Mke wa Ne-Yo amletea mume wake Wanawake waku Sex nae nyumbani

Mke wa Ne-Yo amletea mume wake Wanawake waku Sex nae nyumbani

Ila mtume yeye alibeba hadi 11. ..Na Sisi tudai ongezeko mkuu
mitume woote kuna hukumu walipewa wao kutokana na nguvu Allah (subhana huwataala) alizowajalia na wengine licha ya kuwa na nguvu lakini walibaki either na mke mmoja au wawili na mfano kama huo .

Sasa mimi na wewe kwa nguvu zipi hizo za kuwaridhisha wanawake 11 ndani ya usiku mmoja ? Kama unazo hata za kuwaridhisha hao wanne kwa usiku mmoja wote wakaridhika basi una haki ya kudai 11 .

Nabii sulaiman (alayhi salaam) alikuwa na wake 100 na wote alikuwa anaweza kuwaridhisha ndani ya usiku mmoja hakuna binadamu mwengine aliye na uwezo huo ila mitume kwa jinsi miili yao ilivyotiwa nguvu ili waweze kuwa strong kwenye kila eneo .
 
Wanawake wa kiislamu tatizo hawataki mume aongeze mke, ukiongeza tu yeye anaondoka.
Umeanza ku generalize sasa , kwa nilichokiona ile kauli ya "uadilifu" ndo inawwtatiza wengi ,immagine umeoa mke mkajenga nyumba halafu unaleta mke mwengine bila kumtaarifu mke wa kwanza halafu unamweka hapo hapo kwenye nyumba mliyojenga na mke wa kwanza na mapenzi unazidisha kwa mke wa pili kwa sababu bado ni kigori HII INAKUNYIMA SIFA YA KUONGEZA MKE.
 
Sasa Kama takwimu hazitoi idadi ya watu husika wewe una uhakika gani kuwa jinsia fulani niwengi na utatumia kigezo gani? Takwimu Ni Taaluma mkuu Kama imekupita kushoto hautaweza kuelewa.
2. Umesema wanaume wanakufa vitani nikweli , hizo hizo takwimu unazozikataa zinaonesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake lakini wakati huo huo watoto wakiume wanazaliwa wengi kuliko wakike.
3. Mimi simpangii Mungu ninayemuamini ambaye ameumba watu wanaokaribiana kwa idadi jinsia zote mbili , huyo mungu wenu anayesema uwino wa 4:1 ndio inatia mashaka kulingana na idadi ya watu
ANyways lets agree to dissagree
 
Tunaacha kuumia kwa chochote baada ya kumshiba mwanaume, kumkinai mpaka mwisho. Ila unaendelea kuishi naye kwa sababu kama: kumaliza kuzaa watoto tuwatakao, kuifurahisha jamii, watoto wasipate msongo wa mawazo kuishi na mzazi mmoja n.k. Hapo tunaweza kukuvumilia kwa lolote hatuna hisia tunakutumia kama sex toys .
 
Kuhusu kusema kwamba labda zamani wanawake walikuwa wanaolewa mabikra ndio maana walikuwa hawatamani sidhani kama ni kweli,tamaa ya mwanadamu iko pale pale ila useme tu siku hizi hofu ya Mungu watu hawana,binafsi naamini kabisa binadamu wote tuna tamaa ila kinachotusaidia ni hofu ya Mungu kwa baadhi yetu

Uislamu una jawabu na solution ya kila kitu,umempa mwanamke nafasi ya kujivua katika ndoa kama hapati haki yake ya ndoa kutoka kwa mume wake,au hata kwasababu nyingine ambazo ni serious sana

Tendo la ndoa ni haki muhimu sana katika ndoa kwahiyo kama mume imedhibitika,hilo tatizo ni la kudumu kwa maana tiba zimeshindikana,basi ili kuepuka zinaa mke huyu anaweza vunja ndoa yake kwa kurudisha mahari kwa mume na yeye kuolewa na mume mwingine,yote ni kuhakikisha mwanadamu haruki mipaka ya Allah

Kuwepo kwa wanaume wengi ambao hawajaoa na wanawake ambao hawajaolewa sio sababu ya zinaa kutamalaki,kwahiyo ishu hapa ni watu kumrudia mungu na kuoa na kuolewa ili waepuke dhambi hii,ni pale tu tutakapo mrudia mungu na kuogopa kwamba siku ya mwisho tutakuja kuhojiwa kwa hili basi tutaogopa na kufunga ndoa

Na cha ajabu zaidi kuna watu wanaishi wanapika na kupakua lkn cha kushangaza hawafungi ndoa,sasa unajiuliza kwanini wasihalalishe tu na kumpendeza mungu

Kuna hofu ambayo imeingia siku hizi ya wanandoa kuogopa wakiachana watagawana mali ndio maana vijana wanaogopa kuoa,lkn hawaogopi kwamba maisha ya uzinifu yatakuja kuwa gharimu siku ya mwisho pale watakapo kutana na Allah,kipi bora uogope kugawana mali hapa duniani au uogope adhabu ya milele huko akhera kwa wale tunao amini Mungu yupo
Ni kweli hofu ya Mungu inazidi kutoweka 🙏🏽🙏🏽
 
Ndiyo maana uislamu ikawa solution kwenye mambo yote mi nikiwa na wake zangu watatu au wanne unadhani nitaanza saangapi kutafutiwa sex workers ambao asilimia 40 ya mwili wao ni silicon plus magonjwa ?
Vipi ukishaanza visukari vyako au uwezo wako ukianza kupungua, si na wao wanaruhusiwa kupigwa shoo nje au uislam unasemaje hapo?
 
