Mke wa Ne-Yo amletea mume wake Wanawake waku Sex nae nyumbani

Mke wa Ne-Yo amletea mume wake Wanawake waku Sex nae nyumbani

View attachment 3138902Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe

mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo

" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu . Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu 😁" alisema mke wa Neyo

Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,😂

Credit - daniellokamacheki
Lesbian effect
 
Diabetes ni kwa ajili ya watu wa dini zote sivyo? Ila kushika mimba na kuzaliana ni kwa ajili ya Waislam pekee kwa mujibu wa point uiyoiweka,.

How long is long-term?
Umehalalisha kwamba badala ya kufanya kitendo alichofanya huyo dada kumkodishia mume wake wanawake, ukausifu uislam kuelekeza mtu kuoa mwanamke zaidi ya mmoja ikitokea mwanamke yupo katika uzazi .
Swali ni je, vp mwanaume akiwa katika hali ya kutoweza kumtimizia mke wake kwa hata miezi miwili hadi 6, je uislam umetoa mwongozo gani kwa wanamke wa aia hii? Au umezingatia hisia za mwanaume pekee na mwanamke kuwa kama chbo tu?
"Diabetes ni kwa ajili ya watu wa dini zote sivyo? Ila kushika mimba na kuzaliana ni kwa ajili ya Waislam pekee kwa mujibu wa point uiyoiweka"

☝️☝️ Try to clarify a bit nimejaribu kuelewa ulichoandika nimeshindwa .

Hakuna sehemu nimesema mtu aoe mke zaidi ya mmoja ikitokea mke wake amebeba ujauzito , kuoa mke zaidi ya mmoja unaweza ukaoa hata kama mke wako hama ujauzito.

Kingine hakuna sehemu kwenye uislamu mwanamke amechukuliwa kama chombo uzuri hii ni dini ya dalili upo huru kunitafutia any verse or hadith inayomsemea mwanamke kuwa chombo.

Kuhusu matatizo yatalayopelekea mmoja wenu kushindwa kutimiza hitaji la kingono kwa mwenza wake kama ni long term basi itaangaliwa last resort ambayo ni talaka na hii ita deppend na wote wawili wamekubaliana vipi maana na matatizo hayo ni kama kuondokwa na hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kusimamisha, maumivu wakati wa tendo n.k
 
Kuna mdau mmoja alisema Mtume alioa wake 11,je vipi sisi tungeruhusiwa pia

Ikumbukwe kwamba kuna sababu kadhaa ambazo zilimfanya Mtume Muhammad (s.a.w) kuoa idadi ya wake hao

Moja wapo ni kuunganisha ukoo na undugu miongoni mwa jamii nyakati zile,kulikuwa na uadui mkubwa sana katika koo,kwahiyo njia moja iliyotumika ni kuoa kwa jamii husika ili kuunganisha umoja na mshikamano,hata ukisoma historia watemi na machifu walifanya hivyo kuunganisha jamii

Mtume alioa wajane ambao waliachwa baada ya waume zao kufa,ili kuwastiri wajane hawa na watoto wao,aliwaoa na kuwa baba mlezi kwa watoto hao na kuwalea kwa mapenzi makubwa

Kwahiyo alioa si kwa ajili ya tamaa na kustarehe ila kwasababu maalumu,na wengine walikuwa watu wazima sana kiasi kwamba,wao wenyewe walikuwa wanatoa zamu zao kwa Mtume akalale kwa wake wengine

Na kwa kutilia mkazo katika wake hao 11 ni mmoja tu ndio alikuwa bikira,kwahiyo kama kweli aliwataka kwa matamanio bila ya shaka angewaoa vigori tu na asingeoa wajane na wenye watoto

Baada ya amri ya kuoa mwisho wake wanne tu,Mtume hakuruhusiwa kuongeza wake tena,na waumini wa kawaida walitakiwa kuwataliki wake zao na kubaki na wake wanne tu,hii ni kwa wale ambao walikuwa na wake zaidi ya wanne

Asante
 
"Diabetes ni kwa ajili ya watu wa dini zote sivyo? Ila kushika mimba na kuzaliana ni kwa ajili ya Waislam pekee kwa mujibu wa point uiyoiweka"

☝️☝️ Try to clarify a bit nimejaribu kuelewa ulichoandika nimeshindwa .

