana siwezi kuyasahau maisha yangu yote hivi inakuaje manjemba watatu wote wanakuja guest na mafuta ya korie ili tu wamle mwanaume mwenzao, ni ushetani kabisa.

Kama unavyojua mimi ni mfanyakazi wa Taasisi moja nyeti hapa nchini, wale wazee wa pale Makumbusho kwahiyo si najiamini tu. Kuna mwanamke au ni mke wa mtu, jamaa ni kiongozi mkubwa sana wa serikali, kiufupi ni mchepuko na huyu mwanamke alinipenda kutokana na akili zangu kubwa sana, akaingia king puuuh huyu hapa, aisee sio poa kabisa.

Basi bwana jana mwanamke nikampanga kwenye guest x pale mbagala, akatimba aisee na manukato na marashi ya Pwani. Akaingia guest x, kuingia tu sikutaka kuchelewa nikapiga kitu xy cha kwanza, sasa wakati namla cha pili nipo kifuani kwake aisee mlango ukagongwa, kutahamaki kipoba huyu hapa na njemba kama watatu hivi wapo na madumu ya korie.

Aisee purukushani purukushani nikawashinda nguvu nikafungua mlango fasta nikatoka nduki na boxer na vest tu. Hiyo ndiyo ikawa pona yangu, bila hivyo tungesema mengine aisee.

Nikatoka nduki mpaka Zakhem nipo na boxer na vest, nikasahu Mark X yangu pale guest na kama milioni 2 kwenye pochi, aisee sio poa.

"Ama hakika mke mtu ni sumu."
Siyo unatupanga?
Kama uliliwa utasema?
 
Mke wa mtu ni sumu, tena ile sumu inayoua pole pole mwilini. Ama hakika najuta sana, nikiendelea kutongoza mke wa mtu au kuishi na mke wa mtu mniite mbwa nimekaa pale.

Wakuu ama kweli yalionikuta jana siwezi kuyasahau maisha yangu yote hivi inakuaje manjemba watatu wote wanakuja guest na mafuta ya korie ili tu wamle mwanaume mwenzao, ni ushetani kabisa.

Kama unavyojua mimi ni mfanyakazi wa Taasisi moja nyeti hapa nchini, wale wazee wa pale Makumbusho kwahiyo si najiamini tu. Kuna mwanamke au ni mke wa mtu, jamaa ni kiongozi mkubwa sana wa serikali, kiufupi ni mchepuko na huyu mwanamke alinipenda kutokana na akili zangu kubwa sana, akaingia king puuuh huyu hapa, aisee sio poa kabisa.

Basi bwana jana mwanamke nikampanga kwenye guest x pale mbagala, akatimba aisee na manukato na marashi ya Pwani. Akaingia guest x, kuingia tu sikutaka kuchelewa nikapiga kitu xy cha kwanza, sasa wakati namla cha pili nipo kifuani kwake aisee mlango ukagongwa, kutahamaki kipoba huyu hapa na njemba kama watatu hivi wapo na madumu ya korie.

Aisee purukushani purukushani nikawashinda nguvu nikafungua mlango fasta nikatoka nduki na boxer na vest tu. Hiyo ndiyo ikawa pona yangu, bila hivyo tungesema mengine aisee.

Nikatoka nduki mpaka Zakhem nipo na boxer na vest, nikasahu Mark X yangu pale guest na kama milioni 2 kwenye pochi, aisee sio poa.

"Ama hakika mke mtu ni sumu."
Felister, unataka tu kudhalilisha taasisi za watu. Ungeweza kabisa kusimulia hii chai yako bila kujigamba kwamba wewe ni mfanyakazi wa mahali fulani. Huyo aliyesema umetoroka mirembe yuko sahihi. Na kwa kuwa uliweza kutambua madumu ni ya kampuni gani utakuwa ulitumia muda wa kutosha ukishughulikiwa na hizo njemba. Sema tu ukweli kwamba ulitaka kujulisha umma jinsi ulivyopoteza marinda i.e. kama si mzoefu tayari. Chagua mwenyewe kati ya HONGERA na POLE
 
Njemba tatu zenye futa telezo na kibosile ni wa nne, halafu wewe kimbaumbau ukachoropoka.
Japo ni chai ila irekebishe aisee
 
Chai
Screenshot_20230319-143440_1.jpg
 
Back
Top Bottom