Vipi ukishaanza visukari vyako au uwezo wako ukianza kupungua, si na wao wanaruhusiwa kupigwa shoo nje au uislam unasemaje hapo?
Thats very subjective , diabetes inawapata watu wa dini zote na inachangiwa kwa kiwango kikubwa na lifestyle ya mtu pia based on that point we can dive deeper and try to deduce what kind of lifestyle influencea diabetes.

1. Smoking and alcoholism : we know it is forbidden in islam to smoking and drink alcohol and a large majority of muslims follow that ruling.

2. Sleeping patterns : sleeping patterns can affect blood glucose levels in islam muslims are encouraged to sleep early and wake up early too proof?

Hadith

"حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ سَلاَمٍ، قَالَ أَخْبَرَنَا عَبْدُ الْوَهَّابِ الثَّقَفِيُّ، قَالَ حَدَّثَنَا خَالِدٌ الْحَذَّاءُ، عَنْ أَبِي الْمِنْهَالِ، عَنْ أَبِي بَرْزَةَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم كَانَ يَكْرَهُ النَّوْمَ قَبْلَ الْعِشَاءِ وَالْحَدِيثَ بَعْدَهَا‏.‏"

Narrated Abu Barza:
Allah's Messenger (ﷺ) disliked to sleep before the `Isha' prayer and to talk after it.

Sahih

Sahih al-Bukhari, 568
In-Book Reference: Book 9, Hadith 45
USC-MSA web (English) reference: Vol. 1, Book 10, Hadith 543 (deprecated numbering scheme)

3. Physical activities:
Regular exercise improves insulin sensitivity, helping the body to use glucose effectively.

Lack of physical activity can lead to weight gain, which is a risk factor for diabetes.

But wait lets see nchi top 10 zinazoongoza kwa obesity

1. Nauru – 58.1%
2. Cook Islands – 55.9%
3. Palau – 55.3%
4. Marshall Islands – 52.9%
5. Tuvalu – 51.6%
6. Tonga – 48.2%
7. Samoa – 47.3%
8. Kiribati – 46.0%
9. Micronesia – 45.8%
10. Kuwait – 43.8%

Out of 10 country only one islamic country i wonder why?

4. Stress management :
Chronic stress can increase blood sugar levels through the release of stress hormones like cortisol.

Managing stress with practices like mindfulness, relaxation techniques, or regular physical activity can help.

These are top 10 countries with high stress level

1. Nigeria
2. South Africa
3. El Salvador
4. Mongolia
5. Guatemala
6. Colombia
7. Pakistan
8. Jamaica
9. North Macedonia
10. Bolivia

i wonder why christian majority countries?


SEE WHERE AM COMMING?

Na kijibu swali lako , nope hsiruhusiwi mwanamke au mwanaume kusex nje pale mwenzawake anapopata matatizo ya kiafya kama ni long term na mmoja wapo bado ana hisia na ameona kabisa hawezi kuvumilia wanaweza kuachana kwa amani kwa maslahi ya wote wawili that simple no in btn.
 
uko sahihi kabisa, unachagua wanaokufaa unaoa wanne, wanaume wote duniani tungefanya hivi, Dunia ingekuwa sehemu salama sana kuishi.
Kuoa wanawake wanne sio solution wanaume tunakinai haraka ,ikija pisi mpya nje ya hao wanne lazima uitolee macho.
 
Thats very subjective , diabetes inawapata watu wa dini zote na inachangiwa kwa kiwango
Diabetes ni kwa ajili ya watu wa dini zote sivyo? Ila kushika mimba na kuzaliana ni kwa ajili ya Waislam pekee kwa mujibu wa point uiyoiweka,.
4.


SEE WHERE AM COMMING?

Na kijibu swali lako , nope hsiruhusiwi mwanamke au mwanaume kusex nje pale mwenzawake anapopata matatizo ya kiafya kama ni long term na mmoja wapo bado ana hisia na ameona kabisa hawezi kuvumilia wanaweza kuachana kwa amani kwa maslahi ya wote wawili that simple no in btn.
How long is long-term?
Umehalalisha kwamba badala ya kufanya kitendo alichofanya huyo dada kumkodishia mume wake wanawake, ukausifu uislam kuelekeza mtu kuoa mwanamke zaidi ya mmoja ikitokea mwanamke yupo katika uzazi .
Swali ni je, vp mwanaume akiwa katika hali ya kutoweza kumtimizia mke wake kwa hata miezi miwili hadi 6, je uislam umetoa mwongozo gani kwa wanamke wa aia hii? Au umezingatia hisia za mwanaume pekee na mwanamke kuwa kama chbo tu?
 
Umeanza ku generalize sasa , kwa nilichokiona ile kauli ya "uadilifu" ndo inawwtatiza wengi ,immagine umeoa mke mkajenga nyumba halafu unaleta mke mwengine bila kumtaarifu mke wa kwanza halafu unamweka hapo hapo kwenye nyumba mliyojenga na mke wa kwanza na mapenzi unazidisha kwa mke wa pili kwa sababu bado ni kigori HII INAKUNYIMA SIFA YA KUONGEZA MKE.
Ukimtaarifu mke wa Kwanza kuwa unaongeza mke, wangapi wanakubali?
 
View attachment 3138902Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe

mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo

" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu . Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu 😁" alisema mke wa Neyo

Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,😂

Credit - daniellokamacheki
Huyo mwanamke akifa peponi moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom