Mke wa Ne-Yo amletea mume wake Wanawake waku Sex nae nyumbani

Mke wa Ne-Yo amletea mume wake Wanawake waku Sex nae nyumbani

Upo sawa kabisa lakini hiyo sheria iliwekwa ili kumpa mwanaume wa kiislamu uhakika wa kupata sex kwa wakati au kuzidhibiti tamaa zake za ngono haswa akiwaona wanawake wengine nje

Mfano kuna siku niliwaona muislamu akisema katika hao wake wanne ujitahidi wawe wenye mionekano tofauti haswa inayoendana na vitu unavyovyipenda..

Swali kubwa, wazuri hawaishi na ni wengi je, mtu ambaye ameona mmoja, wawili na watatu hawamtoshi hadi akaongeza wanne. Je, huyu mtu atasita kuwakwa tamaa kuongeza watano au wa sita

Na kama dini haimruhusu honi kama mtu wa aina hii ni ngumu kuzizuia tamaa zake za kuzini
Kuna sababu nyingi sana za kwanini mwanaume ameruhusiwa kuoa wake wengi,moja wapo ni hiyo kukidhi haja yake ngono

Pili wanawake wana complication nyingi sana,wengine mimba ya miezi minne tu yupo kitandani kwa uangalizi maalumu,je hapo mume atakidhi wapi haja zake

Kuna wanaume wengine wamejaaliwa nguvu sana kiasi kwamba mke mmoja hamtoshi,yani inakuwa mateso kwa mke ni bakora daily,hapa wakiwa wawili wanasaidiana

Kuna wanawake wajane na walioachwa hawa wote wanaweza kustiriwa na kuolewa tena

Vile vile idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume,hivyo je hawa wengine wataolewa na nani,haya hapo bado hujapunguza idadi ya wnaume ambao ni mashoga,wanaokufa vitani na kadhalika,mfano marekani pekee takwimu zinasema kuna mashoga milioni 25 kati ya watu milioni 300,je hao mashoga miliona 25 imewafanya wanawake wangapi wawe malaya tu mitaani?

All ni all na bora zaidi uchague wanawake ambao unawapenda au watakidhi test yako,kama cheusi sawa,cheupe sawa,bonge sawa nakadhalika

Sasa kwa vyovyote vile iwe una mke mmoja au wengi,zinaa haitakiwi,nafsi siku zote ni yenye tamaa,hata ukipewa wanawake mia bado utatamani wengine,kikubwa ni kuidhibiti nafsi na kuishi katika mipaka ya Allah

Asante
 
Na ndiyo maana kwenye quran Allah (subhana huwataala) kaielezea vizuri sana hiyo hukum ila watu ndiyo tunazingua jua kwamba once an adulterer always ana adulterer there is no in between ni issue very subjective.

Aya imemaliza kila kitu

An-Nisa' 4:3

وَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تُقْسِطُوا۟ فِى ٱلْيَتَٰمَىٰ فَٱنكِحُوا۟ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ ٱلنِّسَآءِ مَثْنَىٰ وَثُلَٰثَ وَرُبَٰعَۖ فَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تَعْدِلُوا۟ فَوَٰحِدَةً أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَٰنُكُمْۚ ذَٰلِكَ أَدْنَىٰٓ أَلَّا تَعُولُوا۟

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana.

But now watu kama hawauoni mwendelezo wa hiyo aya.

Na kwenye swala la kuzoea hii pia ni very subjective kuna mtu ameishi na mke wake lakini kila siku wanaonana kama ni wapya hii inachangiwa na mambo mengi tu , na tuache kutumia mifani kama sijui kila siku mboga moja inakinaisha MY DUDE NIPE UGALI MAHARAGE NA DAGAA WA UONO HATA MWAKA MZIMA BADO NITAKUWA NATOA UDENDA KILA NIKIONA DAGAA WAMEROSTIWA VIZURI HADI WAKAWA WEKUNDU NA HARAGE FLANI HIVI so ni subjective pia.
Umefafanua vizuri brother,

Watu wanaitumia hiyo sheria kuhalalisha tamaa zao za kingono lakini pia kutumia mwanya wa taraka kuoa na kuacha wanavyojisikia. Ambapo kiuhalisia ni uzinifu mfano zile ndoa za futari ambazo zinatengenezwa ili watu wapate access ya sex kipindi cha mfungo

Lakini umetoa pia kuwa hata mke mmoja bado ni halali tofauti na baadhi wanaona kama ndoa moja ni kinyume na matamanio ya kimwili na ruhusa ya kidini..

