Mke wa Ne-Yo amletea mume wake Wanawake waku Sex nae nyumbani

Mke wa Ne-Yo amletea mume wake Wanawake waku Sex nae nyumbani

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
530
Reaction score
1,446
FB_IMG_1730274019002.jpg
Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe

mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo

" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu .

Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu 😁" alisema mke wa Neyo

Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,😂

Credit - daniellokamacheki
 
View attachment 3138902Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe

mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo

" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu . Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu 😁" alisema mke wa Neyo

Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,😂

Credit - daniellokamacheki
Ndiyo maana uislamu ikawa solution kwenye mambo yote mi nikiwa na wake zangu watatu au wanne unadhani nitaanza saangapi kutafutiwa sex workers ambao asilimia 40 ya mwili wao ni silicon plus magonjwa ?
 
Huu ni msisimamo mzuri sanaaa na laiti wanawake wengine wangefanya hivi hii Dunia ingekuwa safi sana tunengeepuka magonjwa kwenye ndoa

Kubwa tunachotakiwa kujua nii Wanawake wana nafasi kubwa ya sisi wanaumen kuishi maisha marefu
 
Ndiyo maana uislamu ikawa solution kwenye mambo yote mi nikiwa na wake zangu watatu au wanne unadhani nitaanza saangapi kutafutiwa sex workers ambao asilimia 40 ya mwili wao ni silicon plus magonjwa ?

Solution ya uislamu ni kwenye mapenzi na kuoa tu? Naombeni elimu tafadhali. Maana sioni solution yake inasababishwa na nini wakati kuna watu wanaoa kila asubuhi na jioni wanatoa talaka za kuzua. Ndio dini inavyosema?
Je na wale ambao wana wake wanne na bado wana vimada?
 
Ndiyo maana uislamu ikawa solution kwenye mambo yote mi nikiwa na wake zangu watatu au wanne unadhani nitaanza saangapi kutafutiwa sex workers ambao asilimia 40 ya mwili wao ni silicon plus magonjwa ?

uko sahihi kabisa, unachagua wanaokufaa unaoa wanne, wanaume wote duniani tungefanya hivi, Dunia ingekuwa sehemu salama sana kuishi.
 
Ndiyo maana uislamu ikawa solution kwenye mambo yote mi nikiwa na wake zangu watatu au wanne unadhani nitaanza saangapi kutafutiwa sex workers ambao asilimia 40 ya mwili wao ni silicon plus magonjwa ?
Magonjwa achana nayo mkuu, Hawa wanawake wanaweza kuwa salama kuliko wake zetu na ijabu zao. Kwanza wanapimwa kabla ya kuingia mkataba.
 
Ndiyo maana uislamu ikawa solution kwenye mambo yote mi nikiwa na wake zangu watatu au wanne unadhani nitaanza saangapi kutafutiwa sex workers ambao asilimia 40 ya mwili wao ni silicon plus magonjwa ?
Kwa nini sasa unakuta mtu ana wake watatu lakini bado anacheat au ataoa na kuacha kila mara kwa sababu dini inaruhusu ?...

Je mtu akioa wake watatu hatowazoea na kuwaona kawaida kama vile ambavyo mtu anamzoea mke mmoja?....

Kuna tofauti yoyote itayomfanya mtu anaeona ufahari kuoa wake wanne kutamani wa tano
 
Alijua ata asingemtafutia, angechepuka nje tu na kukutana na vipanga ambao wangeweza kumuharibia ndoa yake, ndio maana akamtafutia wale anao wafahamu ambao hawana madhara kwenye ndoa yake zaidi ya kuwalipa fedha kutokana na walivyokubaliana.​
 
Kwa nini sasa unakuta mtu ana wake watatu lakini bado anacheat au ataoa na kuacha kila mara kwa sababu dini inaruhusu ?...

Je mtu akioa wake watatu hatowazoea na kuwaona kawaida kama vile ambavyo mtu anamzoea mke mmoja?....

Kuna tofauti yoyote itayomfanya mtu anaeona ufahari kuoa wake wanne kutamani wa tano
Kuoa wake wawili au watatu au hata wanne na bado mtu akatoka nje ya ndoa huyo hana hofu ya Mungu,kwa kawaida kwa wake wote hao mwanaume hawezi kuwa na sababu ya kutokidhi haja zake

Huyu akiumwa huyu yupo vizur,huyu akiwa na mimba mwengine yupo free,huyu akiwa katika period mwengine yupo free,je una sababu gani ya kutoka nje? Basi wewe ni malaya tu

Na talaka kwa dini ya kiislamu ni ruhusa ambayo inamchukiza sana Allah,unless kuwe na sababu genuine kabisa,kwahiyo si katika uislamu kuoa na kuacha hovyo laa! Maana msingi wa ndoa ni kujenga familia imara,sasa kama unaoa na kuzalisha na kuacha msingi wa familia imara uko wapi hapo?

Lakini vile vile zinaa ni uchafu mbele ya Allah,mwanaume ameruhusiwa kuoa wake awatakao ili asichupe mipaka ya Allah,kwa maana asizini,je iweje uwe na wake kuanzia wawili ambapo uhakika wa kupata sex upo hlf uzini?
 
