Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Huwezi sema ukweli na hasa ukiwa na kyasaka! Lakini huwa wanamkomba kyaru?
Mkuu mm nasema Yale niliyoyaona maana me ni mchagga pure na nimekulia uchagan na sijaolewa na mchaga kwa maana hiyo mume wangu uchaggan n kyasaka...but sijaona eti ndugu zangu wakimchuna mume wangu akajenge kwetu..kwetu n jukumu LA kaka zangu na wanafanya hivo
 
I am a woman!
Ila ninachoshangaa wanawake siku hz mmekuwaje? Yaani unafanya kazi na mmeo anafanya kazi mna watoto (familia) lkn mke hutaki kutoa hela yako kusaidia familia. Mume ndo afanye kila kitu, kodi ya nyumba, chakula, ada za watoto, umeme maji vyote afanye mwanaume, wewe mwanamke hela yako kazi yake nini? Chakushangaza zaidi utataka nguo ununuliwe, viatu, chupi, nywele usiponunuliwa unadai hakuudumii, jamani hii ni haki? Wewe zako unapeleka wapi?

Wanawake acheni ubinafsi, huo ni ubinafs wa hali ya juu. Familia ni ya wote baba na mama. Kutunza watoto ni jukumu la wote baba na mama labda tu mama uwe huna kazi wala kitu choxhote cha kukuingizia kipato hapo sawa mwanaume ana haki ya kufanya yote.

Maisha ni kusaidiana sio kukomoana jmn
dah wanaume tuliooa wanawake wenye reasoning capacity kama wewe tunabahati sanaaaaa
 
Umenikumbusha binti mmoja alikuwa ananisimulia anavyosumbuliwa na kaka yake aliyemaliza chuo hana hela awe anamtumia. Jamaa anadai sister yake atakuwa na hela tu maana anahongwa!

Yaani unajiuliza mtu mzima, graduate, anatamani hela za kuhongwa za mdogo wake wa kike!!! Sijui jamaa naye anatamani ahongwe!!!

Fikiria akija kuoa itakuwaje!
 
Tafuta Fimbo nzuri hifadhi mahali. Mchokoze halafu akikujibu tu funga mlango mlabue za kutosha then mwandikie kabarua mwambie ndio talaka sijibiwagi na wanawake hivi. Ila hakikisha watoto umewapeleka kwa bibi yao. Huyo takataka amepata mashauri ya ibilisi bila fimbo hazitoki. Pia inatakiwa aende kwao akiwa na ma alama ili asiwe na haraka ya kurudi pia mtishie kuwa unamkata unanoa Sime hadi iwe kali au nunua toi la bastola. Akiona heshima itakuwepo hawa watu ni pasua kichwa hasa akichafukwa.


Na siku zingine acha upumbafu mwanamke hasaidiwagi kazi zake hata kama anaumwa. Labda uone amezidiwa sana. Ishini nao kwa akili. Hii ndio akili acha maujinga yako
ndauwo kama mwanamke ni meeki itakula kwako
 
Tafuta Fimbo nzuri hifadhi mahali. Mchokoze halafu akikujibu tu funga mlango mlabue za kutosha then mwandikie kabarua mwambie ndio talaka sijibiwagi na wanawake hivi. Ila hakikisha watoto umewapeleka kwa bibi yao. Huyo takataka amepata mashauri ya ibilisi bila fimbo hazitoki. Pia inatakiwa aende kwao akiwa na ma alama ili asiwe na haraka ya kurudi pia mtishie kuwa unamkata unanoa Sime hadi iwe kali au nunua toi la bastola. Akiona heshima itakuwepo hawa watu ni pasua kichwa hasa akichafukwa.


Na siku zingine acha upumbafu mwanamke hasaidiwagi kazi zake hata kama anaumwa. Labda uone amezidiwa sana. Ishini nao kwa akili. Hii ndio akili acha maujinga yako
Hahahahahahahahahah yaan nimecheka sana jaman
 
Huyu jamaa bwana
Wangu nikianzaga kubwabwaja ananivuta chumbani

Anapiga show alafu katikati anakuuliza ulikua unasemaje?
Nabaki naomba msamaha tu!
Hongera sana kwa kuvutika mumeo anafaidi.keep it up
 
Mkuu mm nasema Yale niliyoyaona maana me ni mchagga pure na nimekulia uchagan na sijaolewa na mchaga kwa maana hiyo mume wangu uchaggan n kyasaka...but sijaona eti ndugu zangu wakimchuna mume wangu akajenge kwetu..kwetu n jukumu LA kaka zangu na wanafanya hivo
Usiwe na hofu hata mie kyasaka! Unajua nyani haoni kundule waswahili walisema lakini mengi yalozungumzwa humu ni sahihi kuwahusu. Inataka akili sana kuishi nanyi na lazima mwanaume kila wakati uwe juu kwa kisomo, umri na kipato kwa vile akikutangulia anakuoa
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Mtomb* acha kulalamika
 
Yaan huu n upuuzi wa kiwango cha hali ya juu..eti unategemea Dada yako akupe hela maana anahongwa! Mwanaume wa hivi mwisho ataolewa kabisa mfyuuuuu
Kuna vijana sijui wanatoa wapi hizo akili za umarioo kiasi hicho! Hapo ukiskia kaolewa na "kibibi" cha kizungu hushangai
 
[emoji87][emoji87]wanaume mnakera sana best..alafu hamkui sijui y
Ha aahà aa haaaa....
Tuvumiliane tu, maana maisha yanachangamoto nyingi! Kuna makosa mengine hatufanyi makusudi, hivyo busara itumike kuyatatua! Ila kurushiana ngumi hapana best!
 
Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu
aiseee!


muda mwingine unatakiwa uwe kama Jiwe tu
 
Wanawake watakuwa na majibu na ushauri mzuri zaidi, ngoja waje
 
Uko poa lkn mrembo?
Unaonekana leo uliwahi misa ya saa 12.
Na mimi ulinikumbuka kwenye maombi?

😂😂umejuaje?Nimewah mapema sana sana...kwasabb ni mzalendo😊 ..nitakusalia next tuesd..leo nimemsalia magu
 
[emoji23][emoji23]umejuaje?Nimewah mapema sana sana...kwasabb ni mzalendo[emoji4] ..nitakusalia next tuesd..leo nimemsalia magu
Endelea kumuombea ili andelee kutuetea [emoji574][emoji574][emoji574][emoji574][emoji574] nyingine nyingi.
 
Back
Top Bottom