Hakuna sehemu nimesema mtu aoe mke zaidi ya mmoja ikitokea mke wake amebeba ujauzito , kuoa mke zaidi ya mmoja unaweza ukaoa hata kama mke wako hama ujauzito.

Kingine hakuna sehemu kwenye uislamu mwanamke amechukuliwa kama chombo uzuri hii ni dini ya dalili upo huru kunitafutia any verse or hadith inayomsemea mwanamke kuwa chombo.

Kuhusu matatizo yatalayopelekea mmoja wenu kushindwa kutimiza hitaji la kingono kwa mwenza wake kama ni long term basi itaangaliwa last resort ambayo ni talaka na hii ita deppend na wote wawili wamekubaliana vipi maana na matatizo hayo ni kama kuondokwa na hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kusimamisha, maumivu wakati wa tendo n.k

Usizunguke sana mkuu,

Kiufupi kwa maelezo yako ni kuwa mwanaume anapoona mkewe ama matatizo na bado anampenda. Anaruhusiwa kuoa wengine pasipo kumuacha


Ila mwanamke hajapewa hiyo option pale mumewe anapofikwa na maradhi kiasi cha kushindwa kumtimizia haja zake. Kinachompasa ni kumtelekeza ili asiingie katika uzinzi hata kama moyo wake haupo radhi kumuacha kwa sababu hajapewa option ya kuolewa na waume wawili...

Vingine vyote vya kuonesha nchi zenye uislamu zina possibility ndogo ya kupata diabetes tofauti na nyinginezo ni njia ya kuondosha tu ukweli kwa kuonesha ni nadra kwa wanaume wa kiislamu kupata hitilafu zinazoweza kuwapelekea kutowakidhi wake zao..

Ila kiuhalisia ni kuwa katika hizo situation, mwanaume wa kiislamu amepewa option ya kubaki na ampendae Ila kwa wanawake, wamepewa option ya kuzizuia tamaa za kingono au kuwatelekeza waume zao waliofikwa na matatizo ili kuepuka uzinzi hata kama hawapo tayari.
 
Tunapozungumzia mwanamke kuomba talaka pale ambapo mume anashindwa kabisa kutimizia mkewe haja zake,hapo si kwamba mwanamke analazimishwa na sheria laa,ila mwanamke amepewa ruhusa hiyo endapo ataona itakuwa nafuu kwake

Mfano kuna sheikh mmoja mi namfahamu aliniambia yeye ana kisukari,kwahiyo kwa mwezi yeye ana sex mara moja tu,matokeo yake mkewe akawa anaenda kuzini nje huko

Je kwa mazingira haya kwanini huyo mke asiachike na kwenda kupata mume ambaye atamridhisha huko kwengine,matokeo yake anazini na kumkera mumewe,lkn mwisho wa siku waliachana

Kwahiyo kuna mambo ambayo moja kwa moja yakikosekana ujue mustakabali wa ndoa hakuna au lazima kutakuwa na sintofahamu nyingi tu
 
Usizunguke sana mkuu,

Kiufupi kwa maelezo yako ni kuwa mwanaume anapoona mkewe ama matatizo na bado anampenda. Anaruhusiwa kuoa wengine pasipo kumuacha


Ila mwanamke hajapewa hiyo option pale mumewe anapofikwa na maradhi kiasi cha kushindwa kumtimizia haja zake. Kinachompasa ni kumtelekeza ili asiingie katika uzinzi hata kama moyo wake haupo radhi kumuacha kwa sababu hajapewa option ya kuolewa na waume wawili...

