henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,117
Heee we una akili ndogo sana [emoji2960][emoji40]. Wazazi lazima wana hasara
Mkuu unatakiwa kutafuta vitabu ambavyo vitaeleza misingi yote ya ndoa ...haki za mume na mke pia ....kila kitu utakipata hukoKwanini tusisaidiane hapa ili na wengine wajifunze kupitia mawazo yako sorry
Tatizo sijui kwa vile namwmini sana coz nilianza nae akiwa mdogo kabisa akiwa hajawahi kuwa na mwanaume so nitakuwa najidanganya kumwanamini hawezi kuwa na mwanaume mwingine according na anavyokuwaga busy na mambo yake na anavyojiweka na huwa ananiambiaga hana jipya LA kutafuta kwenye sexUnataka tuwe honest, Amepata jamaa anamzuzua, ndio maana sometimes anakuona takataka sometimes anajutia majibu yake kwako hiyo ni kwaajili ya watoto tu, sio wewe.
Km namuona akitoka nduki [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] , kauli ya kutisha xn hiiKUNA MANENO YA MWANAMKE AKISEMA "wewe mwanaume una gubu wewe.." Uschukulie poa...
Hizo dalili za mtu kupigwa sumu Kali!!!Hiiyo ndo huwa inaitwaga "midlife crisis " , Baada ya muda atarudi sawa
Tatizo sijui kwa vile namwmini sana coz nilianza nae akiwa mdogo kabisa akiwa hajawahi kuwa na mwanaume so nitakuwa najidanganya kumwanamini hawezi kuwa na mwanaume mwingine according na anavyokuwaga busy na mambo yake na anavyojiweka na huwa ananiambiaga hana jipya LA kutafuta kwenye sex
Anampa kiburi kwa pesa na kumpiga bakambu ya ukweli.Kuna Mwanaume Anampa Jeuri.
Mtoto wako1 tu hapoIko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano
1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu
2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;
Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu
3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu
Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.
then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .
Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Anafanya kazi na huwa anakuwaga na vitimbi vitimbi sana Mara bora nice oooh bora nisingezaliwa Mara anipige mategee na mangumi namwangalia tu Mara Sikh engine aniambie toka kwenye nyumba yangu wakati nyumba yenyewe nimepanga MimiWaajemi hua wana msemo wao kua "Ukisikia harufu mbaya anza kujikagua mwenyewe kama haitoki kwako"
Jiangalie mwenyewe mwmendo wako wa siku za karibuni kama hakuana jambo au kosa lolote ambalo umemfanyia
Hizo tabia na na maneno ndio kazianza sasa hivi au kulika na viashiria hata kabda hamjaona?
Kama wewe unajiona huna tatizo na tabia hizo kazianza baada ya kumuoa chunguza ukaribu wake na outsiders kwa maana ya marafiki, kama anao ni wa namna gani na ikiwa labda wanaweza kua chanzo cha ushauri mbovu
Hujasema pia kama yeye anafanya kazi, kajiajiri mwenyewe au ni mama wa nyumbani tu?
Mkuu kalou umenena vyema! " midlife crisis/ sometimes known as crazies age" ndo mda ndoa nyingi zinavunjika!! Kwa wenzetu wazungu huwa mwanaume anasafiri na age mates ili akae na wifeHiiyo ndo huwa inaitwaga "midlife crisis " , Baada ya muda atarudi sawa
utakuwa ni mmoja wa marafiki zake mke wa OP wanaompa kichwa na kumpoteza wakati ndoa zao zimewashinda ama hawajaolewa kabisa, kama wewe tu.Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo
Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu naee itakuwa wale wale...utakuwa ni mmoja wa marafiki zake mke wa OP wanaompa kichwa na kumpoteza wakati ndoa zao zimewashinda ama hawajaolewa kabisa, kama wewe tu.