Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Simamia majukum yako kama baba wa familia, hakikisha watoto wanapata elim, lishe nzuri, makazi bora na mahitaji mengine ya muhimu.

Kuhusu huduma ndogo ndogo unazo hitaji wewe jihudumie mwenyewe, ukiona ratiba yako inakubana au huwezi kumudu hilo ajili house grl,

Kuhusu huduma ya tendo hiyo ni haki yako kupewa na ukinyimwa tumia nguvu yoyote ile kuidai ukiona inafaa kufanya hivyo, ila timiza kwanza wajibu wako kama mume isiwe unatumia nguvu kudai haki zako wakati wewe hutimizi wajibu wako.

Inawezekana malengo ya kuoa kwako ndio yanayo kutesa, huenda uliamini mke ni msaidiz kwako ki uchumi na ktk jitihada za kufikia malengo ktk maisha.
Wewe ndio msaada kwake yeye hana jukum zaid ya kukupa stareh na ushauri ikiwa utauhitaji.
Mengineyo zaid ya hayo ukiona mwanamke anafanya ujue ni kwa mapenz yake tu na si jambo la lazima kwake.

Best advice ever!

Blessed to come across your comment!
 
Simamia majukum yako kama baba wa familia, hakikisha watoto wanapata elim, lishe nzuri, makazi bora na mahitaji mengine ya muhimu.

Kuhusu huduma ndogo ndogo unazo hitaji wewe jihudumie mwenyewe, ukiona ratiba yako inakubana au huwezi kumudu hilo ajili house grl,

Kuhusu huduma ya tendo hiyo ni haki yako kupewa na ukinyimwa tumia nguvu yoyote ile kuidai ukiona inafaa kufanya hivyo, ila timiza kwanza wajibu wako kama mume isiwe unatumia nguvu kudai haki zako wakati wewe hutimizi wajibu wako.

Inawezekana malengo ya kuoa kwako ndio yanayo kutesa, huenda uliamini mke ni msaidiz kwako ki uchumi na ktk jitihada za kufikia malengo ktk maisha.
Wewe ndio msaada kwake yeye hana jukum zaid ya kukupa stareh na ushauri ikiwa utauhitaji.
Mengineyo zaid ya hayo ukiona mwanamke anafanya ujue ni kwa mapenz yake tu na si jambo la lazima kwake.
Huu ushauri mzuri
 
kuingiza ni stage ya mwisho sana ...ile kumtxt tu mpenzi wako huwa ni msisimko kama wa cocacola...
In fact tukienda mara mbili bila najua hapa napoteza muda kama ni michepuko bye na kama ni mamito itabidi nifanye uchunguzi nisiwe naibiwa
 
Ana mtu anampa jeuri. Time will tell sio kawaida anachofanya kuna mtu nyuma ya pazia anakugongea
 
Inawezekana ana mtu anampa jeuri, na pia uenda kuna miradi yake anaifanya kimya kimya bila kukushirikisha kama vile kujenga au kununua viwanja kwa msaada wa jamaa, huwa mwanamke akishafikia point hiyo tunaita point of no return, jipange na ujiandae kuishi peke yako.
 
Ndugu yangu pole sana kwa maneno hayo ndoa iko kwenye "edge of a knife" maombi Sana na uvumilivu. Kuhusu watoto pambana Kama unaweza pekeyako..majukumu yake ayafanye saidia inapoonekana pamelega
 
Kwenye ndoa na mapenzi pesa imekua kipimo kikubwa sana cha upendo. Wanawake wamekuwa wachungu sana kwenye pesa zao na hata matumizi yao huwa hayaeleweki hata kama anapata mshara mkubwa sana. Kikubwa kuwa muwazi mueleze hufurajlhishwi na unachoona na uweke wazi misimamo yako. Usiogope kuachana akisisitiza hivo maana neno hilo limekuwa kimbilio kubwa sana kwao.
 
I am a woman!
Ila ninachoshangaa wanawake siku hz mmekuwaje? Yaani unafanya kazi na mmeo anafanya kazi mna watoto (familia) lkn mke hutaki kutoa hela yako kusaidia familia. Mume ndo afanye kila kitu, kodi ya nyumba, chakula, ada za watoto, umeme maji vyote afanye mwanaume, wewe mwanamke hela yako kazi yake nini? Chakushangaza zaidi utataka nguo ununuliwe, viatu, chupi, nywele usiponunuliwa unadai hakuudumii, jamani hii ni haki? Wewe zako unapeleka wapi?

Wanawake acheni ubinafsi, huo ni ubinafs wa hali ya juu. Familia ni ya wote baba na mama. Kutunza watoto ni jukumu la wote baba na mama labda tu mama uwe huna kazi wala kitu choxhote cha kukuingizia kipato hapo sawa mwanaume ana haki ya kufanya yote.

Maisha ni kusaidiana sio kukomoana jmn
Nimekupenda Bure. Ubarikiwe saana
 
Simamia majukum yako kama baba wa familia, hakikisha watoto wanapata elim, lishe nzuri, makazi bora na mahitaji mengine ya muhimu.

Kuhusu huduma ndogo ndogo unazo hitaji wewe jihudumie mwenyewe, ukiona ratiba yako inakubana au huwezi kumudu hilo ajili house grl,

Kuhusu huduma ya tendo hiyo ni haki yako kupewa na ukinyimwa tumia nguvu yoyote ile kuidai ukiona inafaa kufanya hivyo, ila timiza kwanza wajibu wako kama mume isiwe unatumia nguvu kudai haki zako wakati wewe hutimizi wajibu wako.

Inawezekana malengo ya kuoa kwako ndio yanayo kutesa, huenda uliamini mke ni msaidiz kwako ki uchumi na ktk jitihada za kufikia malengo ktk maisha.
Wewe ndio msaada kwake yeye hana jukum zaid ya kukupa stareh na ushauri ikiwa utauhitaji.
Mengineyo zaid ya hayo ukiona mwanamke anafanya ujue ni kwa mapenz yake tu na si jambo la lazima kwake.
Congrats Mkuu. I like it
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini

my friend kuna kitu umemkosea ama kaona msg za hawara zako au kaambiwa au kakuona au kuna dalili ya wewe kuwa na mtu nje hawezi ghafla kubadilika . pili mwanamke ukimuoa ujue sio mfanyakazi wako yupo pale kukuzalia na kulea watoto sio juu yake kazi za nyumbani akafanya ni kakufanyia hisani
 
Kweli kabisaa na huwezi amini hayo maneno ya sasa nimekuwa mjinga sana huko nyuma Ila sasa nimejitambua anayazungumza baada ya mwezi mmoja kumpeleka kwenye mafunzo flani hivi ya mwaka mmoja na robot tatu ya ada nimelipa Mimi kwa kukope hawa jamaa wakulipa kila mwisho Wa wiki na yeye anajua hilo na anadai hata wenzie wanamwambia pesa zao ni zao na za mume ni za mume

kumbe hiyo mafunzo uliyompeleka kakutana na midada ya mjini kajifunza mengi na kakutana na wanaume hapo kwenye mafunzo utakuta kaisha pata mtu
 
Back
Top Bottom