Vingine vyote vya kuonesha nchi zenye uislamu zina possibility ndogo ya kupata diabetes tofauti na nyinginezo ni njia ya kuondosha tu ukweli kwa kuonesha ni nadra kwa wanaume wa kiislamu kupata hitilafu zinazoweza kuwapelekea kutowakidhi wake zao..

Ila kiuhalisia ni kuwa katika hizo situation, mwanaume wa kiislamu amepewa option ya kubaki na ampendae Ila kwa wanawake, wamepewa option ya kuzizuia tamaa za kingono au kuwatelekeza waume zao waliofikwa na matatizo ili kuepuka uzinzi hata kama hawapo tayari.
KWanza naona mnachanganya mambo mawili umepinpoint kuongeza mke na maradhi haipo hivyo kwenye uislamu kuongeza mke inahitajika kitu kimoja tu "uadilifu" haijalishi ni muda gani ukiwa muadilifu na ukaona una uhitaji wa kuongeza mke basi unaongeza mke si mpaka mke apatwe sijui na maradhi sijui awe na mimba nope!! Ni muda wowote na aya ikaendelea kutuambia kama ukiona hauna uadilifu basi mmoja ni bora kwako ipo hivyo clear as day.

Ishu ya mwanamke kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja nadhani aliyekataza hili anajua zaidi sitaki kuingia kwenye territory ambayo tayari ipo ruled .nashauri msome kila post vizuri kabla ya kujibu

Swala la diabetes nimejaribu kujibu kama aliyeni quote alivyouliza nadhani nilikuwa ata the right track so far .
 
Tunapozungumzia mwanamke kuomba talaka pale ambapo mume anashindwa kabisa kutimizia mkewe haja zake,hapo si kwamba mwanamke analazimishwa na sheria laa,ila mwanamke amepewa ruhusa hiyo endapo ataona itakuwa nafuu kwake

Mfano kuna sheikh mmoja mi namfahamu aliniambia yeye ana kisukari,kwahiyo kwa mwezi yeye ana sex mara moja tu,matokeo yake mkewe akawa anaenda kuzini nje huko

Je kwa mazingira haya kwanini huyo mke asiachike na kwenda kupata mume ambaye atamridhisha huko kwengine,matokeo yake anazini na kumkera mumewe,lkn mwisho wa siku waliachana

Kwahiyo kuna mambo ambayo moja kwa moja yakikosekana ujue mustakabali wa ndoa hakuna au lazima kutakuwa na sintofahamu nyingi tu
Shida ya wengi wanaochangia hoja wanataka na mwanamke aruhusiwe kuwa na wanaume wawili , nadhani jibu kwao ni kwamba hawajakatazwa wao kufanya hivyo nadhani kwa western countries wanaita open marriages ,ila kwenye uislamu WE DON'T SWING THAT WAY.
 
KWanza naona mnachanganya mambo mawili umepinpoint kuongeza mke na maradhi haipo hivyo kwenye uislamu kuongeza mke inahitajika kitu kimoja tu "uadilifu" haijalishi ni muda gani ukiwa muadilifu na ukaona una uhitaji wa kuongeza mke basi unaongeza mke si mpaka mke apatwe sijui na maradhi sijui awe na mimba nope!! Ni muda wowote na aya ikaendelea kutuambia kama ukiona hauna uadilifu basi mmoja ni bora kwako ipo hivyo clear as day.

Ishu ya mwanamke kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja nadhani aliyekataza hili anajua zaidi sitaki kuingia kwenye territory ambayo tayari ipo ruled .nashauri msome kila post vizuri kabla ya kujibu

Swala la diabetes nimejaribu kujibu kama aliyeni quote alivyouliza nadhani nilikuwa ata the right track so far .

Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa ceteri peribus. Kwa hiyo wewe unaishi katika sheria zimeundwa ili kuendana na hali flani na katika exceptions zake ambazo ndipo ukosoaji hutokea. Huongezi wala hupunguzi

Hivyo, sijatoka kwa ulichokisema Ila nimekuuliza katika hizo exceptions ambazo mojawapo ni hiyo ya wanawake kukutwa katika exceptional situation ambayo umekiri lipo nje ya ufahamu na uwezo wako kulizungumzia. Hivyo njia sahihi ni kumuuliza Allah kwa nini aliweka sheria ikiwa namna hiyo which is understandable japo haiwezekani kufanyika

Usinisome vibaya, Sikuwa natoa arguments Ila nilitaka clarification kutokana na ulichokisema. Hivyo kukiri kuwa hoja zangu zipo nje ya mipaka yako kidini ni uungwana pia
 
Na kupeana elimu zaidi kwa nini Allah alisema kama mnaogopa kutowafanyia uadilifu yatima basi oeni mke mmoja

Kwanza ifahamike hakika yatima amepewa kipaumbele sana na Allah katika kumjali na kumwangalia,kama wewe unataka baraka za Allah basi mjali yatima hakika hata baraka ndani ya nyumba yako utaziona,na kwa waislamu haswa tunatakiwa mayatima tuishi nao majumbani kwetu na si kama vile wanavyolelewa katika majumba ya kulelea mayatima

Mtume anasema hata kumpanguza yatima kichwa kwa kumfariji ni jambo kubwa sana,na kinyume chake ukitaka ghadhabu za Allah kesho kiama basi wewe mnyanyase yatima

Sasa yatima hana baba,kwahiyo anahitaji apatiwe faraja kubwa sana na walezi wake,ndio maana mke nae akafananishwa na yatima kwa uzito wake,kwa maana ametoka nyumbani kwao na umemuoa wewe ambaye ndiye mwangalizi wake sasa,kumtesa na kumnyanyasa kwa namna yoyote ile basi kosa lake ni kama umenyanyasa yatima kwakuwa hana wazazi kwa mda huo ila yupo kwako

Ndio maana waume wameonywa kama wanaweza kumjali yatima basi waoe wake kuanzia wawili na kuendelea kwa maana,usije ukawa una wake wengi kisha kuna mmoja unamnyanyasa hapo umeingia hatiani,vinginevyo oa mmoja tu uwe salama

Kwahiyo waume wa kiislamu hakika kuoa wake wengi kisha usitimize haki miongoni mwa haki zao na kuwapa haki baadhi na kuwanyima baadhi siku ya kiama utajieleza
 
View attachment 3138902Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe

mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo

" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu . Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu 😁" alisema mke wa Neyo

Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,😂

Credit - daniellokamacheki
Wanawake wa Jf ukiwaletea habari kama hizi wanaandamana.

Kwanza angalia comments zao watakavyoponda.
 
Ndiyo maana uislamu ikawa solution kwenye mambo yote mi nikiwa na wake zangu watatu au wanne unadhani nitaanza saangapi kutafutiwa sex workers ambao asilimia 40 ya mwili wao ni silicon plus magonjwa ?
Mwenyezi Mungu alipomuumba Adamu alimpa mwanamke mmoja tu. Tamaa sio solution ni kujidanganya.
 
Simba bora ni yule anaekula mawindo yake.
Halafa wasichokielewa wanawake ni kwamba mwanaume kamili hatosheki na mbunye moja na hata akipewa warembo 100 wazuri kuliko wote duniani bado atatamani wengine wa nje
 
Solution ya uislamu ni kwenye mapenzi na kuoa tu? Naombeni elimu tafadhali. Maana sioni solution yake inasababishwa na nini wakati kuna watu wanaoa kila asubuhi na jioni wanatoa talaka za kuzua. Ndio dini inavyosema?
Je na wale ambao wana wake wanne na bado wana vimada?
Ukristo hautambui mke zaidi ya mmoja, lakini wapo wakristo waliowa wake zaidi ya mmoja, sasa hapo utaulaumu ukristo au mkristo?
 
Back
Top Bottom