Shukrani kwa aya mkuu 🙏🏽🙏🏽
 
Kumbe polygamy ina maana kubwa sana,Waafrika walipata civilization mapema sana,ona hiki anachokifanya ndiyo maana wazee wetu walikuwa wanaoa mke zaidi ya mmoja
 
Kuna sababu nyingi sana za kwanini mwanaume ameruhusiwa kuoa wake wengi,moja wapo ni hiyo kukidhi haja yake ngono

Pili wanawake wana complication nyingi sana,wengine mimba ya miezi minne tu yupo kitandani kwa uangalizi maalumu,je hapo mume atakidhi wapi haja zake

Kuna wanaume wengine wamejaaliwa nguvu sana kiasi kwamba mke mmoja hamtoshi,yani inakuwa mateso kwa mke ni bakora daily,hapa wakiwa wawili wanasaidiana

Kuna wanawake wajane na walioachwa hawa wote wanaweza kustiriwa na kuolewa tena

Vile vile idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume,hivyo je hawa wengine wataolewa na nani,haya hapo bado hujapunguza idadi ya wnaume ambao ni mashoga,wanaokufa vitani na kadhalika,mfano marekani pekee takwimu zinasema kuna mashoga milioni 25 kati ya watu milioni 300,je hao mashoga miliona 25 imewafanya wanawake wangapi wawe malaya tu mitaani?

All ni all na bora zaidi uchague wanawake ambao unawapenda au watakidhi test yako,kama cheusi sawa,cheupe sawa,bonge sawa nakadhalika

Sasa kwa vyovyote vile iwe una mke mmoja au wengi,zinaa haitakiwi,nafsi siku zote ni yenye tamaa,hata ukipewa wanawake mia bado utatamani wengine,kikubwa ni kuidhibiti nafsi na kuishi katika mipaka ya Allah

Asante

Uwiano wa population ya wanaume kwa wanawake ni 1:1 yani wanaume wote tukioa wanawake wawili bado hawatatusha maana tofauti ni ndogo.

Pia ndoa za mitala kiuhalisia sijaona kama zimepunguza uzinifu wa hao wanandoa kwa namna yoyote maana tunawaona mitaani tu jinsi walivyo. Sana sana huwa zinaongeza wingi wa watu wasio productive maana ukipita familia za pwani, nyingi tu wana watoto wengi kiasi hawawezi kuwamudu kimahitaji hususani elimu. Kwa hiyo ndoa inakuwa ya kujivunia na kujiridhisha kingono Ila kiuchumi na kijamii ina hasara kuliko faida


Lakini pia mkuu, vipi kwa mwanamke asiyetimiziwa haja zake na mwanaume mmoja. Dini imeliongeleaje hilo maana kuna wanawake nao wana high sexual drive na unakuta mara nyingine kutokana na system ya maisha. Inakuwa ngumu kwa mumewe au mwanaume mmoja kumtimizia haja zake
 
View attachment 3138902Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe

mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo

" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu . Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu 😁" alisema mke wa Neyo

Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,😂

Credit - daniellokamacheki
Huyo apewe tuzo
 
Umefafanua vizuri brother,

Watu wanaitumia hiyo sheria kuhalalisha tamaa zao za kingono lakini pia kutumia mwanya wa taraka kuoa na kuacha wanavyojisikia. Ambapo kiuhalisia ni uzinifu mfano zile ndoa za futari ambazo zinatengenezwa ili watu wapate access ya sex kipindi cha mfungo

Lakini umetoa pia kuwa hata mke mmoja bado ni halali tofauti na baadhi wanaona kama ndoa moja ni kinyume na matamanio ya kimwili na ruhusa ya kidini..

Shukrani kwa aya mkuu 🙏🏽🙏🏽
Wengi wanatumia huo mwanya kufanya mambo ya hovyo kiujumla ukifuatilia talaka ya kiislamu ni ngumu sana kutolewa yaani ngumu ila watu wanatoa kirahisi rahisi yeyote anayeoa na kuacha kwa ajili ya matamanio ajue anafanya madhambi makubwa tu.
 
Ndiyo maana uislamu ikawa solution kwenye mambo yote mi nikiwa na wake zangu watatu au wanne unadhani nitaanza saangapi kutafutiwa sex workers ambao asilimia 40 ya mwili wao ni silicon plus magonjwa ?
Sasa Kwanini huyo Mungu wenu hakuumba idadi ya wanawake Bilion 16 na wanaume Bilion 4 ili tupate wake wanne kila mtu ? Mbona wanaume Ni Bilion 4.1 na wanawake Ni Bilion 3.9? duniani au Kwanini wanawake tz Ni Milion 31 wakati wanaume Ni Milion 30😅 uliza ulete majibu sitaki mihemko
 
Kuna sababu nyingi sana za kwanini mwanaume ameruhusiwa kuoa wake wengi,moja wapo ni hiyo kukidhi haja yake ngono

Pili wanawake wana complication nyingi sana,wengine mimba ya miezi minne tu yupo kitandani kwa uangalizi maalumu,je hapo mume atakidhi wapi haja zake

Kuna wanaume wengine wamejaaliwa nguvu sana kiasi kwamba mke mmoja hamtoshi,yani inakuwa mateso kwa mke ni bakora daily,hapa wakiwa wawili wanasaidiana

Kuna wanawake wajane na walioachwa hawa wote wanaweza kustiriwa na kuolewa tena

Vile vile idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume,hivyo je hawa wengine wataolewa na nani,haya hapo bado hujapunguza idadi ya wnaume ambao ni mashoga,wanaokufa vitani na kadhalika,mfano marekani pekee takwimu zinasema kuna mashoga milioni 25 kati ya watu milioni 300,je hao mashoga miliona 25 imewafanya wanawake wangapi wawe malaya tu mitaani?

All ni all na bora zaidi uchague wanawake ambao unawapenda au watakidhi test yako,kama cheusi sawa,cheupe sawa,bonge sawa nakadhalika

Sasa kwa vyovyote vile iwe una mke mmoja au wengi,zinaa haitakiwi,nafsi siku zote ni yenye tamaa,hata ukipewa wanawake mia bado utatamani wengine,kikubwa ni kuidhibiti nafsi na kuishi katika mipaka ya Allah

Asante
Kwenye idadi ya watu umetupiga kweupe. Idadi ya watu duniani wanaume niwengi kuliko wanawake. Kuhusu ushoga kwenye sensa za marekani mashoga hawahesaviwi Kama wanaume Bali trans gender hivyo pia hapo umetupiga mkuu . Kuwa makini na unachokiandika sio maneno ya kijiweni
 
Kwenye idadi ya watu umetupiga kweupe. Idadi ya watu duniani wanaume niwengi kuliko wanawake. Kuhusu ushoga kwenye sensa za marekani mashoga hawahesaviwi Kama wanaume Bali trans gender hivyo pia hapo umetupiga mkuu . Kuwa makini na unachokiandika sio maneno ya kijiweni
WEwe ndio unatupiga,ebu tembelea hata mahospitalini hlf angalia idadi ya wanawake na wanaume wapi wako wengi kwa kuzaliwa

Sasa kama hawabesabiwi ni tatizo lao,hao mwisho wa siku ni mashoga tu
 
Uwiano wa population ya wanaume kwa wanawake ni 1:1 yani wanaume wote tukioa wanawake wawili bado hawatatusha maana tofauti ni ndogo.

