Mke wa mtu sumu hasa huyo mtu akiwa kibopa wa Serikali, najuta

Mkuu umesahau kuweka tangawizi
 
wasiopenda chai umewanywesha kahawa kwa lazima🤭😹🤣😂😂
 
Njemba 3 hungechomoka, ni chai iliyokolea tangawizi. Hayo mafuta yangetumika yote na kupata bawasili isiyotibika.
 
Nitaongea na wengi humu, najua nini ni wadogo. mkumbukeni Muumba wenu wakati bado mnayo nafasi, duniani tunapita kabisa. uzinzi ni dhambi, hata ufanye sana kuna arobaini yako utakuja kujuta tu. ajabu yake ni kwamba, watu wanaogopa waume zao au ukimwi au chochote cha dunia hii, wanashindwa kumwogopa Mungu wa mbinguni anayewaona wanavyofanya kila kitu, na anakataza hicho kitu. nilishafanya sana uzinzi, nikaja kujua kuwa namkosea sana Mungu tena kwa kuhofia wanadamu badala ya kumhofia yeye. Mungu anao uwezo kutoa dhabu kali kuliko hizo mnazoziogopa. Mwogopeni Mungu, Mwogopeni Mungu, Mumheshimu Mungu, iweni watakatifu hasa ninyi mnaobeba vyombo vya Bwana, na hata ninyi msiobeba vyombo vya Bwana jueni ya kuwa, dhambi ni uasi na usipotubu na kuacha, haitakuacha salama. Mungu awasaidie.
 
Pole kwa kutatuliwa rinda
 
wakuu hii si stori ya hasani hii au nyingne nyemb tatu zikukose mmh! Kufa au kubakwa.ama kweli leo maji yamelowana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…