I am a woman!
Ila ninachoshangaa wanawake siku hz mmekuwaje? Yaani unafanya kazi na mmeo anafanya kazi mna watoto (familia) lkn mke hutaki kutoa hela yako kusaidia familia. Mume ndo afanye kila kitu, kodi ya nyumba, chakula, ada za watoto, umeme maji vyote afanye mwanaume, wewe mwanamke hela yako kazi yake nini? Chakushangaza zaidi utataka nguo ununuliwe, viatu, chupi, nywele usiponunuliwa unadai hakuudumii, jamani hii ni haki? Wewe zako unapeleka wapi?
Wanawake acheni ubinafsi, huo ni ubinafs wa hali ya juu. Familia ni ya wote baba na mama. Kutunza watoto ni jukumu la wote baba na mama labda tu mama uwe huna kazi wala kitu choxhote cha kukuingizia kipato hapo sawa mwanaume ana haki ya kufanya yote.
Maisha ni kusaidiana sio kukomoana jmn