Pia ndoa za mitala kiuhalisia sijaona kama zimepunguza uzinifu wa hao wanandoa kwa namna yoyote maana tunawaona mitaani tu jinsi walivyo. Sana sana huwa zinaongeza wingi wa watu wasio productive maana ukipita familia za pwani, nyingi tu wana watoto wengi kiasi hawawezi kuwamudu kimahitaji hususani elimu. Kwa hiyo ndoa inakuwa ya kujivunia na kujiridhisha kingono Ila kiuchumi na kijamii ina hasara kuliko faida


Lakini pia mkuu, vipi kwa mwanamke asiyetimiziwa haja zake na mwanaume mmoja. Dini imeliongeleaje hilo maana kuna wanawake nao wana high sexual drive na unakuta mara nyingine kutokana na system ya maisha. Inakuwa ngumu kwa mumewe au mwanaume mmoja kumtimizia haja zake
Ukiacha hizo takwimu zenu za kwenye makaratasi umeshawahi kusikia kwenye nchi ambazo mitala wako wengi.kuna upungufu wa wanawake

Mfano mmoja tu,unaamini sensa ya watu na makazi ilihesabu kila mtu hapa Tanzania,huo ni mfano tu,huyo Mungu muumba ndio anajua uhalisia wa idadi ya viumbe wake mpaka akaruhusu hayo

Lkn kwa mtazamo mdogo tu,je vijana waliofikia umri wa kuoa je wote huwa wanaoa? Kama jibu hapana ina.maana bado kuna excess kubwa ya wanawake

Ni wanawake wachache sana huwa na moto mkubwa sana kuhitaji sex kupitiliza,mengi ni makosa yetu wanaume hatujui namna ya kuhakikisha kuwa mwanamke anaridhishwa,kwahiyo ni swala la mwanaume kujua kumkuna vizur mwanamke,na ndio maana hata muumba wao hajasema chochote

Kama unaswali kwanini.wanawake hawaja ruhusiwa kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja,utaniambia

Asante
 
WEwe ndio unatupiga,ebu tembelea hata mahospitalini hlf angalia idadi ya wanawake na wanaume wapi wako wengi kwa kuzaliwa

Sasa kama hawabesabiwi ni tatizo lao,hao mwisho wa siku ni mashoga tu
Tunazungumzia takwimu mkuu hatuongelei mambo ya kutembelea Hospital, ukisema tutembelee hospitali tutakuta watoto wengi wanaozaliwa Ni wakiume kuliko wakike. (Fuatilia matokeo ya sensa ya watu na makazi) Tanzania wanawake wanatuzidi Milion moja kwasababu wanawake life span Yao nikubwa kuliko sisi Yani ukihesabu watu wenye miaka 60 kwenda juu utakuta Bibi niwengi ukilinganisha na wababu . Kama hukwenda shule hautaelewa
 
Ukiacha hizo takwimu zenu za kwenye makaratasi umeshawahi kusikia kwenye nchi ambazo mitala wako wengi.kuna upungufu wa wanawake

Mfano mmoja tu,unaamini sensa ya watu na makazi ilihesabu kila mtu hapa Tanzania,huo ni mfano tu,huyo Mungu muumba ndio anajua uhalisia wa idadi ya viumbe wake mpaka akaruhusu hayo

Lkn kwa mtazamo mdogo tu,je vijana waliofikia umri wa kuoa je wote huwa wanaoa? Kama jibu hapana ina.maana bado kuna excess kubwa ya wanawake

Ni wanawake wachache sana huwa na moto mkubwa sana kuhitaji sex kupitiliza,mengi ni makosa yetu wanaume hatujui namna ya kuhakikisha kuwa mwanamke anaridhishwa,kwahiyo ni swala la mwanaume kujua kumkuna vizur mwanamke,na ndio maana hata muumba wao hajasema chochote

Kama unaswali kwanini.wanawake hawaja ruhusiwa kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja,utaniambia

Asante
Bado hakuna Cha maana ulicho Andika mkuu
 
Back
Top Bottom