Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Hivi wewe ni ke au me? mbona thread zingine unakuwaga mwanaume, leo tena ni mwanamke duhhhh!![emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Hapa yuko sahihi kabisa. Mm mume wangu huwa akichukua hata mia yangu ujue huo ni mkopo, atarudisha tu.

Hapa jiandaye, soon atakuwekea sumu kwenye msosi. Kilicho moyoni mwake ni wewe kurest in peace.
 
[QUOTE="manengelo, post: 29708692, member: 500630"kuna e sana kaka..haya mambo kwenye ndoa yapogo sana tu..
Mosi mkeo humridhishi kwakila.kitu.unamchukulia poa poa tu😏
Pili amepata wa kumshika sikio
Tatu..ameanza kuchepuka (huu ni ukweli zaidi) na huyo sio mzoefu wa kuchepuka ndo kaanza..mwqnamke mzoefu kuchepuka anazidishaga mapenzi ndani...aso mzoefu huwa bi bora liende...ss km ww ni kidume kweli jitahd kumrudisha kwenye mstari kabla haijawa worse zaidi😊😊...akizoea kuchepuka imetoka hyo..
Jingine... punguza gubu una vitu vingine bas mwambie ht dada wa kazi...inaezekana uliongea kwa nguv had wagen wkqsikia...nan anapenda kuumbuliwa hvyo...

La mwisho aisee hongera..unamsaidia mkeo kazi??jaman jaman jaman...sie wengi ht handkerchief hawafui😏😏..ww acha kumsaidia kaz as amesema mwenyew...!
la mwisho usitegemee hela ya mkeo..ila ina bahati.sana...wengine hapa tumegawana majukumu pasu kwa pasu...
UMENIVURUGA😣😣[/QUOTE]
Manengelo bado naamini kuchepuka bado Ila naamini kuna kakundi ka single au wanawake wenzie wanampotosha au kuna mwanamme kamsifia sana na kuanza kumtongoza na kumpa mpa sifaa
 
Then yeye kwa kinywa chake kaniambia sasa ameelimika wanawake wenzie wamemwambia pesa yao na ya mime in anga na mbingu yaani pesa ya mke in mke na mume ni ya familia KANIAMBIA KATIKATI YA MGOGORO
 
yah inawezekana lakin sometim ajarib kwanza kumvumilia coz ndoa ni ndoano!!
Hakuna kuvumilia tena hapo. Ya nini kuumizana moyo kwa muda mrefu? Mpaka kufikia hatua hii huyu jamaa ameshaumiza sana moyo wake,kama anavyouliza kufuliwa,kupiga pasi. Amwambie tu aende zake
 
H
Hujaelewa anataka niendelee kufanya kazi zile za kumsaidia Mimi namwangalia tuu Jana kaenda zake hukoo karudi kakuta kama alivyoacha nimewapeleka wanangu hotelini kula yeye karudi kalia usiku mzima na kuzimia kidogo usiku nikambembeleza akaniambia kwanini tunaishi hivi nikanyamaza kimya coz naweza sababisha madhara
 
Siyo siri nilimuuliza zaidi ya Mara kumi mpaka mwisho nikamuuliza kwanini tuliwazaa basis kama unawaita wenetu MATOTO QUOTE="yna2, post: 29714972, member: 501669"]Mh kazi unayo

Ila kanikera hapo kwenye matoto yako[/QUOTE]
Siyo
 
Unajua vizuri maana ya kuwa na NDOA na kufunga NDOA!?? Km hujui hiyo ndo maana yake na huenda yeye ndiyo kakushawishi kufunga NDOA.
 
1. Kama alificha makucha wakati wa unyumba bila ndoa, hapo nakubaliana na wewe, true color is now on display.


2. Mwananke by hulka hamudharau mwanaume bila kuwa amepata mwingine better of.

3. Lakini ujue, am not making assumptions without knowhow, or without having been involved in researches of the kind, social and human behavior.

Kutegemea hela ya mkeo per se katika maisha sio sahihi. Lakkini kuchangia ktk maendeleo ya familia ni lazima wala haina mjadala, kama una dada unawaambia eti kila kitu pale nyumbani ni mwanaume umechemsha sana, na dada zako hao watakuwa manungayembe tuuu with time.

4. Nikupe tena hii iwapo mkeo ataanza mchezo wa kuwa hela yake anatumia anavyotaka, ujue uko na shareware, lazima kuna buffer money hujui inatoka wapi na anatumia kwa kisingizio ni zile zake. Kama hana huo mchezo wa buffer money wala haoni shida kuweka kweupe mapato na matumizi yake ili awe evaluated kama anamatumizi mazuri au mabaya this time tomorrow when she needs additional funding.

5. Kumshauri mwanamke kuwa hela yake ni yake na anatumia anavyotaka ili hali yuko kwenye ndoa ni kumfanya mwanamke ni mjinga. Hata mwanaume hutumii hela unavyotaka ukiwa kwenye ndoa.

Casablanca nimekupenda bureee
wrong assumption
 
Pesa ya mwanamke ni ya kwake hilo kataa au ukubali ila ukweli ndo huo ukitaka kupindisha we pindisha tu........kama mnadhani madai ya mtoa mada yapo sahihi mwambieni aende mahakamani akamshitaki mkewe halafu alete mrejesho hapa
Ni jinsi tuu unavyomlea mkeo ukikosea inakula Kwako na wanaume wengi ndio wanapokoseaga apo tu. Ila pesa ya mwanamke ni pesa ya familia.mnapohamasisha watu waoe wanawake wasomi au kuwapa mitaji ndio nini tena. Umaskini hautaisha kwenye familia nyingi za kiafrika . Wazungu wenzenu wanashare kutunza familia. Ndio maana Wazungu husema wanawake waafrika ni wajinga huwa hawakosei . Ni wajinga sio Kwa Hilo tuu ni mambo Mengi Mengi tuu. Na umaskini utaendelea kuwatafuna. Kumuwezesha mwanamke ilikuwa nae achangie kupunguza umaskini
 
Kwani kabla ya dini kuja watu waliishije. He wangapi wamefunga ndoa makanisani mwisho wa siku zimevunjika. Ni jinsi mtakavyoweza kuishi pamoja na kuvumiliana. Utandawazi pamoja na haki Sawa ndio iliyoleta madhara
 
Pole sana kaa nae uongee nae muweke mambo yenu sawa, sidhani kama kuna ubaya Mshahara wake akatenga japo kidogo kwa ajili ya kusaidiana kwenye familia yenu.
 
Huyo mtafutie nyumba ndogo akili itamkaa sawa...narudia tena mtafutie mwenzie
 
mke ambaye umezaa naye nje watoto 2 unategemea nini, kwa sisi waislamu hakuna ndoa apo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…