Kuoa wake wawili au watatu au hata wanne na bado mtu akatoka nje ya ndoa huyo hana hofu ya Mungu,kwa kawaida kwa wake wote hao mwanaume hawezi kuwa na sababu ya kutokidhi haja zake

Huyu akiumwa huyu yupo vizur,huyu akiwa na mimba mwengine yupo free,huyu akiwa katika period mwengine yupo free,je una sababu gani ya kutoka nje? Basi wewe ni malaya tu

Na talaka kwa dini ya kiislamu ni ruhusa ambayo inamchukiza sana Allah,unless kuwe na sababu genuine kabisa,kwahiyo si katika uislamu kuoa na kuacha hovyo laa! Maana msingi wa ndoa ni kujenga familia imara,sasa kama unaoa na kuzalisha na kuacha msingi wa familia imara uko wapi hapo?

Lakini vile vile zinaa ni uchafu mbele ya Allah,mwanaume ameruhusiwa kuoa wake awatakao ili asichupe mipaka ya Allah,kwa maana asizini,je iweje uwe na wake kuanzia wawili ambapo uhakika wa kupata sex upo hlf uzini?
Upo sawa kabisa lakini hiyo sheria iliwekwa ili kumpa mwanaume wa kiislamu uhakika wa kupata sex kwa wakati au kuzidhibiti tamaa zake za ngono haswa akiwaona wanawake wengine nje

Mfano kuna siku niliwaona muislamu akisema katika hao wake wanne ujitahidi wawe wenye mionekano tofauti haswa inayoendana na vitu unavyovyipenda..

Swali kubwa, wazuri hawaishi na ni wengi je, mtu ambaye ameona mmoja, wawili na watatu hawamtoshi hadi akaongeza wanne. Je, huyu mtu atasita kuwakwa tamaa kuongeza watano au wa sita

Na kama dini haimruhusu honi kama mtu wa aina hii ni ngumu kuzizuia tamaa zake za kuzini
 
Kwa nini sasa unakuta mtu ana wake watatu lakini bado anacheat au ataoa na kuacha kila mara kwa sababu dini inaruhusu ?...

Je mtu akioa wake watatu hatowazoea na kuwaona kawaida kama vile ambavyo mtu anamzoea mke mmoja?....

Kuna tofauti yoyote itayomfanya mtu anaeona ufahari kuoa wake wanne kutamani wa tano
Na ndiyo maana kwenye quran Allah (subhana huwataala) kaielezea vizuri sana hiyo hukum ila watu ndiyo tunazingua jua kwamba once an adulterer always ana adulterer there is no in between ni issue very subjective.

Aya imemaliza kila kitu

An-Nisa' 4:3

وَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تُقْسِطُوا۟ فِى ٱلْيَتَٰمَىٰ فَٱنكِحُوا۟ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ ٱلنِّسَآءِ مَثْنَىٰ وَثُلَٰثَ وَرُبَٰعَۖ فَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تَعْدِلُوا۟ فَوَٰحِدَةً أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَٰنُكُمْۚ ذَٰلِكَ أَدْنَىٰٓ أَلَّا تَعُولُوا۟

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana.

But now watu kama hawauoni mwendelezo wa hiyo aya.

Na kwenye swala la kuzoea hii pia ni very subjective kuna mtu ameishi na mke wake lakini kila siku wanaonana kama ni wapya hii inachangiwa na mambo mengi tu , na tuache kutumia mifani kama sijui kila siku mboga moja inakinaisha MY DUDE NIPE UGALI MAHARAGE NA DAGAA WA UONO HATA MWAKA MZIMA BADO NITAKUWA NATOA UDENDA KILA NIKIONA DAGAA WAMEROSTIWA VIZURI HADI WAKAWA WEKUNDU NA HARAGE FLANI HIVI so ni subjective pia.
 
Magonjwa achana nayo mkuu, Hawa wanawake wanaweza kuwa salama kuliko wake zetu na ijabu zao. Kwanza wanapimwa kabla ya kuingia mkataba.
Siwezi kukupinga maana yaliyo ndani ya ndoa kwa sasa hivi ni mtihani descency imekwisha
 
Solution ya uislamu ni kwenye mapenzi na kuoa tu? Naombeni elimu tafadhali. Maana sioni solution yake inasababishwa na nini wakati kuna watu wanaoa kila asubuhi na jioni wanatoa talaka za kuzua. Ndio dini inavyosema?
Je na wale ambao wana wake wanne na bado wana vimada?
NImejibu based on the thread mkuu , offcourse uislamu una solution kwenye mambo yote yanayomzunguka binadamu , kuhusu hao wenye vimada nin uhakika hata hii aya hapa hawaijui

Al-Isra' 17:32

وَلَا تَقْرَبُوا۟ ٱلزِّنَىٰٓۖ إِنَّهُۥ كَانَ فَٰحِشَةً وَسَآءَ سَبِيلًا

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
 
Back
Top Bottom