Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Unataka tuwe honest, Amepata jamaa anamzuzua, ndio maana sometimes anakuona takataka sometimes anajutia majibu yake kwako hiyo ni kwaajili ya watoto tu, sio wewe.
Tatizo sijui kwa vile namwmini sana coz nilianza nae akiwa mdogo kabisa akiwa hajawahi kuwa na mwanaume so nitakuwa najidanganya kumwanamini hawezi kuwa na mwanaume mwingine according na anavyokuwaga busy na mambo yake na anavyojiweka na huwa ananiambiaga hana jipya LA kutafuta kwenye sex
 
Simba mwenye vazi la kondooo; iko hivyo ni mtu lazima anamzingua iweje iweje; utasikia wanasema wameshawishiwa utadhani hayana akili

Tatizo sijui kwa vile namwmini sana coz nilianza nae akiwa mdogo kabisa akiwa hajawahi kuwa na mwanaume so nitakuwa najidanganya kumwanamini hawezi kuwa na mwanaume mwingine according na anavyokuwaga busy na mambo yake na anavyojiweka na huwa ananiambiaga hana jipya LA kutafuta kwenye sex
 
Ndoa Ni Kama safari ya kiangazi aafu mnatembea kwa miguu.
Wale waliokulia vijijini wananielewa.
Asubuhi na kabaridi aafu nguvu ipo safari tamu kweli.
Jua linapozidi kukolea kila mtu anaanza kuchoka kwa njaa, kiu, ukali wa jua nk.

Wengine wataendelea
Wengine wataishia njiani
Wengine watasimama kidogo na baadaye wataendelea na safari nk.
Chagua upande utakaokuwa.

Lakini furaha yako inapopotea ni afadhali kuachana na hiyo safari kabisa.
Unaweza kuta unafikia jela
 
Fanya hivi ikifika usiku piga nyeto huku anakuangalia ukimaliza jifute ulale ndani ya siku 3 atajuwa we ni BAHARIYA
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Mtoto wako1 tu hapo
 
Waajemi hua wana msemo wao kua "Ukisikia harufu mbaya anza kujikagua mwenyewe kama haitoki kwako"

Jiangalie mwenyewe mwmendo wako wa siku za karibuni kama hakuana jambo au kosa lolote ambalo umemfanyia

Hizo tabia na na maneno ndio kazianza sasa hivi au kulika na viashiria hata kabda hamjaona?

Kama wewe unajiona huna tatizo na tabia hizo kazianza baada ya kumuoa chunguza ukaribu wake na outsiders kwa maana ya marafiki, kama anao ni wa namna gani na ikiwa labda wanaweza kua chanzo cha ushauri mbovu

Hujasema pia kama yeye anafanya kazi, kajiajiri mwenyewe au ni mama wa nyumbani tu?
Anafanya kazi na huwa anakuwaga na vitimbi vitimbi sana Mara bora nice oooh bora nisingezaliwa Mara anipige mategee na mangumi namwangalia tu Mara Sikh engine aniambie toka kwenye nyumba yangu wakati nyumba yenyewe nimepanga Mimi
 
Kwanza, ndio watu wajifunze kwamba huo utaratibu wa kuishi kimada na mwanamke kwa miaka hata minane ili ati kusomana tabia hausaidii kumjua mwanamke vilivyo. Mwanamke utamjua akishakuwa ndani ya ndoa na kukita mizizi kwa kuzaa nawe watoto kadhaa.

Pili, mkeo ktk habari ya pesa yake yuko sahihi. Inaonesha alikuzoeza maisha ya kitamthilia ya kukufanya uwe na amri na pesa yake. Wakati ule alikuwa atafuta ndoa. Sasa alishaipata. Anahitaji atumie pesa yake anavyotaka mwenyewe akiwasaidia wazazi wake waliomsomesh, na kwa hili yupo sahihi. Ni jukumu lako kuhudumia watoto wako kwa mavazi, chakula, makazi na elimu. Ukikwama kopa kwa rafiki zako.
 
Tatizo dogo hilo,anataka mapenzi ya zamani kama alipokuwa binti.Weka bajeti ndogo toka naye 'out' kama ndio mnaanza mapenzi,kesha naye lodge/hotel, na gonga hiyo kitu kama muhuni vile...hapo lazima ajirudi na kukupa heshima.
 
Hiiyo ndo huwa inaitwaga "midlife crisis " , Baada ya muda atarudi sawa
Mkuu kalou umenena vyema! " midlife crisis/ sometimes known as crazies age" ndo mda ndoa nyingi zinavunjika!! Kwa wenzetu wazungu huwa mwanaume anasafiri na age mates ili akae na wife
 
Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo

Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
utakuwa ni mmoja wa marafiki zake mke wa OP wanaompa kichwa na kumpoteza wakati ndoa zao zimewashinda ama hawajaolewa kabisa, kama wewe tu.
 
utakuwa ni mmoja wa marafiki zake mke wa OP wanaompa kichwa na kumpoteza wakati ndoa zao zimewashinda ama hawajaolewa kabisa, kama wewe tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu naee itakuwa wale wale...
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom